ngudengude
JF-Expert Member
- Jul 2, 2015
- 1,175
- 466
Hongera Rais Joseph Pombe Magufuli
Nimejiuliza je private walikuwa wanafanya nini maana shule za serikali zilipotea
Shule 10 zilizofanya vizuri:
Kisimiri, Feza Boys, Alliance Girls, Feza Girls, Marian Boys, Tabora Boys, Kibaha, Mzumbe, Ilboru, na Tandahimba
shule za binafsi zina wanafunzi kidogo kwa darasa, ukifanya tathmini shule kama ilboru inaweza kuwa na division one 40, na shule binafsi inaweza kuwa na jumla ya wanafunzi wasiofika 40 na then wakawa na division one 25. Alafu utasema ilboru imepitwa na ka shule kana wanafunzi hawafiki 40!! wakati hao 40 ni division one za ilboru tu