Hongera Lema! Hongera Chadema!

Hongera Lema! Hongera Chadema!

Wanachadema tunapokea hongera yako kwa tahadhari kubwa!

Sisi tunawapa pole kwa kuwategulia mapandikizi mliyoyaleta kwetu kutuvuruga!

Ahsante kamanda!
My may b 4 addition ni hivi.
Salamu zikufikie Nnauye Jr kuwa ule mpango wao wa kudhoofisha CHADEMA kupitia kijana wenu Zitto a.k.a PREZOO na kundi lake la PM7 kuwa huku mambo yote juani kupitia kamanda Ben Saanane labda watafute mbinu nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Kuanzia huu mwaka uanze na matokeo ya wale wote waliofutiwa uhalali wao wa kuwa ubunge yamekuwa siyo kama ilivyotarajiwa. Je! Kwa hatua hii ya lema leo kushinda rufaa imejifunza nini?
 
Hapa sijaona pongezi zaidi ya kejeli! Nani kakwambia hukumu ya leo itaondoa kumbukumbu ya ikulu kuingilia kesi ya lema?

Mmeona aibu kumtetea mtu ambaye ahangaikiki kujitetea.
Mtumie salamu hizi rafiki yako mpendwa lowasa kuwa cdm wana mpa salamu za christmas na mwaka mpya!

Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!
 
Hii post imejaa unafiki wa kijinga!
Kushindwa mahakamani kwa Lema na chadema mahakamani ilikuwa obvious, na leo mahakama ya rufaa imedhihirisha kuwa ni kweli kwenye hukumu ya awali kulikuwa na mkono wa mtu!
Nnauye Jr unashindwa kutumia uwezo na elimu yako matokeo yake unapost ujinga!
India shida san
 
Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kweli wewe dogo ni mburura, tena mburura mnafiki. Tangu lini Lema akawa mdogo wako? unalazimisha kukua? Ngoja sasa Lema awatie adabu manake mlikuwa mnafikiri mtapata nafuu sasa Lema amerudi anakata mirija yote na kuizika kabisa ccm.
 
Nape kazi unayo na kundi lenu la MP7 kwani huku mambo yamekuwa magumu.
 
Safi kaka unaonesha ni namna gani ulivyo mwanasiasa mahiri na msema kweli na ukomavu katika siasa.Ni kweli hawa jamaa haki ni pale wanaposhinda wao lakini wakishindwa ni kelele.Hawa ni kama watoto ni wakuvumiliwa tu.Hata kuwa na kadi mbili babu wao wanao sawa,ila angekuwa anazo zitto ungewasikia wakimtaka ajiondoe chamani.Ni chama ch kikanda,ukabila na udini


Kama ambavyo wewe unaunga mkono CCM ukiwa CDM kwa sababu ya uislamu wa kinana na kikwete!. Kumbe Zitto unamshabikia kwa sababu ya uislamu wake? MASALIA WANAKAZI kubwa!
 
Hii post ya kipambuvu iliyojaa unafiki wa kijinga!
Kushindwa mahakamani kwa Lema na chadema mahakamani ilikuwa obvious, na leo mahakama ya rufaa imedhihirisha kuwa ni kweli kwenye hukumu ya awali kulikuwa na mkono wa mtu!
Nnauye Jr unashindwa kutumia uwezo na elimu yako matokeo yake unapost ujinga!
India shida san

Kamanda huyo dogo elimu yenyewe amefanya kuungaunga kama gundi ndio maana yuko empty upstairs.
Aliramba duara kidato cha sita, ccm wakamsaidia kupata usajili wa dirisha dogo chuo cha mwalimu Nyerere Kigamboni akaanza na certificate, ndipo akaendelea kuungaunga hadi wakampeleka india.
 
Najua Nnape anaweza kuwa anakebehi, lakini nadhani kama Nnape anataka,bado inawezekana kujaribu kuingiza ustaarabu katika Siasa za Tanzania, tukalumbana zaidi kwa hoja za Msingi na siyo maisha binafsi ya mtu. Ila hapa itabidi nione mfano yoka kwa Nnape kwanza. Otherwise, huenda ukawa genuine waktai mwingine lakini reputation yako ilishatangulia character. Ndiyo maana huu utamaduni utachukua muda kujenga!

Otherwise Lema really deserves it!
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!

Naona Kikwete ataacha tena kwenda kula bata Arusha maana mwanaume karudi kazini.
 
Nape nadhani Kiliba cha mtima nyongo unakulemea na kisebusebu papo,Mpelekee salamu mwenyekiti wako huko Serengeti mwambie maagizo yake ya kishetani ya mabuma ,majaji wametekeleza wajibu wao Lema anatinga bungeni February lililopangwa na mungu mwanadamu hatengui
 
Nape mb0‹2na ni wa CDM tu!? Ana mawazo ya Kimapinduzi kabisa, tatizo ni mfumo wa aliyempa ajira/ulaji! Kijana njoo huku uunganishe nguvu na wenzako tuikomboe nchi yetu mikononi mwa Magamba! Huko uliko unaonekana mnafiki tu!
 
Safi kaka unaonesha ni namna gani ulivyo mwanasiasa mahiri na msema kweli na ukomavu katika siasa.Ni kweli hawa jamaa haki ni pale wanaposhinda wao lakini wakishindwa ni kelele.Hawa ni kama watoto ni wakuvumiliwa tu.Hata kuwa na kadi mbili babu wao wanao sawa,ila angekuwa anazo zitto ungewasikia wakimtaka ajiondoe chamani.Ni chama ch kikanda,ukabila na udini
Wale wale. akili 1/2.Suala la ukanda na udini mmeleta nyie wenywe.sisi huku tumechanganyika.Kazi kwenu wenye propaganda dhaifu ambazo hakina mashiko kwa sasa.
Adui yetu kwa sasa ni mafisadi na chama chao.HATUDANGANYIKI NG`OOOOO
 
Kamanda huyo dogo elimu yenyewe amefanya kuungaunga kama gundi ndio maana yuko empty upstairs.
Aliramba duara kidato cha sita, ccm wakamsaidia kupata usajili wa dirisha dogo chuo cha mwalimu Nyerere Kigamboni akaanza na certificate, ndipo akaendelea kuungaunga hadi wakampeleka india.

mbaya zaidi wahindi sijui walimfanya nini.......... nadhani India alienda kula pilipili badala ya kusoma ndo maana uwezo wake wa kufikiri ni mdogo kupindukia
 
Pongezi za Kinafiki.Mbona ulivyoenguliwa UVCCM ulipiga kelele ukidai vigogo wa Ikulu wala Rushwa wakubwa ndio waliokuangusha.Leo unaisifia tena Ikulu.Pole sana Gamba.

Ndivyo wanasiasa walivyo! Huna haja ya kushangaa kwa sababu wote wanayotenda na kusema Leo kesho hawayakumbuki.
 
Back
Top Bottom