Ndio basi tena huna amri hiyoKuna tofauti kati ya kuchagua kiongozi na kuchagua rangi ya kucha. Ingekuwa amri yangu, kura za mambo muhimu yenye kuamua mustakabali wa taifa zingepigwa na wanaume pekee.
I love you so muchNdio basi tena huna amri hiyo
CDM wangeenda kwenye uchaguzi gani wa NECCM, POLICCM, RCCM, DCCM?Binafsi naona wangeshiriki Tu kuliko kususia,kuvuja kwa pakacha Ni nafuu kwa mchukuzi.CCM ndio wanao nufaika!
Hata pombe za kienyeji wapiga kura hawanyweshwa hahahaaaaVp mtonyo aka pesa ipo? Yupo diwani mmoja anataka
Yani nikama vile hakuna uchaguzi, sawasawa na upinzani uliopo kati ya simba na yanga. Simba akijitoa kwenye ligi nzima inakua nikama vile haina maana.Kama tulivyoshuhudia Vifo na umwagaji wa damu katika uchaguzi Mdogo uliopita, hali ni tofauti Leo baada ya chadema kujitoa! Mambo yako kimya kimya ni amani tupu utadhania hata hakuna uchagzui Leo.
Hakuna sehemu yaliporipotiwa mauaji au umwagaji wa damu, kuanzia kipindi cha kampeni hadi Leo siku ya uchagzui
Hongereni chadema, kujitoa kweni kumeepusha mengi hasa kwa RAIA wasio na hatia
Nawakumbhusha jamani Leo ni uchaguzi wa mfumo wa chama kimoja, maana wengi hamkuwa na taarifa
Hahaaaaa acha ma frustration kama ya mzee John kidevu mkuuHata pombe za kienyeji wapiga kura hawanyweshwa hahahaaaa
Kama tulivyoshuhudia Vifo na umwagaji wa damu katika uchaguzi Mdogo uliopita, hali ni tofauti Leo baada ya chadema kujitoa! Mambo yako kimya kimya ni amani tupu utadhania hata hakuna uchagzui Leo.
Hakuna sehemu yaliporipotiwa mauaji au umwagaji wa damu, kuanzia kipindi cha kampeni hadi Leo siku ya uchagzui
Hongereni chadema, kujitoa kweni kumeepusha mengi hasa kwa RAIA wasio na hatia
Nawakumbhusha jamani Leo ni uchaguzi wa mfumo wa chama kimoja, maana wengi hamkuwa na taarifa
Ni Mara 100 wanufaike kuliko kuwatia wananchi ulemavuBinafsi naona wangeshiriki Tu kuliko kususia,kuvuja kwa pakacha Ni nafuu kwa mchukuzi.CCM ndio wanao nufaika!
Huyu Kailima ni kada hadi kapitilizaMgombea wa majimbo yote anaitwa Kailima .
Wametuma ujumbe na...umefikaBinafsi naona wangeshiriki Tu kuliko kususia,kuvuja kwa pakacha Ni nafuu kwa mchukuzi.CCM ndio wanao nufaika!