Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,922
- 4,715
Kazi nzuri sana imefanyika na hii iwe funzo wanaodhani wanaweza kutokutii Sheria na Maelekezo
Siku za Karibuni Kamanda Murillo alitoa Onyo kwa watu waliopanga kuleta Vurugu na Kuchoma Mahakama Moto Magari ya Magareza na Kuchoma Moto Baadhi ya Vituo vya Polisi na Mahakama
Jaribo la Chadema Kuingiza Nchi machafukoni imeshindika na wamedhibitiwa kwa ustadi na Vijana Imara wa Jeshi La Polisi
Naendelea Kutoa Wito kwa Keyboard Warriors wa Hapa Jf Kuacha kutimia Id Feki na Kutumia majina yao halisi tutambue wao ni Wanaharakati halisi na sio Panya Buku .
Hongera sana Kamanda Murilio imekua funzo kubwa
Siku za Karibuni Kamanda Murillo alitoa Onyo kwa watu waliopanga kuleta Vurugu na Kuchoma Mahakama Moto Magari ya Magareza na Kuchoma Moto Baadhi ya Vituo vya Polisi na Mahakama
Jaribo la Chadema Kuingiza Nchi machafukoni imeshindika na wamedhibitiwa kwa ustadi na Vijana Imara wa Jeshi La Polisi
Naendelea Kutoa Wito kwa Keyboard Warriors wa Hapa Jf Kuacha kutimia Id Feki na Kutumia majina yao halisi tutambue wao ni Wanaharakati halisi na sio Panya Buku .
Hongera sana Kamanda Murilio imekua funzo kubwa