Hongera Lema! Hongera Chadema!

Hongera Lema! Hongera Chadema!

Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!

Nashukuru kwamba umeona haki imetendeka, nadhani kinachofanya watu wasiwe na imani na mahakama zetu ni mfumo wa upatikanaji wa majaji, hata hivyo tujitahidi katiba mpya iweke misingi mizuri ya seperation of power ili mahakama iwe huru na wewe uweze kukubaliana na mahamuzi ya mahakama hata kama ccm itakuwa imegeuka chama cha upinzani. Pili arusha na Tanzania itatulia na kuwa na Amani kama tu haki itatendeka na si vinginevyo.
 
Naona Kikwete ataacha tena kwenda kula bata Arusha maana mwanaume karudi kazini.

Tena mwanaume wa mbegu!!! Hongera sana Lema!! Kideume wewe!! Hongera sana mawakili wake Lissu et al....
 
Ahsante tunashukuiru kwa pongezi,tafadhali 2015 usisahau kuja hapa na kutoa pongezi kwa Raisi wa CHADEMA
 
Kama ambavyo wewe unaunga mkono CCM ukiwa CDM kwa sababu ya uislamu wa kinana na kikwete!. Kumbe Zitto unamshabikia kwa sababu ya uislamu wake? MASALIA WANAKAZI kubwa!

''You don't have to win every argument. Agree to disagree'' FirstLady1
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!

Mkubwa wangu amani yakweli haipatikani kwakuwa kimya wewe ni mwana harakati na nina dhani unajuwa maana ya vurugu zinatokea, yote hate haya ni watu wana taka haki haya tuna yaona arusha na miji mu=ikubwa mingine ni upepo mdigo sana ambao utabadilika kuwa sunami 2015. Mkuu sikufichi Nchi ipo ktk wakati mzito na jambo lina niumiza kchwa ni kwanini J. K ALIKUWA RAIS MAANA BASI
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!

ahsante sana nepi karibu sana chama chama mkombozi wa watanzania.CHADEMA TUMAINI JIPYA.
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!
Tunapopeleka watoto wetu kusoma India tuwe makini sana, kule kuna Degree mpaka za kuchi kuchi hotae, ukihitaji unaletewa mpaka nyumbani kwa DHL ni pesa yako tu.

Simlaumu Nape bali namshangaa aliyempa madaraka Nape ambayo anapwaya mno ni afadhali angeachwa andelee kula pesa za bure kwenye UDC maana hiki cheo hata mtu aliyeishia darasa la nne anakimudu kwa sababu DC hana kazi yoyote, mwenye kazi Wilayani ni DED.

Nape ni lazima uelewe Justice delayed is Justice denied.

Labda tu nikuulize swali la kichokozi gharama za kesi zitalipiwa na Kitengo chako cha propaganda au na Lowasa? maana msipowalipia kwa sababu mmewatuma nyinyi basi mjuwe wanakwenda jela wale, pale hakuna hata sura inayoonekana ina akiba hata ya kamilioni tu benki.

Nimeambiwa mmoja ni mama ntilie.
 
Hilo ndiyo Nape lakubwabwaja.Linafikiria kwenye masaburia ndo mana kauli zake ovyo
 
Hivi Nape utakuja kua lini? This is too childish. Sisi ndo tuko Arusha na ndo tuliomchagua kwahiyo kama unaamua kupongeza just do that haya mengine ya maandamano yametoka wapi.
By the way tumeyamisi sana hayo maandamano, ungekuwa hapa Arusha ndo ungejua kuwa maandamano ndo kwanza yameanza kwa kishindo.
Kama siyo Lema tusingekuwa hapa tulipo leo kimaendeleo......lami kila korna ya jiji, leo tunaitwa jiji, wamama wa soko kuu kupewa uwanja wa NMC na wamachinga kujengewa complex pale palipokuwa na mgogoro (Kilombero).
Hayo yote yametendeka ndani ya miezi sita vitu ambavyo Mrema wa CCM kwa miaka kumi ameshindwa...........We are proud of you Lema.
Well come back Kamanda.....Kesho utapata mapokezi ambayo hayajawahi tokea katika historia ya Arusha.
 
Ndugu Nape,
napata wakati mgumu sana kupokea pongezi zako ama kuzielewa, mwaka jana ulipokuja Arusha kwenye kazi zako za unenezi wa chama (CCM) ulisema kwamba Lema anavuliwa Ubunge na tume ya Taifa ya Uchaguzi itatangaza uchaguzi mwingine ambao una uhakikika CCM itashinda,,sasa leo baada ya Lema kushinda rufaa unakuja na kumpongeza, umetoa wapi huo ujasiri wa kinafiki kiasi hicho??? Je pongezi zako ni za kweli ama ni unafiki kama ilivyo hulka yako??? Je unataka umma wa watanzania wakuelewe vipi???


"'Neither Jail nor death must hold fear for our leaders. They must feel always that the people are with them. And the people for their part must nurture and cherish their leaders. For the strength of the leaders lies in the strength of the people,Comrade Lema keep up the spirit of strungle, soon we shall over come"


Magoma Jr
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!
is this comming deep from your heart chief? as far as i know hivi mkiwaacha CDM waandamane juani; wafanye mikutano yao saa kumi na moja wasambaane huku wakiwa hoi kwa njaa na jua - mtapungukiwa na kitu kipi? hapa ndipo kwenye kiini cha tatizo -- Arusha, Morogoro, Iringa, Mwanza n.k

Nape kwa sababu upo hapa nipe majibu kidogo tu:
1. Elimu bora mpaka sekondari hela leo mmepata wapi? je imo kwenye ilani yenu? kama hamno mmeikopi wapi na je mmejiandaa vyema?
2. Kushusa vifaa vya ujenzi - hili nalo vipi?

funguka
 
teh teh teh bado mna hasira na Nape kwa sababu kamwita padiri BABU,halafu katoa siri kwamba bado ana kadi ya ccm.
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!
Nape hizo ni propaganda na sio pongezi, badili kichwa cha habari.

Mahakama zetu bado sana, utawala wa sheria ndio aibu tupu. Ni hivi Bw. Nape; hizi kesi zenye matokeo ya haki ni merely isolated cases/scenes. Dhuluma na uonevu vina outweight by far mazuri machache ya mahakama.

Au hili la ushindi wa Lema nalo ni moja ya mafanikio ya ilani ya CCM?
 
Mods hizi hongera hazikuwa na hadhi ya kuanzishiwa thread nyingine,

Unganisheni na taarifa halisi ya Ushindi wa Lema!
Usiwe na tabu mkuu, hata JF huwa inatowa viti maalum, hawa huwa hawachelewi kulia na kusema hapa wanaonewa na JF ni Chadema. Mods huu uzi uacheni hapa hapa ujitegemee.
 
Pongezi za Kinafiki.Mbona ulivyoenguliwa UVCCM ulipiga kelele ukidai vigogo wa Ikulu wala Rushwa wakubwa ndio waliokuangusha.Leo unaisifia tena Ikulu.Pole sana Gamba.

Hapa ndipo tunapokosea!!!!!,Mkuu umejuaje ni za kinafiki??!,mbona hakuna maneno yanayoonesha Unafiki hapo?!
 
Back
Top Bottom