Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
- Thread starter
- #41
Ubaya wa mikutano ya magamba na hata ya Zito mpaka muwape hela au mtumie mafuso kusombelezea. Ya Slaa wanakuja wenyewe mkuu.Na bado mtakataana sana mwaka huo mpya.
Siku zote walivyokuwa wakijaa kwenye mikutano yenu hapo nyuma hamkuwaita majina msiyoyapenda ila leo hii mnawaita ni wanaccm.
Nyie kukataana hamjaanza leo.
Halafu mie huwa nawashangaa sana,ivi nyie chadema mnadhani wananchi mmewakatia hati miliki?eti mkutano wa slaa waje na mkutano wa wengine wasiende.