Hongera Kamanda Mbowe!!

Hongera Kamanda Mbowe!!

hao wote uliowataja wako ndani ya CCM. Hv kwa nn hampendi kuweka ukweli uwe nuru? Personal issues hazina nafasi kwa kiongozi mkubwa kama Mbowe ila kwa ww buku7 unazijengea hoja. Hv kwenu hakuna wazee wakupe maadili?

Hapo ndipo ninawashangaa sana hawa jamaa.. Hapa Pongezi ni kwa utendaji wake Kichama na sio issue binafsi ,kwani issue binafc ziko nyingi sana hasa kwa Viongozi wenye majina makubwa Duniani..
 
hujui kwamba role model wa mbowe ni kikwete.huoni jk nae anavyosemwa na kumwagiwa maneno lukuki lakin kimya harudishi.ndio mbowe ametoa hiyo busara kwake.

Usimtie Najisi Kamanda Mbowe kwa Kumlinganisha na D.H.A.I.F.U
 
Habari wana JF..
Leo nimeona si vibaya kupitia Jukwaa hili,nikizitoa Pongezi zangu kwa Mwenyekiti aliyepata Mafanikio makubwa (Pengine kuliko wenyeviti woote wa Vyama vya Upinzani)
Katika uongozi wake..
Pongezi zangu nazituma kwako kwa Ukomavu wako na uvumilivu wako mkuu ..
Umerushiwa makombira Makubwa sana,lakini haukujishughulisha kujibu.
Hii inaonyesha ni kwakiasi gani ulivyo na Hekima,Busara na Ukomavu wa hali ya juu katika medani hii ya Siasa,Hasa Siasa za Tanzania yetu,zilizojaa Chuki,Uhasama na kila aina ya Vituko..
Hongera Kamanda..
Wana CDM tunaimani na wewe.
Mungu Ibariki CDM..

Anaogopa kujibu kwa kuwa anakumbuka kilichomkuta kwenye mtihani wa kidato cha sita. Pamoja na kujibu maswali yote aliambulia division zero (kwa lugha nyingine msamvu). Kwa hiyo usipotoshe watu kuwa ana busara. Hakuna mtu yeyote mwenye busara duniani aliyewahi kupata ziro secondari
 
Pongezi hizo bora ungempatia Mwigulu Nchemba kwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri, kuliko kung'ang'ania kumsifu mtu ambaye hastahili sifa hizo hata kidogo; Kwanza yuko kimya kwa sababu Elimu yake ni ndogo hivyo hawezi kupata la kujibu vinginevyo atatukana na kuishia Mahakamani, pili anamadhambi makubwa sana kama vile kununua majumba makubwa Dubai na Marekani kwa fedha za Ruzuku yaani fedha za Chama, pia kwenda kutumia fedha ya walala hoi kustarehe na bi mdogo huku yeye ni cristian. Jamani Muogopeni Mungu.
Mungu awasamehe woooooote walio mahodari kuona vibanzi kwenye macho ya wenzao wakati wao wamejaza maboriti machoni mwao!
 
Anaogopa kujibu kwa kuwa anakumbuka kilichomkuta kwenye mtihani wa kidato cha sita. Pamoja na kujibu maswali yote aliambulia division zero (kwa lugha nyingine msamvu). Kwa hiyo usipotoshe watu kuwa ana busara. Hakuna mtu yeyote mwenye busara duniani aliyewahi kupata ziro secondari

Chuo cha Busara kiko wapi ktk Dunia hii!? Wewe una Shahada ngapi za Busara!?
 
Mbowe ni kiongozi wa pekee na maccm wameshindwa kabisa kuidhoofisha CDM chini ya Kamanda Mbowe pamoja na kupandikiza mamluki wao ndani ya Chadema wanaowaita wasomi lakini aibu imewakuta

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hakika ni ukweli usiopingika kuwa ndani ya kipindi kijacho cha miaka 20 ni ngumu kupata Kiongozi mwenye uwezo wa kujitolea na kusimamia jambo kwa muda na mali zake kama Kamanda Mbowe. Wengi humu wanapiga kelele tu hata kuanzisha NGO ngazi ya kijiji hawawezi ni pye pye tu. Ndugu zangu kusimamisha taasisi kama CDM pamoja na changamoto zake si kazi rahisi. Kungekuwa na kutunukiwa cheti zaidi ya U- Profesa ndicho kingemfaa. Ukifuatilia toka wazo la CDM lilipoanza hadi hapa taasisi ilipofika Mh. Mbowe ameshajiwekea historia yake hapa Tanzania. Leo kama si Mbowe hivi Zitto/Mwigamba/Mnyika Mdee n.k tungewajua? Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Mh. Mbowe kaza kamba kuna kizazi kitakachokuelewa mbele ya safari lakini si hiki cha kina Dr. Kawambwa na Jenister Mhagama
 
Mbowe sio mwadilifu kwani amewageuza wabunge wa viti maalumu kuwa vimada wake

nani mwadilifu ccm? hata kwa mbowe ingekuwa hivyo mnavyosema si ni afadhali! huyo mbunge ni mtu mzima mwenye utashi na maamuzi yake! tuseme nini juu ya wanaowalaghai na kuwabaka wanafunzi? sitetei uzinzi ila kama ni kuongea sio nyie ccm, labda waseme wengine
 
Back
Top Bottom