Hongera Lema! Hongera Chadema!

Hongera Lema! Hongera Chadema!

Sioni ahueni ya CCM, LEMA alipokuwa HONEYMOON kawatesa ile mbaya, sasa amerudi hata nape anampigia magoti Lema ili awe mtulivu. BURIANI CHAMA CHA MAGAMBA!
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!

Naona umeanza kukomaa kisiasa, hongera sana kwa hili sio kila wakati kuongea uongo tu.
Vp mstakabari wa mafisadi, wezi wa rasilimali za wanyonge wa Taifa hili, vp manyangumu wala rushwa na watoa rushwa ndani ya taifa hili?
 
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Chadema na Mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya Ubunge wa Arusha. Nilidhani na leo mtasema CCM, Nape na Ikulu wameingilia kesi....MKISHINDA HAKI IMETENDEKA, MKISHINDWA KUNA MIKONO YA IKULU...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu Lema umeiona Arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. NARUDIA KWA HILI HONGERENI CHADEMA,HONGERA LEMA!!!

Kudadeki acha unafiki wewe. Mbona wakati walikuengua UVCCM ulipokuwa unalilia mkataba wa ujenzi wa majengo ya umoja wa vijana mbona ulikimbilia vyombo vya habari hadi ndugu zako wakakukana? Chezea mafisadi yenu SSM wewe!! Usilinganishe Chadema na majambazi!! Mbona leo Dar nako ni amani tu leo hii? Wanaoleta fujo kwenye ngome za SSM ni wale mamluki mmewapandikiza, Green guards na Polissm!!! Bisha!!! Mbona CDM wanafanya mambo yao bila polisi na hakuna fujo!!! Sasa hao mamluki na green guards watachambuliwa mmoja baada ya mwingine na matokeo yake utayaona. Kwa taarifa Lema will be forever MP for Arusha Mjini. Pendeni msipende!!! Kazi mnayo. Gharama za kesi niaje? Mtalipa kama Chama au ni yule kibosile fisadi? Kesho mapokezi ya halaiki!!!
 
Safi kaka unaonesha ni namna gani ulivyo mwanasiasa mahiri na msema kweli na ukomavu katika siasa.Ni kweli hawa jamaa haki ni pale wanaposhinda wao lakini wakishindwa ni kelele.Hawa ni kama watoto ni wakuvumiliwa tu.Hata kuwa na kadi mbili babu wao wanao sawa,ila angekuwa anazo zitto ungewasikia wakimtaka ajiondoe chamani.Ni chama ch kikanda,ukabila na udini
N

Nani angemwambia ajiondoe chamani, mbona Nape hajaambiwa ajiondoe kwa ajili ya ile kadi yake ya CCJ?
 
nachukua nafasi hii kuwapongeza chadema na mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya ubunge wa arusha. Nilidhani na leo mtasema ccm, nape na ikulu wameingilia kesi....mkishinda haki imetendeka, mkishindwa kuna mikono ya ikulu...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo. Mdogo wangu lema umeiona arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi... Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!

Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. Narudia kwa hili hongereni chadema,hongera lema!!!
linafiki likubwa at work....maji ya taka taka........
 
Unafiki huyu kijana mnafiki hizo pongezi za kinafiki
 
Wewe Do Santos naona ni kibaraka wa nape huna lolote ndio maana unajiita majina ya kizungu upumbavu mtupu.
 
Nape una maoni katika kila jambo linalotokea duniani?????? Wakati mwingine jifunze kunyamaza.!!!!!!!1
 
mbona leo hujasema CHADOMO!!!?? na wewe umekua au?
 
Mnafiki mkubwaaa..mnafiki mkubwaaaa...hatutaki kusikia pongezi za wachawi!
 
Back
Top Bottom