Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,466
muhayaNi msukuma au mhaya?
muhayaNi msukuma au mhaya?
Asante kwa taarifa.Prof..Kabudi ni Mwenyekiti wa BODI
Kuna hidden Agenda, an intelligent guy can lead anywhere as he/she can quickly learn new things!Hivi hizi pongezi ni genuine kweli au kuna hidden agenda behind.
Huu unafiki wenu mpaka lini? Kwa nini mnapenda penda sana kuingilia teuzi za Dk.Magufuli.
Hongera kwa kupata A.Nawapongeza Dr mubofu na prof buchwe kwa pamoja walinifundisha electrochemistry nakpata A, nawapenda wote ingawa one day niligombana na buchwe baada ya kumwambia muda muda Wa pindi umeisha alinimind lakini nikawa nambebea laptop take akanisamehe
Kwani ili uwe mtanzania na kuwa mmoja wa wanabodi TIB unatakiwa kuwa kabila gani?Ni msukuma au mhaya?
Ushahidi?muhaya
Na complex compoundNa Sulphuric Acid Nacl plus Periodic Table
Nyie vijana wa form six tokeni humuNa complex compound
Jiangalie ndugu don't be derogatory, japo haipendezi mtu ambaye hajabobea kwenye fani za kibenki kupewa nafasi hiyo yawezekana Prof. kasomea mambo kadhaa yanayohusiana na kazi alopewa,ingefaa tuione CV yake full kabla ya kukosea watu heshima. Wapo waliosoma lakini wanababaisha hata wanapopewa kile walichosomea na kinyume chake pia.Huu ni uchizi.Chemistry na mambo ya Finance wapi na wapi?Kinachoonekana hapa ni JPM kulipa fadhila kwa watu waliombeba wakti wa Thesis yake ya PhD hapo mlimani.
Kwa akili ya JPM anafkiri kwa vile yeye ni Chemist ameukwaa Urais kwa mizengwe bac Chemist yeyote anaweza kuwa mtawala na si KIONGOZI! Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kiongozi na Mtawala!
Kwa maana hiyo Magufuli is not a leader but just a mere Ruler and Dictator!
Hapana, Prof hana cha zaidi ya Chemistry! Namfahamu sana nilikuwa naye hapo chuoni. Ni mtu mwenye akili nyingi sana. He was getting A almost in every subject, lakini mambo ya benki hapana, please, usimpende kihivyo. ILA sema anaweza ku-adapt very quickly kwa akili nyingi alizonazo!Jiangalie ndugu don't be derogatory, japo haipendezi mtu ambaye hajabobea kwenye fani za kibenki kupewa nafasi hiyo yawezekana Prof. kasomea mambo kadhaa yanayohusiana na kazi alopewa,ingefaa tuione CV yake full kabla ya kukosea watu heshima. Wapo waliosoma lakini wanababaisha hata wanapopewa kile walichosomea na kinyume chake pia.
Hongera Prof. bidii uthibitishe ubwege wa wanaokubeza.
Nyie vijana wa form six tokeni humu
We kijana mimi ni baba yako, miaka ya 80 namaliza chuo hicho!We mimi ni mzee wako shika adabu
.....
Kwa maana hiyo Magufuli is not a leader but just a mere Ruler and Dictator!
Ni kweli Prof Kabudi ndiye mwenyekiti wa bodi ya TIB; Prof Buchwe ni moja wa wajumbe wa bodi hiyo.Mbona kama nimesikia ni Professor Pala.. Kabudi ndiye kateuliwa?
Wacha stori ndefu ya uongo wa kisiasa hapa,kwa kipindi tulicho nacho sasa nafasi kama hizi zinahitaji wachumi tena siwachumi mchwara ni wachumi haswa,pili licha ya uteuzi huu kukosa MTU sahihi kwa wakati sahihi pia kuna harufu ya kulipana fadhila kama walivyo hoji wengine huko juuUnaota ndoto za mchana.Hujui kuna ma CEO wa mabenki ambao ni engineers !!! Hujui ma CEO wengi wa Mabenki wa maana hupatikanaje.Subiri nikuambie.Benki ikitaka kujikita mfano kwenye KUTOA MIKOPO UJENZI WA mabarabara au kwenye makampuni ya ujenzi au miradi mikubwa ya ujenzi watamtafuta engineer kuwa CEO.ANAYEJUA HIYO SECTA vizuri.Siyo teller anayejua kufungua na kufunga akaunti ya mteja aliyesoma mambo ya banking!!
TIB ni benki inayohusiana na uwekezaji katika nini? Tanzania inaelekea kwenye viwanda.Huko kwenye viwanda wakemia ni moja ya watu muhimu wanaotakiwa.TIB inaelekea huko kwenye ukopeshaji wa viwanda usitarajie kwa mwelekeo huo kuwe kunahitajika mtu aliyesoma what is banking apewe leading role!!!