Hongera kwa wapendwa wetu hawa..

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,145
9,207
kwa siku chache zilizopita nimekuwa nikifurahishwa sana na hawa wataalum wa
mashahiri na Ngonjera (Old school way)

kweli kama ni vipaji wanavyo na wamebarikiwa ..

Ni vizuri kama tungewashukuru kwa kututoa stress za kazi na mara nyingine
watulaza bila mawazo mazito..

Hawa ndo ma GREAT THINKER wa POEM..
Magulumangu
Mzee Mwanakijiji

Klorokwin
Baba Ubaya

Kashaijabutenge
Miss Judith

MwanajamiiOne
Mohamed Shossi
Michelle


na hawa wafuatao wanajitoa/ jumuika kwa kasi ya ajabu
Teamo ,Asprin, Kaizea

Twa mshukuru Wise Lady kwa kutuburudisha kwa mstari mmoja mmoja hahah lol

kama wataaka kuona mambo zaidi ya hawa Great Thinker nenda kwenye hizi thread
1. Nimekipata Kigori, wenye wivu wajinyonge ..by Magulumangu
2. Akili sana karibu kutenguliwa.. by Mzee Mwanakijiji..


jamani kama kuna wengine naomba tuwa orodheshe hapo chini
ili tuwape heshma zao au kama we ni mmoja wa hao mabigwa wa poem
basi huu ndo muda wako wa ku shine.. .. asanteni

peace
AD.
 
Mimi hapa!Ngoja nikuletee kitu kesho!!Hongera wote waliopo hapo juu kwa kushea vipaji vyao na sisi!
 
Najaaa kwa kasi ya moto wa mabua!Wote hapo juu wakae chonjo coz kesho nachukua medali!

namie niko hapa kuku pokea kwa vigele gele na vifijo..
maana nafuatiliaga sana hicvyo lol
twa kusubiri kwa hamu sana dear
hahahah lol

mmhh ngoja niache kukupa pressure bure hahahah lol
 
Afrodenzi, acha kunibania. Lakini poa!!!!!
Ngoja nikaVutie kasi.
Ze next report nitajitahidi niwe ndani ya 10 pale juu.

Good analysis .
 
Afrodenzi, acha kunibania. Lakini poa!!!!!
Ngoja nikaVutie kasi.
Ze next report nitajitahidi niwe ndani ya 10 pale juu.

Good analysis .

mmhh samahini sana dear..
mie sikuona dear..
duuhh pole sana
huwaga nafanya hizi poster za namna hii mara nyingi
sinto kusahau dear samahani sana ..

na pole sana :)
 
Kweli kabisa, anayestahili kupongezwa na apongezwe,
Hongereni sana wapendwa.

Teamo, Asprin na Kaizer nawaandalieni zawadi, mtakuja kuichukua pale kwa Baba Sunday.
 
kwa siku chache zilizopita nimekuwa nikifurahishwa sana na hawa wataalum wa
mashahiri na Ngonjera (Old school way)

kweli kama ni vipaji wanavyo na wamebarikiwa ..

Ni vizuri kama tungewashukuru kwa kututoa stress za kazi na mara nyingine
watulaza bila mawazo mazito..

Hawa ndo ma GREAT THINKER wa POEM..
Magulumangu
Mzee Mwanakijiji

Klorokwin
Baba Ubaya

Kashaijabutenge
Miss Judith

MwanajamiiOne
Mohamed Shossi
Michelle


na hawa wafuatao wanajitoa/ jumuika kwa kasi ya ajabu
Teamo ,Asprin, Kaizea

Twa mshukuru Wise Lady kwa kutuburudisha kwa mstari mmoja mmoja hahah lol

kama wataaka kuona mambo zaidi ya hawa Great Thinker nenda kwenye hizi thread
1. Nimekipata Kigori, wenye wivu wajinyonge ..by Magulumangu
2. Akili sana karibu kutenguliwa.. by Mzee Mwanakijiji..


jamani kama kuna wengine naomba tuwa orodheshe hapo chini
ili tuwape heshma zao au kama we ni mmoja wa hao mabigwa wa poem
basi huu ndo muda wako wa ku shine.. .. asanteni

peace
AD.

Kweli kabisa, anayestahili kupongezwa na apongezwe,
Hongereni sana wapendwa.

Teamo, Asprin na Kaizer nawaandalieni zawadi, mtakuja kuichukua pale kwa Baba Sunday.

Aisee wiki hii nimepata bahati ya kufagiliwa basi mbichwa huo!

Ngoja nirudi kitandani kukusanya nguvu ya ushairi!:kev:
 
Hongereni eeh!
Kuna zawadi ya pipi kwa kila mmoja.
Ngoja mimi nikajifunze kuchora vikatuni manake ushairi hadi nitoke hapa jf sio leo.
 
Mhhhh,
Heri mimi sijasema!!

Ahsante sana AD kwa kuwakumbuka waburudishaji...... Hongereni sana wote mnaotoa bila kinyongo!
 
afro gal friend asante kwa compliment ingawa umenipendelea,,,lol!btw ur mcd by me
 
Afrodenzi ur right nadhani Husninyo anaweza chukua namba hapo!
 
kwa siku chache zilizopita nimekuwa nikifurahishwa sana na hawa wataalum wa
mashahiri na Ngonjera (Old school way)

kweli kama ni vipaji wanavyo na wamebarikiwa ..

Ni vizuri kama tungewashukuru kwa kututoa stress za kazi na mara nyingine
watulaza bila mawazo mazito..

Hawa ndo ma GREAT THINKER wa POEM..
Magulumangu
Mzee Mwanakijiji

Klorokwin
Baba Ubaya

Kashaijabutenge
Miss Judith

MwanajamiiOne
Mohamed Shossi
Michelle


na hawa wafuatao wanajitoa/ jumuika kwa kasi ya ajabu
Teamo ,Asprin, Kaizea

Twa mshukuru Wise Lady kwa kutuburudisha kwa mstari mmoja mmoja hahah lol

kama wataaka kuona mambo zaidi ya hawa Great Thinker nenda kwenye hizi thread
1. Nimekipata Kigori, wenye wivu wajinyonge ..by Magulumangu
2. Akili sana karibu kutenguliwa.. by Mzee Mwanakijiji..


jamani kama kuna wengine naomba tuwa orodheshe hapo chini
ili tuwape heshma zao au kama we ni mmoja wa hao mabigwa wa poem
basi huu ndo muda wako wa ku shine.. .. asanteni

peace
AD.

Give love to receive love,
Embrace friends you will live,
When in love strieve,
Afrodenzi, from your heart you are brave,

THANK YOU.
 
Kweli kabisa, anayestahili kupongezwa na apongezwe,
Hongereni sana wapendwa.

Teamo, Asprin na Kaizer nawaandalieni zawadi, mtakuja kuichukua pale kwa Baba Sunday.

hahahah lol
jitayarishe mwaya..
lazima watakuja lol
 
Aisee wiki hii nimepata bahati ya kufagiliwa basi mbichwa huo!

Ngoja nirudi kitandani kukusanya nguvu ya ushairi!:kev:

babu babu babuuu
babbu huyo babuuu
babu huyo babu babu huyoo babu.
ni kwaniii anaringaa
aringiaa uzazi wake mwenyee..

hahahah lol U deserve it babu Asprin..
 
Hongereni eeh!
Kuna zawadi ya pipi kwa kila mmoja.
Ngoja mimi nikajifunze kuchora vikatuni manake ushairi hadi nitoke hapa jf sio leo.

hahahah lol
tuko wengi mwaya hata usijali...
ndo maana nikawaita
Great thinker lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom