Hongera Jenerali Mabeyo, bila wewe tusingefika hapa

Hongera Jenerali Mabeyo, bila wewe tusingefika hapa

Mh. Salvatore Mabeyo hongera sana, kama si wewe tusingefika hapa tulipo, nikuombe kwa muda utakaopewa na Mungu wa kuishi uandike kitabu na ueleze yote uliyoifanyia Tanganyika. Kutoka kwenye Uvungu wa moyo wako utuambie yote mema na mabaya ili utuachie Historia sahihi ya utumishi wako.
MZEE ametukosea sana huyu
 
Back
Top Bottom