mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,395
- 3,197
Ktk maisha hujawahi kufanya mkataba hata wa kupanga chumba cha Giza?Bwana mdogo kajua kucheza akili za wadanganyika..
Katoka kumtoza mil500 mmakonde wa watu km ada ya kuvunja mkataba, lakni leo anajidai kumtaka kijana ashiriki tamashani..
Mkataba ni kama Katiba ,bila hivyo mambo hayaendi wewe dogo,,,kwahiyo ulitaka afanywaje?
Mimi mwenyewe hapa nataka kukatisha mkataba ktk kampuni nifanyayo kazi kwakua nataka nikafanye mambo mengine ila mkataba unanibana kuna baadhi gharama natakiwa kulipa vilevile mambo mengine ni kama tunagawana na kampuni tofauti ningesubiri uishe
😂😂😂 eti kaka hii hitwaLaw of Contract