CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,361
- 6,441
Mwanyasi upo? Nitumie namba yako ya simu please kwenye inbox yangu.Chemistry na benki tena benki ya maendeleo, kesho mtakuta benki inanunua test tube na measuring cylinder
Huyu Prof nimesoma naye lakn alikuwa nyuma yangu miaka 3, ana akili sana alikuwa anapata A kila mahali! Uteuzi huu unaona kuwa kuna mashaka, These are economic issue of which he is not knowledgeable!
