Barabara zinajengwa na sugu ?
Dar es Salaam zinjengwa hayuko Sugu, Dodoma zinajengwa hayuko Sugu, Arusha .................
Ni mpango wa WB kuboresha miji mtoa uzi usidanganyike. Pia lazima ujenzi uwemo kwenye bajeti ya mwaka wafedha na sio vinginevyo. Sugu anatetea haki za wasanii.
Dar es Salaam zinjengwa hayuko Sugu, Dodoma zinajengwa hayuko Sugu, Arusha .................
Ni mpango wa WB kuboresha miji mtoa uzi usidanganyike. Pia lazima ujenzi uwemo kwenye bajeti ya mwaka wafedha na sio vinginevyo. Sugu anatetea haki za wasanii.
Sugu alituahidi atadeal na suala la barabara na sasa takribani barabara saba hapa jjn mbeya ziko katika matengeneneza katika kiwango cha rami. Mpesya(mbunge wa zamani wa ccm) ilikuwa ni kitendawili kwake.
Sugu mjanja sana. Kawaambia vinega wafanye matamasha pesa zinazopatikana zipelekwe kuwanunulia chakula wakazi wa jimbo lake. Very creative...
Kuwa makini unapozungumza, Hata kama mpango ungetoka mbinguni kama wasimamiaji ni wazembe hakuna kitachofanyika. Mbeya ni zaidi ya miaka kumi hakuna hata kilometa moja ya barabara ya lami iliyojengwa, zaidi hata zile zilizokuwepo pia hali yake ni taabani. Kwa wale waliopo Mbeya watakubaliana na mimi barabara nyingi za mbeya zilivyodhoofu kipindi chote cha miaka 10 mheshimiwa yule alipokuwa mbunge. Mpesya alikuwa anayaona hayo? Lakini muheshimiwa kaingia tunaona mambo yanaenda vizuri kwa ufuatiliaji wake na wanambeya.Dar es Salaam zinjengwa hayuko Sugu, Dodoma zinajengwa hayuko Sugu, Arusha .................
Ni mpango wa WB kuboresha miji mtoa uzi usidanganyike. Pia lazima ujenzi uwemo kwenye bajeti ya mwaka wafedha na sio vinginevyo. Sugu anatetea haki za wasanii.
mzee unaota nini? au umekurupuka kutoka usingizini? Mbeya hakuna shida ya chakula,na kama ikitokea mbeya kuna shida ya chakula basi sehemu zingine za Tanzania mtakuwa mmeanza kufa njaa. Mbeya is the leading producer of food crops in EAST AFRICA.
Sasa mshaurini angalau asafishe cheti chake cha Form 4 basi. Kuwa na mbunge aliyepata pointi 33 nayo si kitu kizuri kwa kweli. Kama mnampenda kweli basi jaribuni kumpa ushauri kwa hili.
Inawezekana wewe ndio unaota kuwa kuna mtu anaota.
Angalia hapa...
Truth Well Told: SUGU ALA XMASS NA WAHANGA WA MAFURIKO WA IYUNGA MBEYA, ANTI VIRUS NAO WACHANGIA GUNIA 40 ZA MAHINDI