1. Feisal
Maneno ya watu:
Yanga kwisha habari yake, hawapati kiungo kama Fei toto.
2. Mayele.
Maneno ya watu:
Huu sasa ndio mwisho wa utopolo, aliyekuwa anawabeba kaamua kusepa. This time utopolo hata nafasi ya 3 hafiki, tena mashindano ya Caf haingii makundi.
3. Djuma Shabani na Yanick.
Maneno ya watu.
Hivi hawa Yanga wanajitambua kweli, kweli utopolo ni utopolo tu.
Niseme tu sasa kuwa " KIKO WAPI, KIKO WAPI NYIE MAKOLO????
Halafu niwapongeze Mayele, Shabani na Yanick kwa kuondoka kwa HESHIMA.
Lakini kale kajamaa kalikoondoka kwa kiburi , nyodo na povu nikaulize je unaichungulia Yanga ukiwa lambalamba sehemu gani. Feisal na wapambe wako " KIKO WAPI????!
Maneno ya watu:
Yanga kwisha habari yake, hawapati kiungo kama Fei toto.
2. Mayele.
Maneno ya watu:
Huu sasa ndio mwisho wa utopolo, aliyekuwa anawabeba kaamua kusepa. This time utopolo hata nafasi ya 3 hafiki, tena mashindano ya Caf haingii makundi.
3. Djuma Shabani na Yanick.
Maneno ya watu.
Hivi hawa Yanga wanajitambua kweli, kweli utopolo ni utopolo tu.
Niseme tu sasa kuwa " KIKO WAPI, KIKO WAPI NYIE MAKOLO????
Halafu niwapongeze Mayele, Shabani na Yanick kwa kuondoka kwa HESHIMA.
Lakini kale kajamaa kalikoondoka kwa kiburi , nyodo na povu nikaulize je unaichungulia Yanga ukiwa lambalamba sehemu gani. Feisal na wapambe wako " KIKO WAPI????!