Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,593
- 2,380
Ni muda mfupi tu tangu umeteuriwa kuwa mkuu wa wiraya ya Arumeru na kazi yako kubwa mbali na maendeleo unayoyafanya ni kuhakikisha jimbo la Arumeru linakua la CCM.
Deal done! Kazi haikuwa rahisi ila now unastahili kupata ukuu wa mkoa umeonyesha unaweza kama mnyeti alivyofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Deal done! Kazi haikuwa rahisi ila now unastahili kupata ukuu wa mkoa umeonyesha unaweza kama mnyeti alivyofanya
Sent using Jamii Forums mobile app