Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

Sasa ni dhahiri kwamba Inteligensia ya CHADEMA ni moto wa kuotea mbali. Kama mliweza kumwondoa kabla ya kusababisha madhara je akiwa nje ndo ataweza kuwadhuru? Kwa mujibu wa matendo, maneno na mwenendo sasa Naamini kwamba siku za CCM na wapambe wao zinahesabika. Hivi kweli hatukumbuki Maandiko yanavyosema Juu ya Usaliti na Uasi? Shetani alipomuasi Mwnyezi Mungu alipata wafuasi wengi na akashangiliwa kwa MBWEMBWE kibao lakini baada ya muda mfupi tu Ukweli ulidhihiri. Karibuni sana ACT-WAZALENDO tuwasikilize na mtupatie maneno ya kumfurahisha Mkoloni mweusi. Ikumbukwe kwamba Hata Kaburu na wakoloni walikuwa na Mamluki lakini siku ya kuwang'oa ilipofika walijiondokea bila Jasho.
CCM ni mfu anayeshikiliwa kwa kamba na si kwa kusimama kwa miguu isiyofanya kazi...Zile Ndioo za bunge zimekuwa zikirecordiwa muda mrefu sana na kuwa replayed kwa sauti kubwa na kiti kuwahi kusema waliosema ndio wameshindaa.....nimezipitia sana na siku zote nimekuta ni zilezile...na siku zote zipo karibu zaidi na mic..inayorusha ktk TV.nilipoweka thread hapa ikatolewa fasta..Na bungeni sauti zikabadilika .Mbaya zaidi Zungu akasema akidi haijafikia..ila Sauti kadhaa hazijawahi skip bunge wala kupunguza sauti hata siku bunge ni tupu.
 
From: Mwigulu Nchemba <shimbi85@gmail.com>
Date: Saurday April , 2015 at 1:10 PM
To: Zitto Kabwe <zittokabwe@gmail.com>
Subject:Re: KUONGEZA NGUVU

Hon PM,

Apson sijongea naye. Naona hata humu ndani mambo si mazuri. Vijana wangu wameniletea taarifa kwamba Vuvuzela (mropokaji) anajaribu kila njia ikiwa ni pamoja na kuwashawishi viongozi ili mzee akatwe kwenye hatua ya kwanza kabisa, maana pale juu kila mtu yuko upande wetu. Tengeneza mazingira, ila naona kila dalili ikitokea tu, itakuwa vizuri kwako ukimpisha. Maana itakuwa ni tofauti na madai ya wengi kwamba wewe ni mpenda madaraka sasa watashangaa kuona unamwachia.

Itakuwa pia vyema ukianza kuzungumzia hii kwenye majukwaa ili kuwatayarisha wananchi kisaikolojia ila kwa sasa hivi naona mipango yetu yote iko sawa. Huyo mambo is a dying horse. EL is a big engine! They know na hakuna wanachoweza kufanya at this point. Juliana will call you she has a message. Ila nikutakie kila la heri kwenye mapambano leo.

Lameck

From: Zitto Kabwe zittokabwe@gmail.com
Date: Sat, 11 Apr 2015 14:42:03 +0300
To: Mwigulu Nchemba shimbi85@gmail.com
Subject: Re: KUONGEZA NGUVU

Comrade,

Makamuzi yanaendelea, nadhani mmeona mambo ya makambako. Hao washenzi wa ufipa mwaka huu wataisoma namba, na ndoto yao ya kuichukua nchi tunaiua.
Sasa kuna mapungufu. The amount we have is very insufficient. Naombeni tusaidiane hapa, nadhani ili tukamilishe shughuli by June tunahitaji 700m pamoja na additional manpower kwenye social media. Mapokezi na muamko ni mkubwa sana toka kwa wananchi CDM is dying.

Tafadhali jadili hii issue na prof pia tujaribu kuongeza vijana kwenye social media maana tusipojibu mapigi hii issue ya usaliti itasambaa na kuaminika. Kwenye majukwaa tutawakaanga kabisa na kuhusu bwana mkubwa, inabidi tuanze rasmi kutengeneza mazingira stahiki, ili Mangula na wenzake wakijaribu kumzuia, upande wetu ni rahisi kumkaribisha

Cheers,
ZZK

From: Zitto Kabwe zittokabwe@gmail.com
Date: Sat, 11 Apr 2015 5:47 AM (GMT-5:00)
To: Mwigulu Nchemba shimbi85@gmail.com
Subject: Re: KUONGEZA NGUVU

Comrade,

Kwema? Umewasiliana na Apson? Naomba ongea naye. Budget ya matangazo iongezwe. Muhimu sana na posho za vijana kwenye planning. Nimepata habari rasmi kwamba Nyoka wa Mdimu anasaidiana na CDM, na Vuvuzela ndiye anayepenyeza taarifa kwa Riz1. Hizi ni pamoja na biashara nyingi za mzee. Wanamtumia kijana anayeitwa Luckson kupeleka taarifa ufipa, lengi ni kumchafua his Excellency wakiwa na malengo kwamba asifike hata kwenye NEC. In politics anything unanswered can be a big damage. Counter haraka sana. Mbona mnainyamazia Bahari Beach Hotel? Apson inabidi aongezewe nguvu. Mimi niko kwenye hii ziara, and may not be in Dar for couple of days. Prof yupo.

ZZK
 
From: Mwigulu Nchemba Date: Saurday April , 2015 at 1:10 PM To: Zitto Kabwe Subject:Re: KUONGEZA NGUVU Hon PM, Apson sijongea naye. Naona hata humu ndani mambo si mazuri. Vijana wangu wameniletea taarifa kwamba Vuvuzela (mropokaji) anajaribu kila njia ikiwa ni pamoja na kuwashawishi viongozi ili mzee akatwe kwenye hatua ya kwanza kabisa, maana pale juu kila mtu yuko upande wetu. Tengeneza mazingira, ila naona kila dalili ikitokea tu, itakuwa vizuri kwako ukimpisha. Maana itakuwa ni tofauti na madai ya wengi kwamba wewe ni mpenda madaraka sasa watashangaa kuona unamwachia. Itakuwa pia vyema ukianza kuzungumzia hii kwenye majukwaa ili kuwatayarisha wananchi kisaikolojia ila kwa sasa hivi naona mipango yetu yote iko sawa. Huyo mambo is a dying horse. EL is a big engine! They know na hakuna wanachoweza kufanya at this point. Juliana will call you she has a message. Ila nikutakie kila la heri kwenye mapambano leo. Lameck From: Zitto Kabwe zittokabwe@gmail.com Date: Sat, 11 Apr 2015 14:42:03 +0300 To: Mwigulu Nchemba shimbi85@gmail.com Subject: Re: KUONGEZA NGUVU Comrade, Makamuzi yanaendelea, nadhani mmeona mambo ya makambako. Hao washenzi wa ufipa mwaka huu wataisoma namba, na ndoto yao ya kuichukua nchi tunaiua. Sasa kuna mapungufu. The amount we have is very insufficient. Naombeni tusaidiane hapa, nadhani ili tukamilishe shughuli by June tunahitaji 700m pamoja na additional manpower kwenye social media. Mapokezi na muamko ni mkubwa sana toka kwa wananchi CDM is dying. Tafadhali jadili hii issue na prof pia tujaribu kuongeza vijana kwenye social media maana tusipojibu mapigi hii issue ya usaliti itasambaa na kuaminika. Kwenye majukwaa tutawakaanga kabisa na kuhusu bwana mkubwa, inabidi tuanze rasmi kutengeneza mazingira stahiki, ili Mangula na wenzake wakijaribu kumzuia, upande wetu ni rahisi kumkaribisha Cheers, ZZK From: Zitto Kabwe zittokabwe@gmail.com Date: Sat, 11 Apr 2015 5:47 AM (GMT-5:00) To: Mwigulu Nchemba shimbi85@gmail.com Subject: Re: KUONGEZA NGUVU Comrade, Kwema? Umewasiliana na Apson? Naomba ongea naye. Budget ya matangazo iongezwe. Muhimu sana na posho za vijana kwenye planning. Nimepata habari rasmi kwamba Nyoka wa Mdimu anasaidiana na CDM, na Vuvuzela ndiye anayepenyeza taarifa kwa Riz1. Hizi ni pamoja na biashara nyingi za mzee. Wanamtumia kijana anayeitwa Luckson kupeleka taarifa ufipa, lengi ni kumchafua his Excellency wakiwa na malengo kwamba asifike hata kwenye NEC. In politics anything unanswered can be a big damage. Counter haraka sana. Mbona mnainyamazia Bahari Beach Hotel? Apson inabidi aongezewe nguvu. Mimi niko kwenye hii ziara, and may not be in Dar for couple of days. Prof yupo. ZZK
Haha..mbona CDM watapiga overtake magari mawili... lusungo..On time.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna dhambi mbaya kama Usaliti na hasa inapotokea msaliti huyo ni mpenda madaraka mpaka anajipachika cheo cha Ufalme.

Hao ndio walewale wanaokula nyama za binadamu kwakutaku ukubwa lakini mwisho wao wanaumbuka vibaya sana
 
Kaukwaa ukiongozi Mkuu,watu wa kuitwa bwana mkubwa,kiongozi ,nuru na dira ya chama,mtoa mwelekeo wa wapi chama kiende.
Rangi ya mtu hujulikana mapema,chadema hongera sana

Alidhani Chadema kuna upuuzi huo wa kutukuza mtu badala ya Taasisi.

Eti yeye ni Nuru ya Chama..Shame!!

Mfalme wa Chama......Shame!!

Supreme Leader.....Shame!!
 
naomba niulize kaswali kadoogo ka uzushi, hivi akina simiu yetu, musa allam , laki si pesa mmesha toka chama chenu cha kijani tayari? au kiufupi mtaipigia kura ACT badala ya CCM?

Naona wana kijani mmeshika usukani ACT! inaashiria nini hapo? mtakuwa mmehamia ACT nyie!

Mkuu wangu unaporusha Jiwe gizani yule anayepiga kelele jua limempata kisogoni.

Chadema tunapopambana na Waasi CCM wanalia kwa sababu wao ndiyo waliwatuma!
 
Alidhani Chadema kuna upuuzi huo wa kutukuza mtu badala ya Taasisi. Eti yeye ni Nuru ya Chama..Shame!! Mfalme wa Chama......Shame!! Supreme Leader.....Shame!!
Haha..sadist huwa wanajitamani kujila nyama ,na kujioa.Siku zote huwa sikumumunya maneno tangu akivaa combat nilisema ni PSYCHOPATIC baada kuona tuu alipojibehave akiwa mbele ya mbowe,mbele ya myika,dose ikaongezeka alipoona hawezi tena kuwa mtoto pekee walipoingia bungeni msigwa,lema,sugu,wenye etc....lif ikaanza kuwa meaning less kwake.Akaanza sema hataki tena ubunge.
 
Hivi kama ZZK ni kibaraka wa CCM utamwitaje Mbatia ambaye kateuliwa na mwenyekiti wa CCM kuwa mbunge wa viti maalum?

Mbatia ni shujaa mpambanaji aliyeungana na watu wa Mungu kukomboa Tanzania.

Mbatia ni Mwenyekiti wa Ukawa.

Mbatia ni mgombea ubunge Vunjo kupitia Ukawa.

Unataka la zaidi kuhusu Mbatia??
 
mtahangaika na ACT sana mashoga nyie. kazi za mashoja tunazijua ni bora mkawa bize na hiyo kazi yenu iliyolaaniwa mkatuachia wanaume tukipambana. ACT is there to stay hata mfanyeje.

Vijana wa CCM wanajitambulisha hapa Jamvini kwa Matusi.

Wanapoona Mfalme wa ACT anasemwa wao badala ya kujenga hoja wanaporomosha matusi.

Mdogo mdogo mtatuelewa tu!!
 
Mkuu
Kasomekatiba ya ACT,Majukumu ya Supreme Leader utajua haya majina yanatoka wapi

Umesema vema sana.Supreme Leader pia ni kiongozi wa kiroho wa ACT.Ndiyo maana imefika mahali wengine wanamuita Mungu-mtu wa ACT
 
Hivi kama ZZK ni kibaraka wa CCM utamwitaje Mbatia ambaye kateuliwa na mwenyekiti wa CCM kuwa mbunge wa viti maalum?
Haha..Mwenyekiti hakuwa na njia km kafumaniwa na Mbatia akitaka pandikiza wabunge wa mahakama.Atafanyaje zaidi ya kuhonga ubunge,si wansema ni maarufu sana kuhonga hadi nchi kuliko wanaomhusu kuonja sheria ya ardhi na kambi husika?
 
Mkuu hapa haupambani na Cdm,unapambana na marafiki wa Cdm tena wa mbali mkuu,Cdm wenyewe wako kazini kaka wakiibuka utaona moto wake mkuu

MKUU Nsuka mimi nilikuwa nafikisha ujumbe kama mawasiliano ya ZZK na Lameck yalivyokuwa yanajieleza!:rockon:
 
Mkuu hapa haupambani na Cdm,unapambana na marafiki wa Cdm tena wa mbali mkuu,Cdm wenyewe wako kazini kaka wakiibuka utaona moto wake mkuu
Haha..huo moto tutauona ukichoma mafisadi na wauaji wa raia ktk kulazimisha kuendelea tuibia.
 
Back
Top Bottom