Centrehalf
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 509
- 145
Salaam wana jamvi napenda kuchukua nafasi hii kuipongeza kk ya ccm kwa kuhoji utenda wa baadhi ya mawaziri.hatua hii ni nzuri kwani imelenga kwenye kuongaza dhana ya uwajibikaji.ila natoa hadhari ju ya namna ya kushughulikia matatizo ya namna hii.
1.tuswatangaze walengwa kwenye majukwa ya siasa.
2.tusiwaonee watu.
3.tuwe makini ili kulinda maslahi ya chama na serikali,maana tunaweza jenga chama huku tukiibomoa serikali yetu wenyewe au kinyume chake naomba kuwasilsha.
1.tuswatangaze walengwa kwenye majukwa ya siasa.
2.tusiwaonee watu.
3.tuwe makini ili kulinda maslahi ya chama na serikali,maana tunaweza jenga chama huku tukiibomoa serikali yetu wenyewe au kinyume chake naomba kuwasilsha.