Hongera Maulid Kitenge

Kitenge ni Muhuni wa Alharamain Secondary School , usikute alishapasha cha Shaurimoyo kabla ya kwenda kwny press conference halafu Ana hasira sana na Mke Mwenzie Janet aliefoji vyeti na majina
Hii summary siyo ya nchi hii
 
Afisa alijua Kitenge ni mtu wa sports jezi namba tisa Mgongoni sio wa kumchezea wakati yeye ni mtu wa bwax
 
Reactions: SDG
Hujui kitu

Ova
 
Ilaa ki2 ambachoo nashndwa kuelewa hili jeshii la polisi linatumika vipi kwa kawaida polisi lazima aonyeshe kitambulisho sasa nilichoshangaa jamaa kachomoa silaha yakee iyoo iko vipii wadau ?????
Umemaanisha nini hapo,huku sio FB jaribu kuandia kwa usahihi.
 
Ushaisoma habari ya "Kibanga ampiga mkoloni?"
 
Ilaa ki2 ambachoo nashndwa kuelewa hili jeshii la polisi linatumika vipi kwa kawaida polisi lazima aonyeshe kitambulisho sasa nilichoshangaa jamaa kachomoa silaha yakee iyoo iko vipii wadau ?????
Jamaa hakuwa na kitambulisho wala cheti
 
Kinga ni bora kuliko tiba, usalama alikuwa sahihi kutoa silaha bila kuitumia ili kupunguza uwezekano na ulazima wa kuitumia. watu wakijuu kuwa kuna silaha wanabadilisha tabia.
Labda Hamorapa ndo alibadili tabia mbona akina Maulid walikomaa
 
...Kama ukifatilia Vizuri hiyo clip...Kitenge katoa wapi ujasiri wa kumzui huyo jamaa huku anamuambia unaharibu mambo...
Kama isingelikuwa na yeye usalama asingesema chochote..

Nahisi kitenge mtu wa usalama!
 
Mbona yule polisi alifiata mkia haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…