Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,434
- 1,765
Sasa mshaurini angalau asafishe cheti chake cha Form 4 basi. Kuwa na mbunge aliyepata pointi 33 nayo si kitu kizuri kwa kweli. Kama mnampenda kweli basi jaribuni kumpa ushauri kwa hili.
Sugu alituahidi atadeal na suala la barabara na sasa takribani barabara saba hapa jjn mbeya ziko katika matengeneneza katika kiwango cha rami. Mpesya(mbunge wa zamani wa ccm) ilikuwa ni kitendawili kwake.
Sugu mjanja sana. Kawaambia vinega wafanye matamasha pesa zinazopatikana zipelekwe kuwanunulia chakula wakazi wa jimbo lake. Very creative...
mbona shoo za vinega nyingi hufanyika bure! Au nawe ni kirusi nini?
Sasa mshaurini angalau asafishe cheti chake cha Form 4 basi. Kuwa na mbunge aliyepata pointi 33 nayo si kitu kizuri kwa kweli. Kama mnampenda kweli basi jaribuni kumpa ushauri kwa hili.
Nyinyi mko very interesting!!! Umeme ukikatika mnamlaumu Kikwete, barabara zikijengwa mnampongeza Sugu...
Waulize MAGAMBA...!inamaana miaka yote hiyo tangu mbeya iitwe mbeya kulikuwa hakuna misaada ya kutengeneza barabara?
Usifikiri watu hawana kumbukumbu. Asilimia 33 ya gross income ya tamasha la Mbeya imeenda jimboni kwa Sugu. Tamasha lipi lililofanyika bure?
Acha kufikiri kwa kutumia masaburiSasa mshaurini angalau asafishe cheti chake cha Form 4 basi. Kuwa na mbunge aliyepata pointi 33 nayo si kitu kizuri kwa kweli. Kama mnampenda kweli basi jaribuni kumpa ushauri kwa hili.
Rud kwenye topic,acha ujuhaSugu mjanja sana. Kawaambia vinega wafanye matamasha pesa zinazopatikana zipelekwe kuwanunulia chakula wakazi wa jimbo lake. Very creative...
matamasha mawili yamefanyika pale uwanja wa dr. Slaa (zamani CCM). Album za Anti virus Mixed tape ni buuuureee!
Hata hivyo, mbeya hatuna shida ya chakula! Na kwa iyo unakubali kuwa Sugu ni zaidi ya mbunge wa Mbeya sio?
Dar es Salaam zinjengwa hayuko Sugu, Dodoma zinajengwa hayuko Sugu, Arusha .................
Ni mpango wa WB kuboresha miji mtoa uzi usidanganyike. Pia lazima ujenzi uwemo kwenye bajeti ya mwaka wafedha na sio vinginevyo. Sugu anatetea haki za wasanii.
Barabara zinajengwa na sugu ?
Dar es Salaam zinjengwa hayuko Sugu, Dodoma zinajengwa hayuko Sugu, Arusha .................
Ni mpango wa WB kuboresha miji mtoa uzi usidanganyike. Pia lazima ujenzi uwemo kwenye bajeti ya mwaka wafedha na sio vinginevyo. Sugu anatetea haki za wasanii.
Mbeya nchi sugu rais...