Sharif
JF-Expert Member
- Mar 13, 2011
- 2,450
- 1,781
duh ! atakua dokta chapati !prof katoa dr ki.laza asiyeweza hata kuongea dakika 2 mbele ya jumuia za kimataifa! shame!
duh ! atakua dokta chapati !prof katoa dr ki.laza asiyeweza hata kuongea dakika 2 mbele ya jumuia za kimataifa! shame!
Temea kushoto. Wewe unajuaje kama uko 100% perfect?Hivi idara ya kemia pale mlimani ndo inatoa products za hovyo namna hii katika utawala? Bakini tu huko kwenye kunusa mahalufu ya kemikali, huku kwingine hamwezi!
Kwani kakosea?Temea kushoto. Wewe unajuaje kama uko 100% perfect?
Prof wa Chemistry na TIB wapi na wapi. I can understand him being board member of TBC, TFDA, NIMR and the like. Nampongeza alikuwa nyuma yangu miaka 3! A very intelligent guy at that time, he always scored A in almost every subject, he was christened MSONGE ie A
Mbona kama nimesikia ni Professor Pala.. Kabudi ndiye kateuliwa?Profesa Buchwe napenda kukupongeza kwa dhati kabisa kwa kuteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya TIB.
Sina wasiwasi na weledi, utendaji wako na taaluma yako ndani ya nchi hii. Tanzania inajivunia kuwa na Profesa wa Chemistry ambaye amewahi kumsimamia (supervise) mwanafunzi wa PhD katika idara ya Kemia, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye leo ni Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Si kazi rahisi kushape mwanafunzi wa PhD hadi anapita viva vos katika kutetea thesis yake lakini iliwezekana.
Natambua kazi hii uliifanya kama timu wakati Mkuu wa Idara ya Kemia akiwa Dr. Mubofu ambaye leo ni Mkurugenzi Mkuu mpya wa TBS baada ya aliyekuwa katika nafasi hiyo (Joseph Masikitiko) kusimamishwa kazi pamoja Mkurugenzi wake wa Fedha. Masikitiko hakuwa hata na taaluma ya sayansi lakini alikuwa akisimamia shirika ambalo utendaji wake wa kila siku ulihitaji maarifa ya sayansi - maajabu ya nchi yetu, lakini bora alitumbuliwa.
Binafsi najivunia kuwa alumini wa Idara ya Kemia, UDSM, Idara ambayo imemfunza Rais wa nchi katika mchepuo wa Kemia kwa kiwango cha PhD.
Kazi njema Profesa.
Nimesema nachagua watu wa kuwajibu! Sio wewe &Co. Ltd! Idd NjemaUnaota ndoto za mchana.Hujui kuna ma CEO wa mabenki ambao ni engineers !!! Hujui ma CEO wengi wa Mabenki wa maana hupatikanaje.Subiri nikuambie.Benki ikitaka kujikita mfano kwenye KUTOA MIKOPO UJENZI WA mabarabara au kwenye makampuni ya ujenzi au miradi mikubwa ya ujenzi watamtafuta engineer kuwa CEO.ANAYEJUA HIYO SECTA vizuri.Siyo teller anayejua kufungua na kufunga akaunti ya mteja aliyesoma mambo ya banking!!
TIB ni benki inayohusiana na uwekezaji katika nini? Tanzania inaelekea kwenye viwanda.Huko kwenye viwanda wakemia ni moja ya watu muhimu wanaotakiwa.TIB inaelekea huko kwenye ukopeshaji wa viwanda usitarajie kwa mwelekeo huo kuwe kunahitajika mtu aliyesoma what is banking apewe leading role!!!
Sasa aachane kabisa na mambo ya chromatograph na fractional distillation ajifunze basics za mwenendo na mahusiano ya macroeconomic variables (exchange rate, inflation, employment, interest rate, GDP etc). Vinginevyo atakuwa msikilizaji tu kwa hiyo kazi.Prof wa Chemistry na TIB wapi na wapi. I can understand him being board member of TBC, TFDA, NIMR and the like. Nampongeza alikuwa nyuma yangu miaka 3! A very intelligent guy at that time, he always scored A in almost every subject, he was christened MSONGE ie A
Hizi ni miongoni mwa sababu zinazotufanya tutamke, tena kwa mbwembwe, kwamba tunafuata wataalamu Rwanda! Wataalamu wetu hapa hatuwatumii inavyopaswa!Tangu lini Prof wa kemia akafanya kazi TIB kwa nini asimteue kwenye nafasi ambayo inaendana na taaluma yake? Tujifunze kutoka kwa wenzetu. Sisi tumebaki kulipa fadhila tu na sio kuangalia taaluma ya MTU na ufanisi wake.
Chemistry na benki tena benki ya maendeleo, kesho mtakuta benki inanunua test tube na measuring cylinder

Mkuu akisemwa vibaya ni shida akisifiwa ni shida pia, kama na nyie pia hamuamini semeni tu tena waeza ulizia yule alieprint thesis yake yupo wapi leoHivi hizi pongezi ni genuine kweli au kuna hidden agenda behind.
Huu unafiki wenu mpaka lini? Kwa nini mnapenda penda sana kuingilia teuzi za Dk.Magufuli.
Kwenye taaluma tusiwe waigizaji. Haihitaji uwe na PhD au Uprofesa. Na nitammshangaa sana huyo Bwana kama anakubali kuaibika kwa kutumikia kitu asichokielewa. Huyo sio mtaalamu wa Benki na wala hana taaluma ya Uwekezaji wa Kibenki. Hivi ukimuuliza huyo Prof. wa Chemistry kuhusu Return on Investments, Financial Valuation Models, Investment Actuary, etc anazijua? Tusijifanye tunataka kumuingiza Zaza apige penalti kwa manjonjo wakati kwenye uchumi hakuna maigizo.Unaota ndoto za mchana.Hujui kuna ma CEO wa mabenki ambao ni engineers !!! Hujui ma CEO wengi wa Mabenki wa maana hupatikanaje.Subiri nikuambie.Benki ikitaka kujikita mfano kwenye KUTOA MIKOPO UJENZI WA mabarabara au kwenye makampuni ya ujenzi au miradi mikubwa ya ujenzi watamtafuta engineer kuwa CEO.ANAYEJUA HIYO SECTA vizuri.Siyo teller anayejua kufungua na kufunga akaunti ya mteja aliyesoma mambo ya banking!!
TIB ni benki inayohusiana na uwekezaji katika nini? Tanzania inaelekea kwenye viwanda.Huko kwenye viwanda wakemia ni moja ya watu muhimu wanaotakiwa.TIB inaelekea huko kwenye ukopeshaji wa viwanda usitarajie kwa mwelekeo huo kuwe kunahitajika mtu aliyesoma what is banking apewe leading role!!!
Nimeandika kuwa TIB na Chemistry wapi na wapi, mtoto kutoka CCM akajibu kwa ushabiki wa CCM, and my principle is to ignore such people. Naamini atajifunza kwa sababu kama nilivyosema huyu Prof ana akili sana, and it is easy to grasp such concepts. Kama vinginevyo atakuwa msikilizaji lakini yule ninavyomjua hayuko hivyo, he will adapt!Sasa aachane kabisa na mambo ya chromatograph na fractional distillation ajifunze basics za mwenendo na mahusiano ya macroeconomic variables (exchange rate, inflation, employment, interest rate, GDP etc). Vinginevyo atakuwa msikilizaji tu kwa hiyo kazi.
Ukijibizana na akina YEHIDAYA unapoteza muda. These are technical things. Prof wa Chemistry hawezi toa mchango wa maana katika mambo ya bank investments! (Return on Investments, Financial Valuation Models, Investment Actuary,etc mimi naona nyota nyota hapo....) kama ulivyozitaja and many many more. Labda atajifunza maana he is very bright, very bright indeed!Kwenye taaluma tusiwe waigizaji. Haihitaji uwe na PhD au Uprofesa. Na nitammshangaa sana huyo Bwana kama anakubali kuaibika kwa kutumikia kitu asichokielewa. Huyo sio mtaalamu wa Benki na wala hana taaluma ya Uwekezaji wa Kibenki. Hivi ukimuuliza huyo Prof. wa Chemistry kuhusu Return on Investments, Financial Valuation Models, Investment Actuary, etc anazijua? Tusijifanye tunataka kumuingiza Zaza apige penalti kwa manjonjo wakati kwenye uchumi hakuna maigizo.
Hivi ukimuuliza huyo Prof. wa Chemistry kuhusu Return on Investments, Financial Valuation Models, Investment Actuary, etc anazijua? .
Thesis yake iko wapi tuione!Profesa Buchwe napenda kukupongeza kwa dhati kabisa kwa kuteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya TIB.
Sina wasiwasi na weledi, utendaji wako na taaluma yako ndani ya nchi hii. Tanzania inajivunia kuwa na Profesa wa Chemistry ambaye amewahi kumsimamia (supervise) mwanafunzi wa PhD katika idara ya Kemia, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye leo ni Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Si kazi rahisi kushape mwanafunzi wa PhD hadi anapita viva vos katika kutetea thesis yake lakini iliwezekana.
Natambua kazi hii uliifanya kama timu wakati Mkuu wa Idara ya Kemia akiwa Dr. Mubofu ambaye leo ni Mkurugenzi Mkuu mpya wa TBS baada ya aliyekuwa katika nafasi hiyo (Joseph Masikitiko) kusimamishwa kazi pamoja Mkurugenzi wake wa Fedha. Masikitiko hakuwa hata na taaluma ya sayansi lakini alikuwa akisimamia shirika ambalo utendaji wake wa kila siku ulihitaji maarifa ya sayansi - maajabu ya nchi yetu, lakini bora alitumbuliwa.
Binafsi najivunia kuwa alumini wa Idara ya Kemia, UDSM, Idara ambayo imemfunza Rais wa nchi katika mchepuo wa Kemia kwa kiwango cha PhD.
Kazi njema Profesa.