Hongera Taifa Stars!

Hongera Taifa Stars!

Hongera TAIFA STARS, ushindi ni ushindi tu hata kama Taifa Stars haitakwenda Brazil ktk kombe la dunia lakini inabaki katika historia kwamba tarahe 24.3.2013 Tanzania iliifunga Morocco bao 3-1. Katika haratakati za kwenda Brazil, timu ya San Marino imefungwa bao 8-0 na Uingereza tena nchini kwao, je na wao wasemeje kama Tanzania inaifunga Morocco, timu kubwa katika bara la Afrika na baadhi yetu tunaona haijafanya kitu!!!.
 
Hivi kwanini watu mnaichukia kiasi hicho nchi yenu? Kwenye siasa sawa ni jambo la kawaida sasa hadi kwenye mafanikio ya timu yenu ya mpira bado mnaponda tu?
 
Najua hili ni jukwaa la siasa lakini hatuna budi kuipongeza taifa stars kwa ushindi ilioupata dhidi ya timu ya taifa ya moroco.
Tukumbuke angalau huu ndo upande unaotuunganisha watanzania kwa pamoja hivi sasa na ni habari njema tumepiga hatua moja mbele. tuwape moyo vijana wetu tuondoe sihasa huku zisije zikaharibu kila kitu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA

Ni sawa na kusema najua kuchukua rushwa ni kinyume na sheria lakini acha nichukue tuu nikanunue gari ili nifurahie na familia yangu.

Hivi kwani nini wabongo tunashindwa kufuata hata taratibu ndogo tuu?

Yaani huwezi kuipongeza Taifa Stars kwa kuanzisha thread kwenye jukwaa husika?

Kwa nini tunapenda kuhusisha kila kitu na siasa?

Tumekuwa brainwashed na siasa mpaka kudhani hata michezo ni siasa?

Unajuaa wazi kabisa kuwa kinachounganisha watu ni sports na siyo siasa lakini unakuja kuanzisha thread ya michezo kwenye jukwaa la siasa ukitarajia kuunganisha Watanzania.

You're the weakest link.
 
Unawapongeza kwani wamefuzu? Hili ndo jambo linalowafanya wa tz kuonekana waajabu! Kazi kupongeza hata kitu ambacho hakijatekelezwa..
Acheni ushamba wa kijinga
Roho mbaya aijengi
 
Unawapongeza kwani wamefuzu? Hili ndo jambo linalowafanya wa tz kuonekana waajabu! Kazi kupongeza hata kitu ambacho hakijatekelezwa..
Acheni ushamba wa kijinga
Ha ha haa huyoooooo unaloo!! una origin ya mwarabu bila shaka. Tumewashika nyeti kwa nyuma mkiwa mmechuchumaa.
 
TP Mazembe 3 Morocco 1....Kaseja Kauza Goli Moja kwa Waarabu!KIwango bye bye Kaseja anza kutafuta cha kufanya sasa umri na kiwango bye bye
 
Unawapongeza kwani wamefuzu? Hili ndo jambo linalowafanya wa tz kuonekana waajabu! Kazi kupongeza hata kitu ambacho hakijatekelezwa..
Acheni ushamba wa kijinga

Toa siasa hapa wanasitahili pongezi tena kubwa tu, wangefungwa ninyi ndo mngekuwa mmenyanyua vidole juu kuisuta
 
Unawapongeza kwani wamefuzu? Hili ndo jambo linalowafanya wa tz kuonekana waajabu! Kazi kupongeza hata kitu ambacho hakijatekelezwa..
Acheni ushamba wa kijinga
Kufuzu kunaanzia wapi??
 
Back
Top Bottom