Mkandarasi aliyejenga barabara ya kijenge juu - ngulelo amefanya kazi nzuri,wakandarasi wa ndani sasa wanajitahidi nawashauri waungane waweze kupata miradi mikubwa zaidi,ila sisi wakazi wa kijenge tutashukuru zaidi kama barabara hiyo ikafika ngulelo kabisa mapema,tofauti na sasa,hongera sana HARI SINGH & SONS LTD