Kweli wewe ni mshumaa!! Umeshinda chagua mji?Sasa, kama kuandika neno company uwezi ...maswala accounts za Hon.Mbowe utayajuaje.
Kweli wewe ni mshumaa!! Umeshinda chagua mji?Sasa, kama kuandika neno company uwezi ...maswala accounts za Hon.Mbowe utayajuaje.
Umeona tofauti eee, kama wewe ni kijana wa CCM...na kama unakitetea chama chako kwa hoja kama hizi...basi tena..Mbowe pesa zake huweka Dubai mkuu hapa huwa anatumia pesa za walalahoi wa saccos ya Chadema akina nyinyi.