Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Dr Slaa ni tishio kwa CCM na serikali yake.
Akigombea 2015 CCM ijiandae kuwa upinzani.
Siunajuwa Makamanda wameamua kuweka Akili mfukoni na kuwa Makasuku wanapenda kuongea yale yanayowapendezesha Slaa na Mbowe,we leo mtu kama Lisu ameingia katika ujinga huu!ukiongea tofauti na wanachotaka kusikia mbowe na Slaa....unaitwa Msaliti!Usaliti si upo katika Ndoa
#Mbowe na Slaa wanafanya Biashara Siasa:Zitto anafanya Siasa Jamii#