Dr mwakyembe ametimiza wajibu wake!
kupitia JF nawataka watanzania wote tuilinde treni yetu kwa nguvu zote,usafi uwe 100%, mama na dada zangu wangu wanaonunua samaki ferry wabuni package mpya ya samaki wao ili kuepusha shombo,harufu mbaya na uchafu kwa ujumla.
kupitia JF nawataka watanzania wote tuilinde treni yetu kwa nguvu zote,usafi uwe 100%, mama na dada zangu wangu wanaonunua samaki ferry wabuni package mpya ya samaki wao ili kuepusha shombo,harufu mbaya na uchafu kwa ujumla.