Alipoumia Kanoute Faisal akawa huru zaidi.Kwa sisi tunaojua mpira tumefurahia sana kazi ya kiungo wa Dar Young Africa Feisal a.k.a Fei Toto
Sasa upuuzi wako peleka jukwaa husikaKwa sisi tunaojua mpira tumefurahia sana kazi ya kiungo wa Dar Young Africa Feisal a.k.a Fei Toto
Hata kabla hajaumia, kumzuia fei ilikua lazima umchezee rafu tu! Anaupiga Mwingi Sana! Fei kuchezea soka bongo basi tu viwango vyake ni vya kimataifa!Alipoumia Kanoute Faisal akawa huru zaidi.
Huyu bila shaka hana wakala
Angekuwa West Africa angeshapata timu kubwa Ulaya
hana consintency, ni mzuri tuu dhidi ya Simba, angefanya vizuri club bingwa wangemuonaHuyu bila shaka hana wakala
Angekuwa West Africa angeshapata timu kubwa Ulaya
Daah mkuu hayo makasiriko ya nini sasa?Sasa upuuzi wako peleka jukwaa husika
Consistency ipi unayo hitaji Mkuu?, ni wachezaji wangapi wanakuja pale Yanga ila dogo anapata namba tena anakuwa favorite, pia quality coach in Africa wanakuja Tanzania ila bado wanazidi kumpa nafasi ya kucheza iwe timu ya taifa na hata klabu yakehana consintency, ni mzuri tuu dhidi ya Simba, angefanya vizuri club bingwa wangemuona
hawezi kuperform kwa kiwango kama alichoonesha jana walau mechi 3 mfululizo, ndio maana hata hiyo Yanga club bingwa inaishia hatua ya kwanza au ya pili kwa kuwa na wachezaji aina ya feisal wanaoperform mechi 1 tuu dhidi ya Simba,Consistency ipi unayo hitaji Mkuu?, ni wachezaji wangapi wanakuja pale Yanga ila dogo anapata namba tena anakuwa favorite, pia quality coach in Africa wanakuja Tanzania ila bado wanazidi kumpa nafasi ya kucheza iwe timu ya taifa na hata klabu yake
Roho za kichawi na kinyongolilo sio nzuri
Sawa mkuu na siwezi kukutoa katika imani yakohawezi kuperform kwa kiwango kama alichoonesha jana walau mechi 3 mfululizo, ndio maana hata hiyo Yanga club bingwa inaishia hatua ya kwanza au ya pili kwa kuwa na wachezaji aina ya feisal wanaoperform mechi 1 tuu dhidi ya Simba,
Mpira haujui kafatilie rede. Sababu ya Yanga kutolewa klabu bingwa msimu huu ni kukosa muda wa kuandaa timu na wala sio fei Toto. Kuna maingizo mengi mapya hivyo muunganiko jumlisha match fitness iliwafanya Yanga kutolewa. Kwani fei Toto anacheza peke yake uwanja mzima?hawezi kuperform kwa kiwango kama alichoonesha jana walau mechi 3 mfululizo, ndio maana hata hiyo Yanga club bingwa inaishia hatua ya kwanza au ya pili kwa kuwa na wachezaji aina ya feisal wanaoperform mechi 1 tuu dhidi ya Simba,
Hivi Shabani Nonda alitokea wapi.......?Hata kama angekuwa na wakala asingeenda kokote.
Kumbuka yanga inatengeneza wachezaji mashabiki wake.Kumbuka Ngasa jinsi alivyokataa ofa kisa abaki kuipigania timu yake.
kjana na wakala wake sijui wanakwama wapi,kifaa cha kimataifa hichi.Kwa sisi tunaojua mpira tumefurahia sana kazi ya kiungo wa Dar Young Africa Feisal a.k.a Fei Toto
Sio Yanga tu hata Simba kina Mkude na Ajibu hawakupaswa kumalizia viwango vyao Msimbazi!Hata kama angekuwa na wakala asingeenda kokote.
Kumbuka yanga inatengeneza wachezaji mashabiki wake.Kumbuka Ngasa jinsi alivyokataa ofa kisa abaki kuipigania timu yake.
Acha uongo wako, Msuva alitokea wapi? Tusila Kisinda naye katokea wapi?Hata kama angekuwa na wakala asingeenda kokote.
Kumbuka yanga inatengeneza wachezaji mashabiki wake.Kumbuka Ngasa jinsi alivyokataa ofa kisa abaki kuipigania timu yake.