Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Nimeona nitumie JF kumpongeza Dr Slaa kwa kufanya ziara yenye mafanikio makubwa.Wako watu ambao kwa hisia zao walionekana ni wana ccm,walikutisha usifanye ziara hiyo hasa Kigoma na wakasema unaweza hata kupoteza maisha.
Ripoti tulikuwa tukizipata humu kwenyeJF,wakisema vijana wameandaliwa kukumaliza hali ambayo kwa mtu mwoga angeweza kukimbia.Kuna kipindi tulipokuwa tunafuatilia kupitia humuJF walisema Vijana wanapewa 5000 waandamane kukupinga na kweli walitokea na mabango lakini hukutishika.Kijana mmoja alipo hojiwa alionekana nimtoto wa katibu mwenezi wa ccm huko Kigoma hali iliyo toa taswira kama ccm walikuwa nyuma ya upinzani huo.
Ni mambo ambayo ametuhumiwa hata Zito kuwa anafanya uasi kuhujumu cdm.Lingine ambalo linanishawishi nikwamba,kwa chama kama cdm ndiyo kwanza kinajijenga,isingekuwa rahisi kumuonea kijana kama Zito aliye kuwa hodari na jasiri katika chama.Katika vita kamanda hodari sindiyo anafaa kwanini umfukuze?Siamini kama cdm ni wajinga hivyo kupoteza nguvu kazi kubwa namna hiyo.Huenda kwa sasa wamepima faida na hasara za kijana huyo na wakaona afadhali kukaa mbali nae.Haya ni maoni yangu wakuu kama mfuatiliaji wa humu kwenye JF.
Ripoti tulikuwa tukizipata humu kwenyeJF,wakisema vijana wameandaliwa kukumaliza hali ambayo kwa mtu mwoga angeweza kukimbia.Kuna kipindi tulipokuwa tunafuatilia kupitia humuJF walisema Vijana wanapewa 5000 waandamane kukupinga na kweli walitokea na mabango lakini hukutishika.Kijana mmoja alipo hojiwa alionekana nimtoto wa katibu mwenezi wa ccm huko Kigoma hali iliyo toa taswira kama ccm walikuwa nyuma ya upinzani huo.
Ni mambo ambayo ametuhumiwa hata Zito kuwa anafanya uasi kuhujumu cdm.Lingine ambalo linanishawishi nikwamba,kwa chama kama cdm ndiyo kwanza kinajijenga,isingekuwa rahisi kumuonea kijana kama Zito aliye kuwa hodari na jasiri katika chama.Katika vita kamanda hodari sindiyo anafaa kwanini umfukuze?Siamini kama cdm ni wajinga hivyo kupoteza nguvu kazi kubwa namna hiyo.Huenda kwa sasa wamepima faida na hasara za kijana huyo na wakaona afadhali kukaa mbali nae.Haya ni maoni yangu wakuu kama mfuatiliaji wa humu kwenye JF.