Hongera kwa jeshi la Polisi

Hongera kwa jeshi la Polisi

Wamemkamata na mzungu wa meno ya Tembo!


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mnajifanya mnampenda sana ponda bt si mtu mzuri atatugawa watanzania kidini. Nashangaa anawaponda makafiri yaani wakrito na ndio wanaomtibia muhimbili au anajua ma dr wote muslim?

Halafu we shangazi nae wa ajabu kweli!

Hao unaowaita madaktari wa kikafiri!
Kazi inayo walipa mishahara ni kutibu! Sio kutangaza injili!

Kwa hiyo usianzishe ubaguzi wa kusema dr huyu magalatia na huyu muislamu! Ukienda hospitali huulizi dini ya Daktari hata siku moja!
Mbona wagalatia wengi tu wanatibiwa kwenye hospitali za kiislamu na Madaktari wa kiislamu! Acha hizo!

Na kuhusu ponda! Unasema atatugawa!

Hebu tuonyeshe hayo maneno aliyosema ambayo yatatugawa!
Au hata hayo maneno ya chuki kama ameshawahi kusema hebu tuonyeshe hapa!
Basi watu ushabiki tu! Hebu ogopeni mungu kidogo jamani!

Mna muonea mzee wa watu! Kisa?!
Kusema ukweli!?
 
Minjagu imemwaga humu kuja kumwaga sumu!!! Eti hongera kwa kutuliza ghasia nchini!!! Ghasia zipi mlizotuliza wakati mauaji ya mchana kweupe yanatendeka na wahusika hawakamatwi, watu wanamwagiwa tindikali wahusika wanapeta mtaani, Watanzania wanauwawa kwa mabomu kule Arusha, Mtwara wanapigwa kutiwa vilema na kuchomewa mali zao mbali mbali, halafu unakuja hapa na kuandika ----- wako eti mnatuliza fujo!!! Hebu tutolee upuuzi wako hapa....msonyo mrefu mxchyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Minjagu imemwaga humu kuja kumwaga sumu!!! Eti hongera kwa kutuliza ghasia nchini!!! Ghasia zipi mlizotuliza wakati mauaji ya mchana kweupe yanatendeka na wahusika hawakamatwi, watu wanamwagiwa tindikali wahusika wanapeta mtaani, Watanzania wanauwawa kwa mabomu kule Arusha, Mtwara wanapigwa kutiwa vilema na kuchomewa mali zao mbali mbali, halafu unakuja hapa na kuandika ----- wako eti mnatuliza fujo!!! Hebu tutolee upuuzi wako hapa....msonyo mrefu mxchyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Msonyo balaa huu! Teh teh teh teh! We inaonekana una usongo sana na mamwela!
 
Je aliyelipua bomu Olasite Arusha, watz wanajua kinachoendelea? acheni sifa zaajabu
 
Kwakweli napenda kuwapa hongera kwa jeshi la polisi ninavyoweza kutuliza ghasia hapa nchini. Kumekuwa na tabia za watu kufanya vitu vinavyopindisha amani ya nchi. Hivyo polisi endeleeni na kazi nzuri mnayofanya.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

samahani huenda nikatumia lugha ambayo sii nzuri sana ila kikubwa tunatakiwa tukusamehe cos u dont know what u ar talking about.
Give us the vivid example for u to congrats police of tz am sure hujawahi kupatwa na mambo yafuatayo
*kupigwa mabumu
*ndugu ako kufungwa bila kosa
*kuuawa nk
hivi thinking capacity yako ikoje?jiulize kwa umakin haya yanayotokea jamani ndo uje useme hapa jf elewa hakuna amani wewe .think twice b4 hujapost mada hapa
 
samahani huenda nikatumia lugha ambayo sii nzuri sana ila kikubwa tunatakiwa tukusamehe cos u dont know what u ar talking about.
Give us the vivid example for u to congrats police of tz am sure hujawahi kupatwa na mambo yafuatayo
*kupigwa mabumu
*ndugu ako kufungwa bila kosa
*kuuawa nk
hivi thinking capacity yako ikoje?jiulize kwa umakin haya yanayotokea jamani ndo uje useme hapa jf elewa hakuna amani wewe .think twice b4 hujapost mada hapa

Uzuri wao hawalipui kabla ya kuwataarifu watu kuondoka! Wanafanya kazi kwa weledi kabisa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
samahani huenda nikatumia lugha ambayo sii nzuri sana ila kikubwa tunatakiwa tukusamehe cos u dont know what u ar talking about.
Give us the vivid example for u to congrats police of tz am sure hujawahi kupatwa na mambo yafuatayo
*kupigwa mabumu
*ndugu ako kufungwa bila kosa
*kuuawa nk
hivi thinking capacity yako ikoje?jiulize kwa umakin haya yanayotokea jamani ndo uje useme hapa jf elewa hakuna amani wewe .think twice b4 hujapost mada hapa

Huoni ponda kakamatwa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom