Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,703
- 7,907
Hakuna atakaye baki,kila mtu atakufa,hata wewe unayetoa pongezi siku ikifika utakufa,Huwenda ikawa katika list ya mda wako wa kufa,ndio inasogea baada ya kufa mtu fulani.Kwakweli napenda kuwapa hongera kwa jeshi la polisi ninavyoweza kutuliza ghasia hapa nchini. Kumekuwa na tabia za watu kufanya vitu vinavyopindisha amani ya nchi. Hivyo polisi endeleeni na kazi nzuri mnayofanya.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums