Hongera Dr. Mwakyembe, hongera TRC

Mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, Clouds walimtukana sana, hasa Gerald Hando na PJ, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, NINAWACHUKIA...

Kwa mtazamo wao walikua wako sahihi, kwa sababu it is next to impossible kujenga reli za kuhudumia dar na kuzifanya zianze kazi ndani ya miezi sita.

Kitu mbacho hawakujiuliza ni kwamba je hizo reli zote ni mpya?
Baadhi ya hizi reli zilikuwepo tangu awali, kwa mfano reli zinazoanzia ubungo mpaka stesheni zilitumika enzi hizo kusafirisha bidhaa kutoka viwanda vya ubungo kwenda stesheni(urafiki, UFI, Fishnet,Maziwa, storage ya bandari, n.k)
 
Sitampongeza mwakyembe wala Serikali kwa sababu walichokifanya wamesukumwa kwa zaidi ya miaka 20. Wamechelewa kufanya. Pili siwapongezi kwa sababu wamefanya kitu ambacho kila mmoja anaweza kukifanya. Wamekopa na kutekelezea kazi hiyo. Zaidi wameongeza deni la Taifa kwa manufaa ya kisiasa.

lazima utakuwa Chadema wewe... mwakyembe amekuwa waziri wa hiyo wizara kwa muda gani... ? mwakyembe anahitaji pongezi.. serikali ya Dr. JK inahitaji pongezi....

reli zilikufa awamu ya kwanza ya nyerere... JK kwa hari mpya anaanza kuzifufua taratibu... bado ile ya tanga! :cheer2:
 
Naomba nitumie nafasi hii kumpongeza Dr. Harison Mwakyembe pamoja na washika dau wenzake kwa jitihada kubwa walizozifanya hadi ahadi yake ya kutuletea usafiri wa tren hapa jijini kukamilika tangu uhuru wa nchi hii upatikane.

SHIME MWAKYEMBE.

:israel:

Hivi wote waliotangulia kwenye wizara hiyo hawakulionaga hili?
 
Binafsi nampongeza Dr. Mwakyembe kwa jambo moja tu, KUTHUBUTU.
Viongozi wengi tulionao akiwemo RAIS wa JMT, ni waoga kufanya alilofanya Dr. Mwakyembe au afanyavyo Dr. Magufuli.
SIo kwamba waliopo madarakani hawayaoni matatizo yaliyopo au changamoto tulizonazo.
Lakini akili zao ni kama zimefungwa hivi na kuwazuia kupanga na kujaribu..
Leo hii Dr. Mwakyembe kaanza, ni rahisi baada ya muda fulani kutambua changamoto zilizopo katika uendeshaji usafiri wa treni mjini.
Muhimu ni sisi wasafiri na watumiaji hiyo treni kuonesha ushirikiano...
 
I have to salute the man, He said by October Dar City Trains will start, and now we can see they are moving. Its a very good platform for this poor nation in terms of accountability as he has also clearly explained the costs, and we can vividly see the changes!

When The Rapid Bus starts also, and managed properly, it will ease massively the current socio-economic burden caused by the outdated, poorly managed transportation system in Dar City.

Furthermore, this improved transportation will bring about rapid expansion of Dar City, as it will be ease to move from ilala to kinondoni to temeke, for normal workers, students, traders etc.

We do not need politics in this!

We need common sense and proper management systems.

CCTV cameras should be installed in all the train stations and inside the train.

We will catch more vibaka,magendo, wasiolipa tiketi, n.k

Big up Mwakyembe for showing your guns, now keep them firing!!
 
We need people who walk their talk like Jembe Mwakyembe! Big up Brother umejiwekea Kahistoria kako ndugu! Kumbe Mungu alikunusulu na kile kisumu ili uje uonyeshe njia! Salute.
 
Umenena vyema Simple

Imefika wakati kwa watanzania sasa kuwa walinzi wa mali za umma, na si kulaumu tu mabaya yanapotokea, wakati tulikuwa na uwezo wa kuyazuia.

mfano; kwenye vituo vingi vya mabasi, vyuma wamekomba, na mabati wamekwapua...na wengine wetu tuliona, tukasema "si mimi"

Watu tunatupa takataka ovyo barabarani, kisa kuna wamama wameajiriwa kazi yao ni kusafisha barabara, wataokota mauchafu hayo..n.k n.k.


Kila mmoja awajibike kama Mwakyembe..na mafanikio tutayaona. Big up Mwakyembe!! Mbombo Ngafu..nadhani ni sifa fulani hili neno kwa Kinyakyusa.
 
Last edited by a moderator:
Na safari ni asubuhi kwenda city center na jioni kurudi ....

Unajua saa ngapi na saa ngapi?

Kwa mujibu wa mmoja wa viongozi waandamizi wa TRC, alisema treni hiyo itafanya kazi kila siku isipokuwa kwa siku za jumapili na siku kuu na itaanzia saa 12:00 asubuhi hadi saa sita mchana na kupumzika hadi saa 9:00 za jioni, itakapoendelea tena na safari zake hadi majira ya saa nne usiku....

Safari moja toka Ubungo hadi stesheni, inachukua dakika thelathini.
 
We need people who walk their talk like Jembe Mwakyembe! Big up Brother umejiwekea Kahistoria kako ndugu! Kumbe Mungu alikunusulu na kile kisumu ili uje uonyeshe njia! Salute.

We Mwakyembe sio Jembe, bali ni MPINI!

I SALUTE him too, kwa heshma yake iyo train ingeitwa "TRAIN YA MWAKYEMBE", siyo mpaka jk afunfugue ndio ipewe jina lake, Tutakukumbuka Daima. kwani umeweza, najua kuna watu wanaingalia hiyo progress kwa jicho la husda, washindwe na watokomee
 
hawa ndio mawaziri ambao wanaweza kunishawishi niangalie CCM kwa jicho lingine.......tatizo ni wachache sana......kama wote wangekuwa hivyo......tusingekuwa na malumbano......binafsi namuona Mwakyembe na Magufuli.......sijui wenzangu.......
 
it it totally true bana... tunawataka watu kama hawa katika nchi kama hii....

!!..Inaniuma sana pindi my EX-GIRLFRIEND anapopata NEW BOYFRIEND akatoka SHAVU DODO zaidi ya nilivyo kuwa naye..!!

sasa demu si we mwenye umemwacha???yan me sijaelewa bado so we ulitaka awe na maisha magumu ili???au unataka akurudie baadae!!hapa ndipo siwaelewi wanaume kabisa.....

 
May I know the rate of return on capital employed (ROCE) of that project? Simple Henge Preta Maundumula I want to invest in chagga land because they normally leave in village and come Moshi town in the morning and back in the evening
 
Last edited by a moderator:
I have to salute the man, He said by October Dar City Trains will start, and now we can see they are moving. Its a very good platform for this poor nation in terms of accountability as he has also clearly explained the costs, and we can vividly see the changes!

When The Rapid Bus starts also, and managed properly, it will ease massively the current socio-economic burden caused by the outdated, poorly managed transportation system in Dar City.

Furthermore, this improved transportation will bring about rapid expansion of Dar City, as it will be ease to move from ilala to kinondoni to temeke, for normal workers, students, traders etc.

We do not need politics in this!

We need common sense and proper management systems.

CCTV cameras should be installed in all the train stations and inside the train.

We will catch more vibaka,magendo, wasiolipa tiketi, n.k

Big up Mwakyembe for showing your guns, now keep them firing!!

I SALUTE YOU HONORABLE DR MWAKWEMBE!!

ULICHOFANYA WEWE, NAONA KWA MAGUFULI NA SASA PROF MHONGO NI KUDEMONSTRATE USOMI WENU....

SASA MNAANDIKA HISTORIA MPYA YA UMUHIMU WA MSOMI KWA JAMII YAKE....

PHD NI ZAIDI YA PESA, MADARAKA, UMASHUHURI, NK....

PHD NI KUDEMONSTRATE UWEZO WAKO TO MAKE THINGS HAPPEN...FOR THE BENEFIT OF HUMAN BEINGS......

KWA MARA YA KWANZA NINAHISI KIKWETE anastahili phd kwa kuwaelevate ninyi.....na kuwaachia mudemonstrate capacities zenu....

this should be a lesson kwa wasomi uchwara waliojaa nchini wakifacilitate wizi wa wasio wasomi lakini wenye madaraka........wale walamba viatu...

kilichonitoa CCM ndicho unachokifanya...wewe lakini ukiwa ndani ya CCM....

TUNAJUA ULINUSURIKA KUFA PIA PALE ULIPOKATAA KATU KATU KUUZWA NBC...HADI UKAJITOA UJUMBE WA BODI YA NBC....

MUNGU ALIRUHUSU UZALIWE MARA YA PILI UONYESHE NJIA...

i salute you again, honourable DR Mwakyembe...
 
Back
Top Bottom