Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Kuna mahali nimemwandika Karume ama aa miwani ya jua usiku huu?Unamjuwa au unamsikia tu! Amani karume atakuwa ni Imam wa msikiti wa Makka basi!
Kuna mahali nimemwandika Karume ama aa miwani ya jua usiku huu?Unamjuwa au unamsikia tu! Amani karume atakuwa ni Imam wa msikiti wa Makka basi!
Hufahamu Kiswahili au?Kuna mahali nimemwandika Karume ama aa miwani ya jua usiku huu?
Asante mdugu kwa mapenzi yako juu ya Dr. Shein. Huyu kama ni hivo unavoamini wewe basi zenji tungekuwa mbali sana. Kwanza Msheikhe wa UAMSHO wangelikuwa wameachiwa zamani lakini ameshindwa kuwatetea na akamsukumia mzigo Sefu Ali Iddi wakati yeye ndiye kiongozi. Anamuogopa Sefu Iddi kama mdudu wa sikio. Pili, zile pesa za mtoto wa mfalme wa Qatar takriban ya $74 million angelizirudisha kwa wenyewe. Dunia nzima wanajuwa kilicho fanyika. Tatu, angelijiuzulu baada ya kushindwa kura na maalim. Kukubali kuwa raisi kumemtia dosari kubwa . na la mwisho ni pesa za kujenga kiwanja cha ndege zanzibar hazipo na hakuna ajuae uwanja utamalizika lini.Hakuna mwanasiasa mcha Mungu kama Dr Shein ila anyway siasa ni siasa tu
Kwa nyomi lile la Maalim. Nahapo ni Unguja makao ya CCM.
CCM haijawahi kushinda Maalim Seif.