WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Mnafiki mkubwaaa..mnafiki mkubwaaaa...hatutaki kusikia pongezi za wachawi!
Mkuu bora ungenyamaza,unasema hutaki kusikia halafu unakoment,WHY?Acha,Nyamaza,Weka mbali.
Mnafiki mkubwaaa..mnafiki mkubwaaaa...hatutaki kusikia pongezi za wachawi!
again childish continues
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!
Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!
Mkuu kwa Taarifa nilizonazo Lema yuko ndani ya Arusha tayari, Crashwise hebu tuthibishie na kamanda MungiHivi Nape utakuja kua lini? This is too childish. Sisi ndo tuko Arusha na ndo tuliomchagua kwahiyo kama unaamua kupongeza just do that haya mengine ya maandamano yametoka wapi.
By the way tumeyamisi sana hayo maandamano, ungekuwa hapa Arusha ndo ungejua kuwa maandamano ndo kwanza yameanza kwa kishindo.
Kama siyo Lema tusingekuwa hapa tulipo leo kimaendeleo......lami kila korna ya jiji, leo tunaitwa jiji, wamama wa soko kuu kupewa uwanja wa NMC na wamachinga kujengewa complex pale palipokuwa na mgogoro (Kilombero).
Hayo yote yametendeka ndani ya miezi sita vitu ambavyo Mrema wa CCM kwa miaka kumi ameshindwa...........We are proud of you Lema.
Well come back Kamanda.....Kesho utapata mapokezi ambayo hayajawahi tokea katika historia ya Arusha.
Madhara ya ARV feki ndio haya yanajionesha wazi kwa wahanga, alaaniwe sana kada wa CCM madabida.teh teh teh bado mna hasira na Nape kwa sababu kamwita padiri BABU,halafu katoa siri kwamba bado ana kadi ya ccm.
Mods hizi hongera hazikuwa na hadhi ya kuanzishiwa thread nyingine,
Unganisheni na taarifa halisi ya Ushindi wa Lema!
Usiwe na tabu mkuu, hata JF huwa inatowa viti maalum, hawa huwa hawachelewi kulia na kusema hapa wanaonewa na JF ni Chadema. Mods huu uzi uacheni hapa hapa ujitegemee.
Pia weye Nape Musa Salumu Nnauye ( Nje Cup) maandamano yataendelea tu hakuna wa kutuzuia, Marekani wanaandamana, Uingereza wanaandamana, Ujerumani wanaandamana na hata hao magamba wenzako wanaandamana kwanini cdm...makamanda wa ukweli, mapeoples wasiandamane? Ungekuja arusha leo ujionee mwqenyewe watu wanavyosonga mbele.....................Mapeoplessssss peoplesssssssssssssssss...malizia mwenye weye
Safi MAN 4 M4C - nilitaka kuandika kama wewe bahati nzuri umeniwahi. Kwa kweli Shamra shamra kila mahali Arachuga.
teh teh teh teh teh teh teh! Vijana wa PM7 hali mbaya sa hivi na kiongozi wao PREZZO,
chezea Ben weyeeeee!
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!
Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!
Safi kaka unaonesha ni namna gani ulivyo mwanasiasa mahiri na msema kweli na ukomavu katika siasa.Ni kweli hawa jamaa haki ni pale wanaposhinda wao lakini wakishindwa ni kelele.Hawa ni kama watoto ni wakuvumiliwa tu.Hata kuwa na kadi mbili babu wao wanao sawa,ila angekuwa anazo zitto ungewasikia wakimtaka ajiondoe chamani.Ni chama ch kikanda,ukabila na udini
Wale walitumwa na sasa wataonja tamu ya kutumika kwasababu aliyewatuma atawatosa!Tunapopeleka watoto wetu kusoma India tuwe makini sana, kule kuna Degree mpaka za kuchi kuchi hotae, ukihitaji unaletewa mpaka nyumbani kwa DHL ni pesa yako tu.
Simlaumu Nape bali namshangaa aliyempa madaraka Nape ambayo anapwaya mno ni afadhali angeachwa andelee kula pesa za bure kwenye UDC maana hiki cheo hata mtu aliyeishia darasa la nne anakimudu kwa sababu DC hana kazi yoyote, mwenye kazi Wilayani ni DED.
Nape ni lazima uelewe Justice delayed is Justice denied.
Labda tu nikuulize swali la kichokozi gharama za kesi zitalipiwa na Kitengo chako cha propaganda au na Lowasa? maana msipowalipia kwa sababu mmewatuma nyinyi basi mjuwe wanakwenda jela wale, pale hakuna hata sura inayoonekana ina akiba hata ya kamilioni tu benki.
Nimeambiwa mmoja ni mama ntilie.
kuna kenge ndani ya kisima hiki..ngoja nitoke
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!
Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!
Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!