afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
kwa siku chache zilizopita nimekuwa nikifurahishwa sana na hawa wataalum wa
mashahiri na Ngonjera (Old school way)
kweli kama ni vipaji wanavyo na wamebarikiwa ..
Ni vizuri kama tungewashukuru kwa kututoa stress za kazi na mara nyingine
watulaza bila mawazo mazito..
Hawa ndo ma GREAT THINKER wa POEM..
na hawa wafuatao wanajitoa/ jumuika kwa kasi ya ajabu
Teamo ,Asprin, Kaizea
Twa mshukuru Wise Lady kwa kutuburudisha kwa mstari mmoja mmoja hahah lol
kama wataaka kuona mambo zaidi ya hawa Great Thinker nenda kwenye hizi thread
1. Nimekipata Kigori, wenye wivu wajinyonge ..by Magulumangu
2. Akili sana karibu kutenguliwa.. by Mzee Mwanakijiji..
jamani kama kuna wengine naomba tuwa orodheshe hapo chini
ili tuwape heshma zao au kama we ni mmoja wa hao mabigwa wa poem
basi huu ndo muda wako wa ku shine.. .. asanteni
peace
AD.
mashahiri na Ngonjera (Old school way)
kweli kama ni vipaji wanavyo na wamebarikiwa ..
Ni vizuri kama tungewashukuru kwa kututoa stress za kazi na mara nyingine
watulaza bila mawazo mazito..
Hawa ndo ma GREAT THINKER wa POEM..
Magulumangu
Mzee Mwanakijiji
Klorokwin
Baba Ubaya
Kashaijabutenge
Miss Judith
MwanajamiiOne
Mohamed Shossi
Michelle
Mzee Mwanakijiji
Klorokwin
Baba Ubaya
Kashaijabutenge
Miss Judith
MwanajamiiOne
Mohamed Shossi
Michelle
na hawa wafuatao wanajitoa/ jumuika kwa kasi ya ajabu
Teamo ,Asprin, Kaizea
Twa mshukuru Wise Lady kwa kutuburudisha kwa mstari mmoja mmoja hahah lol
kama wataaka kuona mambo zaidi ya hawa Great Thinker nenda kwenye hizi thread
1. Nimekipata Kigori, wenye wivu wajinyonge ..by Magulumangu
2. Akili sana karibu kutenguliwa.. by Mzee Mwanakijiji..
jamani kama kuna wengine naomba tuwa orodheshe hapo chini
ili tuwape heshma zao au kama we ni mmoja wa hao mabigwa wa poem
basi huu ndo muda wako wa ku shine.. .. asanteni
peace
AD.