stanlthecreator
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 1,947
- 648
Huu ni mwanzo tu mlizoea kutafuna ruzuku mwaka huu ni mwisho na saccos yenu ya wachaga,tena mmwambie yule babu yenu apunguze kale ka ugonjwa anakoenda kutibiwa marekani alikapata wapi?Sasa ni dhahiri kwamba Inteligensia ya CHADEMA ni moto wa kuotea mbali. Kama mliweza kumwondoa kabla ya kusababisha madhara je akiwa nje ndo ataweza kuwadhuru?
Kwa mujibu wa matendo, maneno na mwenendo sasa Naamini kwamba siku za CCM na wapambe wao zinahesabika. Hivi kweli hatukumbuki Maandiko yanavyosema Juu ya Usaliti na Uasi?
Shetani alipomuasi Mwnyezi Mungu alipata wafuasi wengi na akashangiliwa kwa MBWEMBWE kibao lakini baada ya muda mfupi tu Ukweli ulidhihiri.
Karibuni sana ACT-WAZALENDO tuwasikilize na mtupatie maneno ya kumfurahisha Mkoloni mweusi. Ikumbukwe kwamba Hata Kaburu na wakoloni walikuwa na Mamluki lakini siku ya kuwang'oa ilipofika walijiondokea bila Jasho.