Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

Status
Not open for further replies.
usilolijua!!!

wakati mwingine huwa tuna waacha mazuzu na mandondocha ya ccm yasapotiane ujaha wao',lakini sie tunaojua mapungufu yao wala hatuhangaiki,yaache tu hayo mazuzu dada rose wala usihangaike nayo hayajitambui yapo utumwani ccm.
 
Pasco ni gamba, yupo kwenye siasa kwa maslahi, usijiumize kichwa kutaka kumwelewa
Call me what you may, it's not gonna change my status !.
Mtu wa kwanza kumuita JK ni dhaifu ni mimi kupitia uzi huu na wengi mlinipongeza mkiniita bold!.
Mtu wa kwanza kusema CCM imechokwa ni mimi kupitia uzi huu, na wengi mlinipongeza!.
Niliposema Chadema Haijajipanga, hili ndilo likawa kosa, nikaanza kuitwa gamba!.

Kiukweli kutoka ndani ya nafsi yangu sina chama ila kuna ninawakubali sana kwa Chadema ni ZZK, kwa CCM ni EL, na kwa CUF ni Jussa!.
Pasco.
 

Unazifahamu 14 Principles of Management? Rudi darasani! Moja ya principle ni Principal of One Boss/Unity of command! Wote hawawezi kuwa wasemaji!
 
Mkuu Njopa, mtu unapoamua kujikomba komba kwa viongozi wabovu, huna haja ya kuandika posti ndeefu, maneno machache tuu yangetosha mfano uliposema utendaji wao unazidi wenyeviti na makatibu wa vyama vyote East and Central Africa,, ingetosha!.
Kiukweli kuna baadhi ya mashabiki wa Chadema sijui wanatumia nini kufikiri?!.

Pasco
 
Wekeni threads za kujenga chama sio kutupotezea muda wa kujadili indivisual issues
 
I have one word for the going ons chadema- DISGRACE.
 
Mnyika hakupaswa kujiingiza kwenye hili.hakuwa na sababu ya kujiweka kwenye level ya akina Lema,Msigwa na Sugu.Ni kujidharirisha.

Bila kujua,amejishushia heshima katika hili.

Kwa hiyo mlitaka afanye nini? Akae kimya wakati yeye ni msemaji wa chama? Au mlitaka apingane na maamuzi ya chama ili tu awafurahishe nyie? Ametumia haki yake na busara kama kiongozi kuunga mkono maamuzi ya chama. Hivi hamjui maana ya collective responsibility kwenye maamuzi ya kama hayo?

Wamarekani weusi wanapenda kusema "when you're with your N....a and he starts war you are supposed to roll with him even if he's wrong, you will tell him later that he was wrong"
 

Zito ni Mbunge wa Mahakama
 

Wewe naona unatafuta bwana, humu JF sio mahali pake ni bora ukaenda facebook huko utampa bwana!:A S wink:
 

Je Prof Safari ni member wa CC ya CHADEMA? Kwa kawaida huwa sio mtu wa kuongea.....hata kwenye suala la ushindi wa Kashinje mahakamani alikataa kuongea.....kwenye vipindi vya kiswahili TBC mpaka mtangazaji humuuliza Profesa mbona kimya?
 
Mijitu imekariri,kuona mtu ameliongelea hili mlitaka mpaka aje JF???? ubongo kama wa kuku'
 
kimya KINGI HUWA KINA MSHINDO MKUU. lazima halaima anaegemea kwa kamati kuu ambayo naye si mjumbe walakini?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…