🤣 🤣 🤣 hilo nalo neno. Atakayeiba sio yeye, kura wanaibwa waliomtuma kugombea wakisaidiwa na "jecha" wao ambaye anateuliwa na raisi aliyepo madarakani
Haswaaaa. Haibi yeye, wanaiba waliomweka pale ambao maslahi yao yanategemea uwepo wake madarakani.Wataiba na atakaa madarakani.
Sidhani kama anakiamini na kukisimamia hicho alicho kisemaHongera sana kwa kuutangazia umma wa Tanzania kuwa hutaki ushindi wa kura za wezi au wizi, ni sawa kwa kuanza kuwatahadharisha wanaopanga kukuharibia pepo yako, ama hapo umetoa kauli nzuri ambayo Inshaallah isiwe na shaka ndani yake.
Huku ni kujipambanua na mbinu zilizokuwa zinatumika kuwaweka viongozi madarakani na kama nilimsikia Magufuli akigusia haki itumike, katika kupata mshindi halali bila ya wizi.
Je, mnajua maana yake watu hawa kujitenga na kura za wezi? Kikinuka watakaobeba msalaba ni tume ya Uchaguzi na viongozi wa vikosi watakaokubali kuingizwa mjini na mitego ya CCM matumbo.
Hasa wa kutoka ccmUsimwamini mwana-siasa
Bado JechaYule Mzee aliyepundua matokeo ya Wazanzibar 2015 ametangulia mbele ya haki kule lupaso Masasi, sidhani kama kuna mtu mwingine wa kuzuia matokeo ya Maalim Seif.
Yaani ni sawa na eti mfungwa uchague gerezaYeye anawekwa na CCM. Atake asitake kwa sababu yule ni MTU wa bara
CCM Zanzibar wameshashindwa,na mwaka huu watashindwa vibaya sana. Dr Hussein Mwinyi ni mtu mstaarabu amehamua kujitenga mapema na uhuni wowote ule Ila aende mbali zaidi wakimtangaza kwa mabavu akatae wampe hiyo nchi Jecha aiongoze.
Zenji ndiyo matokeo yanajulikana hata kabla ya kampeini kuanza kuwa ccm yupo mahututiKumbe anajua kura za aina hiyo zipo na zimewahi kutumika. Vizuri. Lakini hayo ni maneno matamu kwani aliyeshika mpini si yeye ni JPM na watu wake.
Wengi tunasahau, Kikwete alisema CCM haitamfia mikononi mwake-akamkata Lowasa na kule Zenj wakamuibua Jecha. Mtihani mkuu wa JPM utakuwa Zanzibar.
Siku zote mwizi siku zake ni 40Kwa nyomi lile la Maalim. Nahapo ni Unguja makao ya CCM.
CCM haijawahi kushinda Maalim Seif.
Anaenda kuwa kiongozi wa kwanza kuikabidhi ccm kwa upinzaniMtu wa bara hawezi kuwa Rais wa Zanzibar Mkuu ni katiba ya SMZ inasema hivo sio maneno yangu. Baba ake amekuwa Rais wa Zanzibar maana yake na yeye ni Mzanzibari.
Wanajifanya kusahau yaliyo wakuta kina Rutokweli aisee..... Mwinyi na JPM ni dhahiri wanawaangushia jumba bovu Kaijage na mwenziwe wa Zanzibar pamoja na Sirro.
wakiingia kichwa kichwa na kuharibu halafu kupelekea intervention ya ICC, wataliwa hivyo vichwa mchana kweupe!!
Hili liko uchi kabisa. Sema jamaa ni wezi Mnooooo. Jecha anajua hiliUchaguz ukiwa huru na haki. Zanzibar inakuw purple mchana kweupeeee
Duh! sawa wa bavicha ila bado mapema wacha tuone.Anaenda kuwa kiongozi wa kwanza kuikabidhi ccm kwa upinzani
Sawa mkuu kikubwa ni kujiandaa kisaikolojia hata kama wewe ni uvccmDuh! sawa wa bavicha ila bado mapema wacha tuone.
Huyu JP aliyewaambia watendaji kuwa awape mshahara halafu wamtangaze mpinzani? Huyu aliyefanyia figisu vyama vya upinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, au huyu aliyekataza wenzake wasifanye siasa miaka minne hata mikutani ya ndani, huyu anayenunua wabunge wa upinzani. Mmeanza kuogopa sasa, endeleenikweli aisee..... Mwinyi na JPM ni dhahiri wanawaangushia jumba bovu Kaijage na mwenziwe wa Zanzibar pamoja na Sirro.
wakiingia kichwa kichwa na kuharibu halafu kupelekea intervention ya ICC, wataliwa hivyo vichwa mchana kweupe!!