Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

Sasa ni dhahiri kwamba Inteligensia ya CHADEMA ni moto wa kuotea mbali. Kama mliweza kumwondoa kabla ya kusababisha madhara je akiwa nje ndo ataweza kuwadhuru?

Kwa mujibu wa matendo, maneno na mwenendo sasa Naamini kwamba siku za CCM na wapambe wao zinahesabika. Hivi kweli hatukumbuki Maandiko yanavyosema Juu ya Usaliti na Uasi?

Shetani alipomuasi Mwnyezi Mungu alipata wafuasi wengi na akashangiliwa kwa MBWEMBWE kibao lakini baada ya muda mfupi tu Ukweli ulidhihiri.

Karibuni sana ACT-WAZALENDO tuwasikilize na mtupatie maneno ya kumfurahisha Mkoloni mweusi. Ikumbukwe kwamba Hata Kaburu na wakoloni walikuwa na Mamluki lakini siku ya kuwang'oa ilipofika walijiondokea bila Jasho.
Huu ni mwanzo tu mlizoea kutafuna ruzuku mwaka huu ni mwisho na saccos yenu ya wachaga,tena mmwambie yule babu yenu apunguze kale ka ugonjwa anakoenda kutibiwa marekani alikapata wapi?
 
Usaliti hautavumilika kwa namna yoyote ile usiku asubui na mchana
Kama kweli amewasaliti na mmemchukulia hatua mnayodhani ni stahiki mbona mnaendelea kuweweseka mitandanoni? Yaani washabiki wa CHADEMA wote mmegeuka kuwa "simple minded" kujadili mtu mmoja mnayemuita msaliti badala ya kujikita kwenye mijadala ya ideas zitakazowawezesha kushinda uchaguzi ujao!
 
Chadema imeshindwa kupambana na CCM, inapambana na ACT ambayo hawana cha kupoteza uchaguzi October



Kiukweli sijaona utofauti wa malengo kati ya ACT na CCM against opposition party kama UKAWA maana wamekuja kufifisha nguvu za Upinzani kwa kuisaidia CCM
 
Kama kweli amewasaliti na mmemchukulia hatua mnayodhani ni stahiki mbona mnaendelea kuweweseka mitandanoni? Yaani washabiki wa CHADEMA wote mmegeuka kuwa "simple minded" kujadili mtu mmoja mnayemuita msaliti badala ya kujikita kwenye mijadala ya ideas zitakazowawezesha kushinda uchaguzi ujao!
Ukiona mwana Ccm anatetea Act jua anatetea Kamgao chao walichotoa
 
Mkuu usiwe myopic in vision and thinking. Think Big, Think globally

ACT ni CCM na CCM ni ACT. Hapa M-saliti ZZK kafika bei na anatumika. TISS walimsoma vizuri wakajua anapenda sana madaraka na publicity, hapo hapo wakamchomekea na kumvuna Zitto.

Once again ACT ni CCM ipo makusudi kuvuruga upinzania ndio maana wenye akili zao wanawapiga kweli kweli hawa manyang'au hasa Le Great King Ayatoll-ah ZZK
Sasa wewe unayedhani kuwa visionary na unaye-think big and globally unadhani kumjadili Zitto humu kwenye mitandao ndio kutawapa kura kwenye uchaguzi ujao? Huoni kuwa kwa kuwekeza kwenye kumjadili mtu mmoja na chama kimoja kichanga ambacho hakijamaliza hata mwaka mmoja tangu kisajiliwe wewe ndio unakuwa myopic?
 
Huu ni mwanzo tu mlizoea kutafuna ruzuku mwaka huu ni mwisho na saccos yenu ya wachaga,tena mmwambie yule babu yenu apunguze kale ka ugonjwa anakoenda kutibiwa marekani alikapata wapi?
Badala ya Kujiuliza Milioni kumi hela ya mboga na macho ya makengeza unawaza Chadema
 
Sasa wewe unayedhani kuwa visionary na unaye-think big and globally unadhani kumjadili Zitto humu kwenye mitandao ndio kutawapa kura kwenye uchaguzi ujao? Huoni kuwa kwa kuwekeza kwenye kumjadili mtu mmoja na chama kimoja kichanga ambacho hakijamaliza hata mwaka mmoja tangu kisajiliwe wewe ndio unakuwa myopic?
Hata wakina Milioni kumi hela ya mboga na Macho ya Makengeza walianzia kujulikana kwenye mitandao ndio maana mnataka kufungia mnaficha nini?
 
Kama kweli amewasaliti na mmemchukulia hatua mnayodhani ni stahiki mbona mnaendelea kuweweseka mitandanoni? Yaani washabiki wa CHADEMA wote mmegeuka kuwa "simple minded" kujadili mtu mmoja mnayemuita msaliti badala ya kujikita kwenye mijadala ya ideas zitakazowawezesha kushinda uchaguzi ujao!

Huwezi kuipinga CCM halafu ukamuacha kibaraka wa CCM salama.Ni lazima ukipambana na CCM uhakikishe na matawi yake yote yamekatwa.
 
Hivi shida za Watz ni ZZK na CHADEMA?mbona watu wanapoteza mwelekeo kwa vitu vya kitoto namna hii.Nchi imekwama badala ya kujadili namna bora ya kujenga upya nchi watu wanajadili personalities za watu huu ni upuuzi.Suala la ZZK na CHADEMA hadithi ilikwisha kitambo ujinga gani huu watu wanaendelea kujadili na kuleta thread za kipuuzi ooh Zitto na CDM rubbish.Nchi ina shida za msingi kuliko ZZK na uliokuwa uanachama wake CDM njia aliyoamua kufuata anaamini itamfikisha kwenye malengo yake,aachwe aende zake.
 
Kiukweli sijaona utofauti wa malengo kati ya ACT na CCM against opposition party kama UKAWA maana wamekuja kufifisha nguvu za Upinzani kwa kuisaidia CCM

CCM na ACT ni ndugu moja.
 
CHADEMA mpango wa Mungu...UKAWA njia ya kwenda Mbinguni
 
Hivi shida za Watz ni ZZK na CHADEMA?mbona watu wanapoteza mwelekeo kwa vitu vya kitoto namna hii.Nchi imekwama badala ya kujadili namna bora ya kujenga upya nchi watu wanajadili personalities za watu huu ni upuuzi.Suala la ZZK na CHADEMA hadithi ilikwisha kitambo ujinga gani huu watu wanaendelea kujadili na kuleta thread za kipuuzi ooh Zitto na CDM rubbish.Nchi ina shida za msingi kuliko ZZK na uliokuwa uanachama wake CDM njia aliyoamua kufuata anaamini itamfikisha kwenye malengo yake,aachwe aende zake.
Huwezi maliza matatizo kwenye nchi hilehali umewacha viporo Mafisadi na wasakatonge wanakuna makoo
 
sasa ni dhahiri kwamba inteligensia ya chadema ni moto wa kuotea mbali. Kama mliweza kumwondoa kabla ya kusababisha madhara je akiwa nje ndo ataweza kuwadhuru?

Kwa mujibu wa matendo, maneno na mwenendo sasa naamini kwamba siku za ccm na wapambe wao zinahesabika. Hivi kweli hatukumbuki maandiko yanavyosema juu ya usaliti na uasi?

Shetani alipomuasi mwnyezi mungu alipata wafuasi wengi na akashangiliwa kwa mbwembwe kibao lakini baada ya muda mfupi tu ukweli ulidhihiri.

Karibuni sana act-wazalendo tuwasikilize na mtupatie maneno ya kumfurahisha mkoloni mweusi. Ikumbukwe kwamba hata kaburu na wakoloni walikuwa na mamluki lakini siku ya kuwang'oa ilipofika walijiondokea bila jasho.

kauli ya waoga unaowaita wasaliti wameondoka na roho ya chadema muda si mrefu uhai utatoka
 
Guys am lost . CEO tena ? Kwa nini ? Msaada wa kuelewa . Mbona Zitto anaitwa majina mengi hivi ? Kafanyaje ? Naomba msaada tafadhali wa kuelewa sababu kubwa .
Lunyungu, kwani kuongozi mkuu wa TBL kwa kiingereza anaitwa nani?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom