Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,900
- 28,015
Mbowe ni kipngozi Shupavu..
Na mama yakoPongezi kuzaa nje
hao wote uliowataja wako ndani ya CCM. Hv kwa nn hampendi kuweka ukweli uwe nuru? Personal issues hazina nafasi kwa kiongozi mkubwa kama Mbowe ila kwa ww buku7 unazijengea hoja. Hv kwenu hakuna wazee wakupe maadili?
hujui kwamba role model wa mbowe ni kikwete.huoni jk nae anavyosemwa na kumwagiwa maneno lukuki lakin kimya harudishi.ndio mbowe ametoa hiyo busara kwake.
Habari wana JF..
Leo nimeona si vibaya kupitia Jukwaa hili,nikizitoa Pongezi zangu kwa Mwenyekiti aliyepata Mafanikio makubwa (Pengine kuliko wenyeviti woote wa Vyama vya Upinzani)
Katika uongozi wake..
Pongezi zangu nazituma kwako kwa Ukomavu wako na uvumilivu wako mkuu ..
Umerushiwa makombira Makubwa sana,lakini haukujishughulisha kujibu.
Hii inaonyesha ni kwakiasi gani ulivyo na Hekima,Busara na Ukomavu wa hali ya juu katika medani hii ya Siasa,Hasa Siasa za Tanzania yetu,zilizojaa Chuki,Uhasama na kila aina ya Vituko..
Hongera Kamanda..
Wana CDM tunaimani na wewe.
Mungu Ibariki CDM..
Mungu awasamehe woooooote walio mahodari kuona vibanzi kwenye macho ya wenzao wakati wao wamejaza maboriti machoni mwao!Pongezi hizo bora ungempatia Mwigulu Nchemba kwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri, kuliko kung'ang'ania kumsifu mtu ambaye hastahili sifa hizo hata kidogo; Kwanza yuko kimya kwa sababu Elimu yake ni ndogo hivyo hawezi kupata la kujibu vinginevyo atatukana na kuishia Mahakamani, pili anamadhambi makubwa sana kama vile kununua majumba makubwa Dubai na Marekani kwa fedha za Ruzuku yaani fedha za Chama, pia kwenda kutumia fedha ya walala hoi kustarehe na bi mdogo huku yeye ni cristian. Jamani Muogopeni Mungu.
Mbowe jembe haijawai tokea
Anaogopa kujibu kwa kuwa anakumbuka kilichomkuta kwenye mtihani wa kidato cha sita. Pamoja na kujibu maswali yote aliambulia division zero (kwa lugha nyingine msamvu). Kwa hiyo usipotoshe watu kuwa ana busara. Hakuna mtu yeyote mwenye busara duniani aliyewahi kupata ziro secondari
Ufinyu wa kufikiri na wivu wa kijinga - nimemkumbuka sana Mr Clean! Kumbe alikuwa mkweli na muwazi kwelikweli mwe!Mbowe sio mwadilifu kwani amewageuza wabunge wa viti maalumu kuwa vimada wake
Mbowe ni kipngozi Shupavu..
Pongezi kuzaa nje
Mbowe sio mwadilifu kwani amewageuza wabunge wa viti maalumu kuwa vimada wake