Hongera kamati kuu ya CCM

Hongera kamati kuu ya CCM

Salaam wana jamvi napenda kuchukua nafasi hii kuipongeza kk ya ccm kwa kuhoji utenda wa baadhi ya mawaziri.hatua hii ni nzuri kwani imelenga kwenye kuongaza dhana ya uwajibikaji.ila natoa hadhari ju ya namna ya kushughulikia matatizo ya namna hii.
1.tuswatangaze walengwa kwenye majukwa ya siasa.
2.tusiwaonee watu.
3.tuwe makini ili kulinda maslahi ya chama na serikali,maana tunaweza jenga chama huku tukiibomoa serikali yetu wenyewe au kinyume chake naomba kuwasilsha.

Kikao cha umbeya tu hamna jipya hapo ni yale yale, nani wa kufunga paka kengere ikiwa wote ni mafisadi!
 
salaam wana jamvi napenda kuchukua nafasi hii kuipongeza kk ya ccm kwa kuhoji utenda wa baadhi ya mawaziri.hatua hii ni nzuri kwani imelenga kwenye kuongaza dhana ya uwajibikaji.ila natoa hadhari ju ya namna ya kushughulikia matatizo ya namna hii.
1.tuswatangaze walengwa kwenye majukwa ya siasa.
2.tusiwaonee watu.
3.tuwe makini ili kulinda maslahi ya chama na serikali,maana tunaweza jenga chama huku tukiibomoa serikali yetu wenyewe au kinyume chake naomba kuwasilsha.


kuhoji kwa style hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
nawauliza maccmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
 

Attachments

  • 1461117_566007296801505_1535122407_n.jpg
    1461117_566007296801505_1535122407_n.jpg
    42.3 KB · Views: 42
Inakuhji nini sasa...wakati kazi yako tayari imesha kuhoji na kazi huwezi....sasa nataka serikali ikurudishe darasani....au ndiyo wanataka wapelekwe tena Semina elekezi Arusha.
 
Yale yale!!! Tofauti na wenzako, wewe umepongeza halafu ukatoa mapendekezo yanayoashiria kuwa unaikosoakamati ku na hususani mbwekaji NAPE. Kwa kuumia sikolji rahisi tu ni kwamba wewe unaonekana uwa mmoja wa wachezaji kwenye hi timu mbovu iliyotajwa. Usjifanye unataka kulinda maslahi ya serikali ndugu yangu. Serikali ipi mkuu? Kupambana na utendaji mbovu ndo kulinda maslahi kwenyewe labda kama una tafsiri binafsi.
Salaam wana jamvi napenda kuchukua nafasi hii kuipongeza kk ya ccm kwa kuhoji utenda wa baadhi ya mawaziri.hatua hii ni nzuri kwani imelenga kwenye kuongaza dhana ya uwajibikaji.ila natoa hadhari ju ya namna ya kushughulikia matatizo ya namna hii.
1.tuswatangaze walengwa kwenye majukwa ya siasa.
2.tusiwaonee watu.
3.tuwe makini ili kulinda maslahi ya chama na serikali,maana tunaweza jenga chama huku tukiibomoa serikali yetu wenyewe au kinyume chake naomba kuwasilsha.
 
Back
Top Bottom