leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
View attachment 1605876View attachment 1605876
Safi sana CHADEMA hamkuwekeza kwenye majumba,wala magari ya kifahari wala chochote cha starehe,kila mlichopata mlikitumia kuijenga taasisi yenu mioyoni mwa watu, hamkukaa bure richa ya kuwa mlikuwa kifungoni kwa miaka yote mitano.
Chemichemi zenu zote za kuwaongezea kipato kwenye chama zilizibwa,waliowaunga mkono waliwakimbia ukata na kufilisiwa kuliwaogopesha lakini hamkukata tamaa mlisonga mbele kama makamanda hodari mkijenga taasisi imara chini kwa chini,hakika vita mmeipiga SALUTE.
Mlijikamua kwa kila mlichokipata na kuwekeza kwenye mioyo ya watu,mishahara yenu mlichanga,ruzuku yenu sasa tunaona ilikuwa ina fanya kazi gani,wala hatuhitaji mahesabu maana kazi inaonekana na hii inaonyesha wazi nini maana ya kuwekeza kwanza kwa watu na si vitu, vitu huja baada ya watu na si vitu na baadae watu, hizo ofisi magari mazuri yana maana gani tena kwa hao wenzenu kwa sasa, maana uwekezaji kwenye mioyo ya watu waliucha njia panda.
Sikutarajia watu,watanzania wanaweza kukesha wakimsubiri kiongozi,mgombea aje kesho yake kuwahutubia dhahili mnaishi mioyoni mwa watu,kwa wanaoota kuiua CHADEMA warudi nyuma wafikiri upya.
Mliounga mkono juhudi pia nawapa pole,
Ni hayo tu kwa leo asanteni.
Naomba nimalize kwa kusema tena hongereni sana kuna watu wanapaswa wajifunze katika hili.
Safi sana CHADEMA hamkuwekeza kwenye majumba,wala magari ya kifahari wala chochote cha starehe,kila mlichopata mlikitumia kuijenga taasisi yenu mioyoni mwa watu, hamkukaa bure richa ya kuwa mlikuwa kifungoni kwa miaka yote mitano.
Chemichemi zenu zote za kuwaongezea kipato kwenye chama zilizibwa,waliowaunga mkono waliwakimbia ukata na kufilisiwa kuliwaogopesha lakini hamkukata tamaa mlisonga mbele kama makamanda hodari mkijenga taasisi imara chini kwa chini,hakika vita mmeipiga SALUTE.
Mlijikamua kwa kila mlichokipata na kuwekeza kwenye mioyo ya watu,mishahara yenu mlichanga,ruzuku yenu sasa tunaona ilikuwa ina fanya kazi gani,wala hatuhitaji mahesabu maana kazi inaonekana na hii inaonyesha wazi nini maana ya kuwekeza kwanza kwa watu na si vitu, vitu huja baada ya watu na si vitu na baadae watu, hizo ofisi magari mazuri yana maana gani tena kwa hao wenzenu kwa sasa, maana uwekezaji kwenye mioyo ya watu waliucha njia panda.
Sikutarajia watu,watanzania wanaweza kukesha wakimsubiri kiongozi,mgombea aje kesho yake kuwahutubia dhahili mnaishi mioyoni mwa watu,kwa wanaoota kuiua CHADEMA warudi nyuma wafikiri upya.
Mliounga mkono juhudi pia nawapa pole,
Ni hayo tu kwa leo asanteni.
Naomba nimalize kwa kusema tena hongereni sana kuna watu wanapaswa wajifunze katika hili.