Hongera Dr. Mwakyembe, hongera TRC

Ngoja niwahi station kuisubiri raund ya jion. We weeeeee! Hureeeee.... Asante Dr. Ku2rahishia kwenda Kigoma.
 
Ni wajibu wake kama kiongozi kubuni mbinu nzuri za kusolve matatizo kwenye jamii.

Kweli kabisa ni wajibu wake lakini bado anastahili pongezi wengi waliopita walishindwa kutekeleza wajibu wao...kwa maneno mengine wengi wanaweka mbele maslahi binafsi na yale ya umma kuwa nyuma.
 
mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, clouds walimtukana sana, hasa gerald hando na pj, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, ninawachukia

gerald mlevi mlevi tu, kwanza mara nyingi anaingiaga kwenye kipindi amelewa.......tabia za kuongea ovyo ovyo kama kibonde mgonjwa
 
Naomba nitumie nafasi hii kumpongeza Dr. Harison Mwakyembe pamoja na washika dau wenzake kwa jitihada kubwa walizozifanya hadi ahadi yake ya kutuletea usafiri wa tren hapa jijini kukamilika tangu uhuru wa nchi hii upatikane.

SHIME MWAKYEMBE.

:israel:
[/QUOTE

Nataka kukomenti, but by the way kwani huyu mjamaa Dr ni wa dini gani, ya kwetu ama ya ya kwenu? :A S 41:
 
treni inatoka wapi kwenda wapi?

1:Inatoka Mbagala rangi 7 hadi Masaki Mwisho kwa Mkapa... 1 route..

2: From Kigamboni kupitia mjimwema hadi uwanja wa Taifa hadi Kisarawe....2 route

3: inatoka Bagamoyo > Mwenge > Manzese uwanja wa Fisi > finally Kisarawe

Hiyo ndio routes ok
 
Mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, Clouds walimtukana sana, hasa Gerald Hando na PJ, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, NINAWACHUKIA

Wengi wa watangazaji wa Clouds Fm wana utoto fulani; hachana nao tu - hata kipindi cha mgomo wa madaktari sometimes walikuwa wanabeza. Ni ma-bishoo, m.a.f.a.l.a, n.k
 
Naomba nitumie nafasi hii kumpongeza Dr. Harison Mwakyembe pamoja na washika dau wenzake kwa jitihada kubwa walizozifanya hadi ahadi yake ya kutuletea usafiri wa tren hapa jijini kukamilika tangu uhuru wa nchi hii upatikane.

SHIME MWAKYEMBE.

:israel:
[/QUOTE

Nataka kukomenti, but by the way kwani huyu mjamaa Dr ni wa dini gani, ya kwetu ama ya ya kwenu? :A S 41:

Aloson hawezi kuwa mchoma makanisa huyu! Atakuwa mchukia shetani na matendo yake yote! Hii ndiyo dini ya kwetu.
 
Ivi huwa mnawachukulia serious watangazaji wa Clouds FM?
I never take them seriously!
 
wewe unatumia kichwa chako kufugia nywele! brain memory yako ni 0.0005KB(Akili Mgando)! kila mtu akiwajibika ipasavyo katika eneo lake la kazi nchi yetu itasonga mbele!

Angalia uzi wote umebaki peke yako wenzio wote wanampongeza Dr. Mwakyembe.
 
mambo si hayo

majaribio_treni.jpg

safi sana mwakyembe
 
Mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, Clouds walimtukana sana, hasa Gerald Hando na PJ, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, NINAWACHUKIA

Nadhani walikuwa hawamtukani ila walikuwa wanaseti "null hypothesis" kuwa jamaa hawataweza kutekeleza, ili mwisho wasiku watakapokuwa na data waweze "kureject" au "kuiaccept" ile "hypothesis" walioweka kabla.

Hivyo sasa "wamereject null hypothesis infavour of alternative hypothesis", kwamba usafiri wa treni unawezekana ndani ya miezi siti, kama nia ya kufanya hivyo ipo.
 
hongereni zenu nyie wa dar!! Tunawatuma wabunge wetu huko waje kututetea nyie mnawapa uwaziri wa DAR!!na mwisho wanatusahau sisi tuliowatuma!!tunasikia tu mkiwasifia ila sisi huku tunaomba Mungu tu japo arudi mzima!!tuliskia pia kuwa wanajenga daraja la kigamboni,tukasema labda litaletwa na huku kwetu tulione likitusaidia!!waaapi! Bado tunasubiri tuone mabasi yakipita KASI hapa kijijini kwetu(kwao)maana tumesikia kuwa yapo MBIONI!!bado tunasubiri,,aje tena kutuomba kura labda atakuja na hivyo vitu huku!!kura zake bado tunazo,tunamlindia!!ili siku akijiskia kuja kuziomba tumpatie zikiwa safi na salama.
 
  • Thanks
Reactions: Edo
Mwakyembe alipoomba miezi sita ili treni iwe inafanyakazi, Clouds walimtukana sana, hasa Gerald Hando na PJ, leo eti wanamsifia.
Clouds acheni uzandiki na unafiki, NINAWACHUKIA
WAMELEWA SIFA!! kwao wao kizuri kinafanywa na RUGE AU JO TU shame couds na midisco yao.LIVE LONG MWAKYEMBE
 
Jambo jema lazima tulisifie na kulikubali, amefanya jambo la maana sana ambalo wengi walidhani haliwezekani kabisa. Lakini pia namshukuru (Wizara nzima) kwa kuweka kiwango kidogo cha nauli tshs 500 ukiachana na ile ya mwanzo ilokuwa imetangazwa (tshs 800). Kazi wanayokuwa nayo kwasasa ni kujaribu kuzuia mianya ya utapeli hasa wa mapato ambao ni hulka ya utendaji katika serikali hii!!!! Hii pia isiwe ni nguvu ya soda kwani tunahitaji pia kusimamia kwa uadilifu ili nguvu hii iendelee. Hata Air Tz naona nayo inakata mawingu!!!!

Wataisabotage mpaka indindwe ku-operate. Wewe huoni kwa nini Mzee mzima hajaenda kuidindua kama kweli wanaipenda na kuisupport????....................... haina maslahi kwao. Subiri uone kama itachukua mwaka!!
 
Nikweli anastahili sifa, na hapa utawasikia CCM wakijigamba tumetekeleza, utadhani watumishi wote wa ile wizara ni CCM,hongera DR na watendaji wako wote......
 
Back
Top Bottom