The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,218
- 4,534
Mna m diss mwenzenu ye hana time na nyie wala hawajui wala hampunguzii chochote awe mchawi, awe nani kila mtu ana life style yake mbona wachawi wengine hawatoboi maisha kama yeye, acheni ushamba wa kizamani