LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Haitapendeza kupita bila kumpongeza mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro,kwa kupambana na kuhakikisha Dampo la maji ya chai linafukiwa,leo nikuwa natokea moshi nimeona greda linafukia dampo hilo ambalo ni kero kwa abiria na watali wanaopita barabara ya Moshi arusha.Hakuna mkuu wa wilaya na Mkoa ambaye amewahi kuwa Arumeru ambaye hajalalamikiwa kuhusu hili dampo.Kwa hili Muro nakupongeza sanaa umeonyesha Muheshimiwa hajabahatisha kukupa hicho Cheo.