Hakuna mwanasiasa mcha Mungu kama Dr Shein ila anyway siasa ni siasa tu
Mcha Mungu how?? Kwan yule unadhan kanisan haendagi ee🤔
Hakuna mwanasiasa mcha Mungu kama Dr Shein ila anyway siasa ni siasa tu
Tafakari utaelewa hata baadaye,Mcha Mungu how?? Kwan yule unadhan kanisan haendagi ee🤔
Tafakari utaelewa hata baadaye,
Hilo halina ubishi kamanda, ila ushindi kwa Pombe ni lazima kama kufa kwa binadam.. tukutane 28 OCT.Sawa mkuu kikubwa ni kujiandaa kisaikolojia hata kama wewe ni uvccm
Kwa kutumia haki uliyo itumia basi nami nasema hivi piga ua Lissu ndiye rais ajayeHilo halina ubishi kamanda, ila ushindi kwa Pombe ni lazima kama kufa kwa binadam.. tukutane 28 OCT.
Salutary.Kwa kutumia haki uliyo itumia basi nami nasema hivi piga ua Lissu ndiye rais ajaye
Hakuna mwanasiasa mcha Mungu kama Dr Shein ila anyway siasa ni siasa tu
Hongera sana kwa kuutangazia Umma wa Tanzania kuwa hutaki ushindi wa kura za wezi au wizi, ni sawa kwa kuanza kuwatahadharisha wanaopanga kukuharibia pepo yako, ama hapo umetoa kauli nzuri ambayo Inshaallah isiwe na shaka ndani yake.
Huku ni kujipambanua na mbinu zilizokuwa zinatumika kuwaweka viongozi madarakani na kama nilimsikia Magufuli akigusia haki itumike, katika kupata mshindi halali bila ya wizi.
Je, mnajua maana yake watu hawa kujitenga na kura za wezi? Kikinuka watakaobeba msalaba ni tume ya Uchaguzi na viongozi wa vikosi watakaokubali kuingizwa mjini na mitego ya CCM matumbo.
Hakuna mwanasiasa mcha Mungu kama Dr Shein ila anyway siasa ni siasa tu
Kwa kifupi tu Dr Hussein Mwinyi amewekwa kwa mapenzi na faida ya watawalaMtu wa bara hawezi kuwa Rais wa Zanzibar Mkuu ni katiba ya SMZ inasema hivo sio maneno yangu. Baba ake amekuwa Rais wa Zanzibar maana yake na yeye ni Mzanzibari.
Zile kauli za JPM ni ushahidi, Lissu ameshaukusanya kuendelea na mbele katika kutafuta haki yake.Huyu JP aliyewaambia watendaji kuwa awape mshahara halafu wamtangaze mpinzani? Huyu aliyefanyia figisu vyama vya upinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, au huyu aliyekataza wenzake wasifanye siasa miaka minne hata mikutani ya ndani, huyu anayenunua wabunge wa upinzani. Mmeanza kuogopa sasa, endeleeni
Tena ni the new jesus in townMcha Mungu how?? Kwan yule unadhan kanisan haendagi ee🤔
No,hapana!Ulishawahi kuona au kusikia mwizi akisema hizi nilizo nazo ni mali za wizi?
Membe aliwahi kulisemaKwa nyomi lile la Maalim. Nahapo ni Unguja makao ya CCM.
CCM haijawahi kushinda Maalim Seif.
Unamjuwa au unamsikia tu! Amani karume atakuwa ni Imam wa msikiti wa Makka basi!Hakuna mwanasiasa mcha Mungu kama Dr Shein ila anyway siasa ni siasa tu