Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

Nadhani kazi ya kumtoa mmeshaifanya mnachotakiwa ni kufanya kazi ya kukijenga chama badala ya kutumia nguvu kubwa ya kujenga chama na kufuatilia nyendo zake. Mmeshamgundua ni msaliti na mkamtoa hivyo way forward ni kumsahau na kufanya yenu ili mwisho wa siku tupate Tanzania yenye tumaini jipya na si kila siku kujadili usaliti wakati somo limeshaeleweka
 
Naona mnaelekea kumsahau adui yenu mkubwa na kuwekeza nguvu nyingi kuishambulia ACT na kiongozi wake mkuu ndugu Zitto utadhani ndio chama tawala.

Chui na duma wote lao moja.
Huyu zana za kilimo atakapojua ametumiwa kama TP itakuwa too late.
 
Lazima tufikie hatua tuachanane na ZZK, kumjadili, kumtukana na kumkshifu haitasaidia Chadema. Cha msingi ni kupanga mikakati madhubuti jinsi ya kuweza kuitoa CCM madarakani
 
Lazima tufikie hatua tuachanane na ZZK, kumjadili, kumtukana na kumkshifu haitasaidia Chadema. Cha msingi ni kupanga mikakati madhubuti jinsi ya kuweza kuitoa CCM madarakani

Mbona Ceo tumeshaachana nae ccm ndio wanamjenga sisi tunayasema yale aliyokuanayo tu
 
Hata mkisema yatasaidia nini sasa, kumzungumzia demu uliyemuacha ni kuonyesha bado unampenda. Na roho inakuuma unapomuona na basha mwingine
 
Hata mkisema yatasaidia nini sasa, kumzungumzia demu uliyemuacha ni kuonyesha bado unampenda. Na roho inakuuma unapomuona na basha mwingine
Tunachukua kila tahadhari hatutasahau alichotaka kufanya
 
Basi kama kashaonekana na hatua stahiki zimeshachukuliwA dhidi yake ya nini sasa kuendelea kumsema kila mara, mwacheni ndo maisha aliyoyachagua
 
time will tell
kama anavyoojiita huy CEO wa ACT haiingii akilini km yeye anahiaji mabadiliko kweli
we are almost at the top someone wants us to start from the scratches?????????
 
Sasa ni dhahiri kwamba Inteligensia ya CHADEMA ni moto wa kuotea mbali. Kama mliweza kumwondoa kabla ya kusababisha madhara je akiwa nje ndo ataweza kuwadhuru?

Kwa mujibu wa matendo, maneno na mwenendo sasa Naamini kwamba siku za CCM na wapambe wao zinahesabika. Hivi kweli hatukumbuki Maandiko yanavyosema Juu ya Usaliti na Uasi?

Shetani alipomuasi Mwnyezi Mungu alipata wafuasi wengi na akashangiliwa kwa MBWEMBWE kibao lakini baada ya muda mfupi tu Ukweli ulidhihiri.

Karibuni sana ACT-WAZALENDO tuwasikilize na mtupatie maneno ya kumfurahisha Mkoloni mweusi. Ikumbukwe kwamba Hata Kaburu na wakoloni walikuwa na Mamluki lakini siku ya kuwang'oa ilipofika walijiondokea bila Jasho.

Infact wanasiasa wote ni wasaliti,na usaliti huu ulianza mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanza....

Kwanini wanasiasa wa chadema mnamashutumu sana Zzk kuwa msaliti wakati hata viongozi wengi wa upinzani wametokana na vyama vingine?

Kwani siasa ni chuki?ugomvi?visasi na jaziba? Kama Zzk alitenda kosa kwanini hamkumalizana nae hukohuko ndani ya Chama?

Kama Ndg ZZk ni mwanasisa mwenzenu,je mlitaka baada ya ninyi kumfukuza au katiba ya chama kumfukuza aache Siasa kabisa?

Nadhani kila chama kina uhuru wa kuendesha sera zake bila kuingiliwa na chama kingine, hivyo ni vema na Busara kwa Vyama vingine kuacha kumshambulia ZZK na badala yake kufanya yanayowahusu.....

Kwa sasa naona ZZK hana chama cha kumuhukumu badala yake sisi wananchi ndo tutakae muhukumu kwa kumpokea na sera zake au kumkataa....

Note: politics is a bad game....
 
Guys am lost . CEO tena ? Kwa nini ? Msaada wa kuelewa . Mbona Zitto anaitwa majina mengi hivi ? Kafanyaje ? Naomba msaada tafadhali wa kuelewa sababu kubwa .

Mkuu
Kasomekatiba ya ACT,Majukumu ya Supreme Leader utajua haya majina yanatoka wapi
 
Umenena vema, na hakika msema kweli ni mpenzi wa mungu. "Time the time before the time to time you" & well done CHADEMA!!
 
Chui na duma wote lao moja.
Huyu zana za kilimo atakapojua ametumiwa kama TP itakuwa too late.
Nachowashangaa jamaa wa CHADEMA ni kuwa badala ya kushughulika na mwenye mbwa wanashupaza shingo kuhangaika na mbwa. Ukiwaeleza hawaelewi wanaanza kutoa kashfa na matusi. Hivi hawa jamaa kweli wanajiandaa kuchukua nchi au ni wapiga kelele tu wa mitaani?
 
Unaweza julikana kwa Matendo yako
Ndio matatizo yenu washabiki wa CHADEMA mnashindwa kuelewa kuwa siyo kila anayehoji mnachofanya ni mwanachama wa CCM. Wengine humu tunachangia bila kufungwa na mtazamo wa mtu, chama, Kabila, dini wala mrengo wowote.
 
Ndio matatizo yenu washabiki wa CHADEMA mnashindwa kuelewa kuwa siyo kila anayehoji mnachofanya ni mwanachama wa CCM. Wengine humu tunachangia bila kufungwa na mtazamo wa mtu, chama, Kabila, dini wala mrengo wowote.
Lakini mnafungwa na usakatonge
 
Infact wanasiasa wote ni wasaliti,na usaliti huu ulianza mwaka 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanza....

Kwanini wanasiasa wa chadema mnamashutumu sana Zzk kuwa msaliti wakati hata viongozi wengi wa upinzani wametokana na vyama vingine?

Kwani siasa ni chuki?ugomvi?visasi na jaziba? Kama Zzk alitenda kosa kwanini hamkumalizana nae hukohuko ndani ya Chama?

Kama Ndg ZZk ni mwanasisa mwenzenu,je mlitaka baada ya ninyi kumfukuza au katiba ya chama kumfukuza aache Siasa kabisa?

Nadhani kila chama kina uhuru wa kuendesha sera zake bila kuingiliwa na chama kingine, hivyo ni vema na Busara kwa Vyama vingine kuacha kumshambulia ZZK na badala yake kufanya yanayowahusu.....

Kwa sasa naona ZZK hana chama cha kumuhukumu badala yake sisi wananchi ndo tutakae muhukumu kwa kumpokea na sera zake au kumkataa....

Note: politics is a bad game....

Nisome tena utanielewa tu
 
Back
Top Bottom