Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

Ukiona mtu anatetewa sana na ccm jiulizeni toka lini ccm wakatetea mpinzani
 
Tangu nizaliwe sijawahi kusoma mkutano wa CHADEMA unatagazwa na kusifiwa kwenye gazeti la UHURU au TBC television.Leo ni suala la kawaidaGazeti la Uhuru kusifisia mkutano wa ATC Wazelendo hata TBC TV inatoa coverage kubwa kwenye mikutano yao.MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA wala MWENYE MASIKIO HAAMBIWI SIKIA.
 
Heri simba wakali walio nje ya nyumba kuliko kajoka kadogo kapole kaliko ndani ya nyumba yako.
 
Sasa ni dhahiri kwamba Inteligensia ya CHADEMA ni moto wa kuotea mbali. Kama mliweza kumwondoa kabla ya kusababisha madhara je akiwa nje ndo ataweza kuwadhuru?

Kwa mujibu wa matendo, maneno na mwenendo sasa Naamini kwamba siku za CCM na wapambe wao zinahesabika. Hivi kweli hatukumbuki Maandiko yanavyosema Juu ya Usaliti na Uasi?

Shetani alipomuasi Mwnyezi Mungu alipata wafuasi wengi na akashangiliwa kwa MBWEMBWE kibao lakini baada ya muda mfupi tu Ukweli ulidhihiri.

Karibuni sana ACT-WAZALENDO tuwasikilize na mtupatie maneno ya kumfurahisha Mkoloni mweusi. Ikumbukwe kwamba Hata Kaburu na wakoloni walikuwa na Mamluki lakini siku ya kuwang'oa ilipofika walijiondokea bila Jasho.

Ni kweli au ni kufariji tu? Maana speed yake si maskhara
 
Sasa ni dhahiri kwamba Inteligensia ya CHADEMA ni moto wa kuotea mbali. Kama mliweza kumwondoa kabla ya kusababisha madhara je akiwa nje ndo ataweza kuwadhuru?

Kwa mujibu wa matendo, maneno na mwenendo sasa Naamini kwamba siku za CCM na wapambe wao zinahesabika. Hivi kweli hatukumbuki Maandiko yanavyosema Juu ya Usaliti na Uasi?

Shetani alipomuasi Mwnyezi Mungu alipata wafuasi wengi na akashangiliwa kwa MBWEMBWE kibao lakini baada ya muda mfupi tu Ukweli ulidhihiri.

Karibuni sana ACT-WAZALENDO tuwasikilize na mtupatie maneno ya kumfurahisha Mkoloni mweusi. Ikumbukwe kwamba Hata Kaburu na wakoloni walikuwa na Mamluki lakini siku ya kuwang'oa ilipofika walijiondokea bila Jasho.
Msaliti wa kwanza alikuwa mwanzilishi wa chadema!
 
Haha..mbona CDM watapiga overtake magari mawili... lusungo..On time.


Asante mkuu nimeona aisee!!!

EL amejichafua Sana kujipachika kwa huyo mpuuzi...

Sasa asubiri atakaporudi ground zero atashangaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Kuungana ni jambo jema...na tunawatakia kila la kheri UKAWA...sisi hatugombani na mtu bali na umaskini. Chama chetu ni cha wanyonge...tukikuta mnyonge na tajiri wanapigana sisi tutamsaidia mnyonge kwanza baadae ndio tutauliza nani mchokozi (makofii). Kuna watu wanasema hawa wakina zitto wamekuja kugawa kura za upinzani....nataka niwahakikishie wana Morogoro ACT haijaja kugawa kura za upinzani....Mwaka 2010 asilimia 42 tu ya watu waliojiandikisha ndio walipiga kura....ina maana 58% ya waliojiandikisha hawakupiga kura na inamaana hawakuwa na chama chochote kile.ACT imekuja kukonga nyoyo na kuwashawishi hawa 58% hivyo hatugawi kura za mtu yoyote."

Hayo ni baadhi ya maelezo ya Ndugu Kabwe katika hotuba yake ya Jana kwa wana morogoro.

Nionavyo.
Mwacheni Zitto afanye siasa zake Watanzania wataamua. Kuendelea kumchafua humu mitandaoni wala haisaidii.
 
Kuungana ni jambo jema...na tunawatakia kila la kheri UKAWA...sisi hatugombani na mtu bali na umaskini. Chama chetu ni cha wanyonge...tukikuta mnyonge na tajiri wanapigana sisi tutamsaidia mnyonge kwanza baadae ndio tutauliza nani mchokozi (makofii). Kuna watu wanasema hawa wakina zitto wamekuja kugawa kura za upinzani....nataka niwahakikishie wana Morogoro ACT haijaja kugawa kura za upinzani....Mwaka 2010 asilimia 42 tu ya watu waliojiandikisha ndio walipiga kura....ina maana 58% ya waliojiandikisha hawakupiga kura na inamaana hawakuwa na chama chochote kile.ACT imekuja kukonga nyoyo na kuwashawishi hawa 58% hivyo hatugawi kura za mtu yoyote."

Hayo ni baadhi ya maelezo ya Ndugu Kabwe katika hotuba yake ya Jana kwa wana morogoro.

Nionavyo.
Mwacheni Zitto afanye siasa zake Watanzania wataamua. Kuendelea kumchafua humu mitandaoni wala haisaidii.
Unyonge wa usaliti ni dhambi kubwa sana
 
Sasa ni dhahiri kwamba Inteligensia ya CHADEMA ni moto wa kuotea mbali. Kama mliweza kumwondoa kabla ya kusababisha madhara je akiwa nje ndo ataweza kuwadhuru?

Kwa mujibu wa matendo, maneno na mwenendo sasa Naamini kwamba siku za CCM na wapambe wao zinahesabika. Hivi kweli hatukumbuki Maandiko yanavyosema Juu ya Usaliti na Uasi?

Shetani alipomuasi Mwnyezi Mungu alipata wafuasi wengi na akashangiliwa kwa MBWEMBWE kibao lakini baada ya muda mfupi tu Ukweli ulidhihiri.

Karibuni sana ACT-WAZALENDO tuwasikilize na mtupatie maneno ya kumfurahisha Mkoloni mweusi. Ikumbukwe kwamba Hata Kaburu na wakoloni walikuwa na Mamluki lakini siku ya kuwang'oa

Moto umeshawaka,hakuna tena wa kuuzima,wale waliukuwa wanatumiwa na Mafisadi walidhani wamemaliza Zitto ili mafisadi waendelee kutafuna nchi bila kisumbuliwa.

Sasa watanzania tunaujua mchezo wote uliokuwa na lengo la mumnyamanzosha Zitto.

Ninyi mawakala wa wa Majizi mnapoteza muda kudhani mnaweza kurudhisha nyuma harakati za kukamata wezi.

Suluhisho ni kuwa wezi wa taifa wahame nchi,na juzi tulionya kuendelea kumpa tenda Rugemalila ,ile tenda ya Tril 54 hatuta ifumbia macho.

Tutaendelea kuungwa mkono na wanyonge wa nchi hii ,ninyi kuweni upande wa mabeberu lkn kamwe hamtatushinda.
 
Moto umeshawaka,hakuna tena wa
kuuzima,wale waliukuwa wanatumiwa
na Mafisadi walidhani wamemaliza
Zitto ili mafisadi waendelee kutafuna
nchi bila kisumbuliwa.
Sasa watanzania tunaujua mchezo
wote uliokuwa na lengo la
mumnyamanzosha Zitto.
Ninyi mawakala wa wa Majizi
mnapoteza muda kudhani mnaweza
kurudhisha nyuma harakati za
kukamata wezi.
Suluhisho ni kuwa wezi wa taifa
wahame nchi,na juzi tulionya
kuendelea kumpa tenda Rugemalila ,ile
tenda ya Tril 54 hatuta ifumbia macho.
Tutaendelea kuungwa mkono na
wanyonge wa nchi hii ,ninyi kuweni
upande wa mabeberu lkn kamwe
hamtatushinda.
 
Moto umeshawaka,hakuna tena wa
kuuzima,wale waliukuwa wanatumiwa
na Mafisadi walidhani wamemaliza
Zitto ili mafisadi waendelee kutafuna
nchi bila kisumbuliwa.
Sasa watanzania tunaujua mchezo
wote uliokuwa na lengo la
mumnyamanzosha Zitto.
Ninyi mawakala wa wa Majizi
mnapoteza muda kudhani mnaweza
kurudhisha nyuma harakati za
kukamata wezi.
Suluhisho ni kuwa wezi wa taifa
wahame nchi,na juzi tulionya
kuendelea kumpa tenda Rugemalila ,ile
tenda ya Tril 54 hatuta ifumbia macho.
Tutaendelea kuungwa mkono na
wanyonge wa nchi hii ,ninyi kuweni
upande wa mabeberu lkn kamwe
hamtatushinda.

soma ujumbe wangu utaelewa usitete ujinga
 
Back
Top Bottom