Hongera kwa jeshi la Polisi

Hongera kwa jeshi la Polisi

Kwakweli napenda kuwapa hongera kwa jeshi la polisi ninavyoweza kutuliza ghasia hapa nchini. Kumekuwa na tabia za watu kufanya vitu vinavyopindisha amani ya nchi. Hivyo polisi endeleeni na kazi nzuri mnayofanya.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Bila shaka unanyemelewa na ugonjwa wa mtindio wa ubongo.
 
Pongezi gani ilhali hata ponda kawashinda kaja mpaka muhimbili bila kujulikana?

Washamuwasha risasi ya mkono na kachelewa matibabu so lazima ulemae! Hongera sana polisi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ngoja siku wamlime risasi mke wako, au mume wako au mjomba wako au shangazi wako au binamu wako au bibi yako au babu yako, au baba mdogo wako au mtoto wako au mdogo wako au shemeji yako au wifi yako au jirani yako au bosi wako au mfanyakazi mwenzako au binamu yako.. au wewe. ndio utajua Polisi wa Tanzania ni kitu gani...Rest in Peace Daudi Mwangosi.
 
Washamuwasha risasi ya mkono na kachelewa matibabu so lazima ulemae! Hongera sana polisi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Haya ndio matatizo ya kuwa mke wa afande!
Usipo msifu anakukata makofi na usiku lzm uimbe wimbo wa taifa!
Kwa hiyo mi sikulaumu!

Hata mke wa afande jirani yangu anatabia hiyohiyo.

Hata afande akinya sebuleni anasifu kuwa eti amekunya kijeshi jeshi!

Teh teh teh teh!
 
Polic mabegwe tu,hawana lolote.Wana.....gwa. wehu.wasifie watakuja kufa mda siyo mrefu
 
Kiukweli mtu kama ponda mteteeni ila madhara yake mtayaona tu. Wekebi siasa pembeni. Sio kila jambo ni lakubeza polisi jamani. Nchi za wenzetu wanaumia kwasababu yakuwaendekeza watu kama ponda. Nawahasa watanzania wenzangu.
 
Kweli we kuku mdogo, ndio maana na akili zako pia ni ndogo.......
 
Hongera ya nin? Kwa uuaji na ukatili waliozoea kuufanya? Itafika cku yako utalia na kusaga meno.
 
Washamuwasha risasi ya mkono na kachelewa matibabu so lazima ulemae! Hongera sana polisi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Unadhani mtu msomi anahitaji mikono na miguu km mlala hoi!
Lbda wamuue kabisa! Lkn akitoka huko basi nguvu yake ni mara mbili!
We huoni mfano wa wapigania haki woote duniani?
Risasi, mabomu, sijui kuwekwa ndani! Kusingiziwa kesi ! Yoote hayo ni kama sunnah tu!
Na kila wakifanya hivyo ndo jamaa anapata umaarufu na wafuasi kwa wingi!
We huoni hizi uzi zoote anazo ongelewa huyu ustadh! Zimepeta wachangiaji kwa maalfu na wanazidi kuongezeka!

Yaani huyu ponda bado kidogo tu! Atakuwa kama martin Luther King! Au mandela!
"I had a dream".
Haleluyah ndugu watanzania!
 
Kwakweli napenda kuwapa hongera kwa jeshi la polisi ninavyoweza kutuliza ghasia hapa nchini. Kumekuwa na tabia za watu kufanya vitu vinavyopindisha amani ya nchi. Hivyo polisi endeleeni na kazi nzuri mnayofanya.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums



Kwa hii kidogo nawapongeza ila bado sana kwa wauza unga na uhalifu wa makusudi kama vile ujambazi na utapeli ambao wao polisi ndiyo wahusika wakubwa. Tunataka jeshi letu la polisi lirudie ile hali ya enzi za Mwl. Nyerere.
 
Kwakweli napenda kuwapa hongera kwa jeshi la polisi ninavyoweza kutuliza ghasia hapa nchini. Kumekuwa na tabia za watu kufanya vitu vinavyopindisha amani ya nchi. Hivyo polisi endeleeni na kazi nzuri mnayofanya.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums


Kwa hii kidogo nawapongeza ila bado sana kwa wauza unga na uhalifu wa makusudi kama vile ujambazi na utapeli ambao wao polisi ndiyo wahusika wakubwa. Tunataka jeshi letu la polisi lirudie ile hali ya enzi za Mwl. Nyerere.
 
Polic mabegwe tu,hawana lolote.Wana.....gwa. wehu.wasifie watakuja kufa mda siyo mrefu
Naomba siku moja tu hao polisi wakae kando wasiwepo barabarani,wasiwepo benki,wala wasionekane mtaani hapo ndo utajua Kama ni mabwege tu au wana umuhimu wao,tatizo lako nimegundua ni uelewa mdogo
 
polisi gani anataka kupiga kifuani anapiga Bega.. huyu dawa yake ilikua kupigwa kifua tungejenga Amani lakini wamekosea kipuuzi sana
 
Haya ndio matatizo ya kuwa mke wa afande!
Usipo msifu anakukata makofi na usiku lzm uimbe wimbo wa taifa!
Kwa hiyo mi sikulaumu!

Hata mke wa afande jirani yangu anatabia hiyohiyo.

Hata afande akinya sebuleni anasifu kuwa eti amekunya kijeshi jeshi!

Teh teh teh teh!

duuh! te te te te te
 
Ukisha liwa filigisi wewe na kuku mkubwa ndo utawajua hao jamaa ni nani!
 
Mtu kama Ponda ni Mhaini wala dini Haijui! So nibora aondoke kabisa kwenye ramani ya Tanzania kwanza Sio Mtanzania anakuja kutuletea Tabu tu hapa! Na nibora wammalizie pale mhimbili. Polisi fanya kazi yenu msisikilize wahuni wanaomtetea sheik Ponda.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom