Hongera CCM

Hongera CCM

CCM looks like this nowadays!

images
 
Maskini watumwa wa Mwigulu Nchemba mmeanza kuona dalili ya kibarua kuota nyasi.

Damu iliyomwagwa na ccm hapa SOWETO inakwenda kuizika ccm rasmi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
du nahau na misemo mingi lakini naona ni nji ya kujipa faraja, mbona mwenezi wenu alikataa kuzungumzia uchaguzi wa arusha ila zile zingine alizungumza. ifike mahali mkubali kuwa umri wa chama chenu umeenda na hivi karibuni mtaaga kwenye ulimwengu wa siasa wa Tanzania.
 
Ngoja daftari la wapiga kura liboreshwe,ndipo utakapo tambua ya kuwa ccm ni chama cha zamani
 
Umetumwa na mwingulu nn dada! Pole yako siasa bado huiwezi hatakidogo!


Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Juliana Shonza, Mtu wa Shamba ametoa tathmini hii hapa: Tembelea uzi huu Chaguzi ndogo 16/6 na 14/7 majumuisho na tathmini


Yafuatayo ni matokeo ya kata zote 26 katika chaguzi zilizofanyika 16/06/2013 na 14/07/2013
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD]WILAYA
[/TD]
[TD]KATA
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CUF
[/TD]
[TD]NCCR
[/TD]
[TD]DP
[/TD]
[TD]APPT
[/TD]
[TD]ADC
[/TD]
[TD]NRA
[/TD]
[TD]TOTAL
[/TD]
[TD]WINNER
[/TD]
[TD]former
[/TD]
[TD]Loser
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nachingwea
[/TD]
[TD]Stesheni
[/TD]
[TD]806
[/TD]
[TD]327
[/TD]
[TD]480
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1613
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sengerema
[/TD]
[TD]Nyampulukano
[/TD]
[TD]1073
[/TD]
[TD]1476
[/TD]
[TD]38
[/TD]
[TD]45
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]2632
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sengerema
[/TD]
[TD]Lugata
[/TD]
[TD]2214
[/TD]
[TD]1044
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3258
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muheza
[/TD]
[TD]Genge
[/TD]
[TD]347
[/TD]
[TD]326
[/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]679
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muheza
[/TD]
[TD]Tingeni
[/TD]
[TD]362
[/TD]
[TD]244
[/TD]
[TD]4
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]610
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bahi
[/TD]
[TD]Ibungule
[/TD]
[TD]863
[/TD]
[TD]248
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]9
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1120
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chemba
[/TD]
[TD]Dalai
[/TD]
[TD]1361
[/TD]
[TD]1027
[/TD]
[TD]377
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD][/TD]
[TD]2765
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbinga
[/TD]
[TD]Langiro
[/TD]
[TD]-
[/TD]
[TD]-NO
[/TD]
[TD]-
[/TD]
[TD]-C
[/TD]
[TD]-O
[/TD]
[TD]-N
[/TD]
[TD]-T
[/TD]
[TD]-E
[/TD]
[TD]-ST[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Serengeti
[/TD]
[TD]Manchilla
[/TD]
[TD]676
[/TD]
[TD]625
[/TD]
[TD]16
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1317
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya
[/TD]
[TD]Iyela
[/TD]
[TD]1163
[/TD]
[TD]1918
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]12
[/TD]
[TD]20
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3113
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mufindi
[/TD]
[TD]Mbalamaziwa
[/TD]
[TD]1420
[/TD]
[TD]184
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1604
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilolo
[/TD]
[TD]Ng'ang'awe
[/TD]
[TD]686
[/TD]
[TD]217
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]903
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bukombe
[/TD]
[TD]Runzewe west
[/TD]
[TD]612
[/TD]
[TD]529
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]153
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1294
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Temeke
[/TD]
[TD]Mianzini
[/TD]
[TD]1283
[/TD]
[TD]315
[/TD]
[TD]494
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]25
[/TD]
[TD]9
[/TD]
[TD]2126
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ulanga
[/TD]
[TD]Minepa
[/TD]
[TD]1196
[/TD]
[TD]1029
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]2225
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]TLP
[/TD]
[TD]TLP lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilombero
[/TD]
[TD]Ifakara
[/TD]
[TD]3746
[/TD]
[TD]4106
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]7852
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilosa
[/TD]
[TD]Masanze
[/TD]
[TD]948
[/TD]
[TD]638
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1586
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Monduli
[/TD]
[TD]Makuyuni
[/TD]
[TD]1547
[/TD]
[TD]360
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1907
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD]Themi
[/TD]
[TD]326
[/TD]
[TD]678
[/TD]
[TD]313
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1317
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD]Kimandolu
[/TD]
[TD]1169
[/TD]
[TD]2665
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3834
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD]Kaloleni
[/TD]
[TD]389
[/TD]
[TD]1019
[/TD]
[TD]169
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1577
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD]Elerai
[/TD]
[TD]1239
[/TD]
[TD]1715
[/TD]
[TD]213
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3167
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Babati
[/TD]
[TD]Bashnet
[/TD]
[TD]1130
[/TD]
[TD]2008
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3138
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbulu
[/TD]
[TD]Dangobesh
[/TD]
[TD]968
[/TD]
[TD]1558
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]2531
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida
[/TD]
[TD]Iseke
[/TD]
[TD]791
[/TD]
[TD]831
[/TD]
[TD]96
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1718
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara
[/TD]
[TD]Mnima
[/TD]
[TD]918
[/TD]
[TD]206
[/TD]
[TD]626
[/TD]
[TD]414
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]2164
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CUF
[/TD]
[TD]CUF Lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Kura kata zote[/TD]
[TD]27233
[/TD]
[TD]25293
[/TD]
[TD]2837
[/TD]
[TD]471
[/TD]
[TD]20
[/TD]
[TD]9
[/TD]
[TD]178
[/TD]
[TD]9
[/TD]
[TD]56050
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[TD]49%
[/TD]
[TD]45%
[/TD]
[TD]5%
[/TD]
[TD]1%
[/TD]
[TD]0%
[/TD]
[TD]0%
[/TD]
[TD]0%
[/TD]
[TD]0%
[/TD]
[TD]100%
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Positions of the Parties before and After.
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]TOTAL[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Wards Before[/TD]
[TD]19[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]26[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Wards After[/TD]
[TD]16[/TD]
[TD]10[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]26[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Gainers and Losers
[TABLE="class: grid, width: 600"]
[TR]
[TD]Losers (Former Seats lost)
[/TD]
[TD]Gainers (New seats gained)
[/TD]
[TD]Net Final position
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TLP – Lost 1 to CCM
[/TD]
[TD]CHADEMA – Gained 5 from CCM
[/TD]
[TD]CHADEMA GAINED 5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CUF – Lost 1 to CCM
[/TD]
[TD]CCM - Gained 2 (From TLP and CUF)
[/TD]
[TD]CCM LOST 3
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM – Lost 5 to CHADEMA
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]TLP – LOST 1
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA - none
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]CUF – LOST 1
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ni matumaini yangu kuwa namba zinajieleza vizuri.

1. Asilimia ya Kura:
CCM wamepata 49%, Chadema 45%, CUF 5% vyama vingine 1%

2. Ushindi wa Jumla wa Kata:
CCM wameshinda kata 16 (moja wameshinda bila kupiga kura kwa kuwa hakukuwa na wagombea wa upinzani) na Chadema wameshinda kata 10.

3. MLINGANISHO NA HALI ILIVYOKUWA BAADA YA UCHAGUZI 2010
  • Chadema wameongeza viti 6
  • CCM wamepoteza viti 3
  • TLP na CUF wamepoteza kiti kimoja kimoja.
4. MAMBO YA KIMKAKATI YA KUZINGATIA KWA VYAMA HUSIKA.
a. Vyama vya Upinzani.
Ukiangalia majimbo ya Stesheni (Nachingwea) na Mnima (Mtwara) wapanzani wakijumlisha kura zao walipata kura nyingi zaidi kuliko CCM, lakini CCM ameibuka mshindi. Hali hii ilikuwepo Kenye pia katika chaguzi mbili za kwanza za vyama vingi ambapo KANU ilikuwa inashinda, lakini kura za upinzani ni nyingi. Hapa ndipo inabidi kufikiria mkakati wa ushindi.

Niwakumbushe tu, wakati wa vita ya pili ya dunia Uingereza iliunda ushirika na Urusi, kwa kuwa waliona nguvu za Ujerumani wasingeziweza wakiwa wametengana. Japo kwa kweli hakukuwa na urafiki mwingine wowote wa dhati kati ya nchi hizi, lengo la ushindi kwa wote liliwaunganisha. Maadui huungana na kuwa rafiki wanapokuwa na tishio la pamoja. Vyama vya upinzani visipoona hivyo, CCM itaendelea kudumu miaka mingi sana ijayo, japo kwa kura kidogo zaidi na zaidi.

Wapinzani Tanzania kama wanahitaji ushindi, wanahitaji kufikiria hili. Ukiangalia jumla ya kura zilizopigwa, CCM wana 49% lakini wana viti vingi zaidi ya 50% vilivyogombaniwa. Hakika CUF ingeungwa mkono na CHADEMA NA NCCR Mageuzi Mtwara na Nachingwea CCM wangepoteza. Kadhalika CUF ingeunga mkono Chadema Kata ya Dalai Dodoma wangewashinda.

Hata hivyo kila chama kinapaswa binafsi kuendelea na kampeni za kujijenga kule ambako bado hawafahamiki, huku wakijitahidi kuhudumia vema wale waliowapa uwakilishi.

b. Chama cha Mapinduzi.
Kwa kweli chama chetu kikongwe Tanzania kinahitaji kujitafiti. Uchaguzi mdogo wa madiwani wa Oktoba 2012, CCM ilipoteza viti kadhaa. Kwa haraka haraka nakumbuka walipoteza Kata 4 zikiwemo ya Daraja Mbili Arusha, Kata ya Ipole wilayani Sikonge - Tabora, na kata ya Lengali wilayani Ludewa. Katika uchaguzi huu CCM wamepoteza kata 5 zilizokuwa mikononi mwao, na kupata mpya mbili zilizokuwa TLP na CUF.

Kipropaganda ni rahisi kuhesabu viti kuwa kati ya kata 26 mmeshinda kata 16. Kimoyomoyo mnajua kuwa mnawakilisha kata chache zaidi sasa kuliko awali. Ni vizuri kujiuliza kama chama iwapo mambo yako sawa ndani ya Chama. Je ni sera? Je ni watendaji? Je ni kubweteka? Je ni mbinu ambazo badala ya kujenga mvuto kwa watu zinazidi kuwafanya watu wakichoke na kukichukia chama hiki tawala? Je ni timu ya kampeni?

Kwa vyovyote vile ni lazima mfanye tafakari. Mfahamu pia kuwa mbinu za kutisha watu kwa vyombo vya dola na kufungua kesi za kubambikiziana, na kujaribu ku criminalize the opposition zinafanya wananchi wawachukie zaidi kuliko kuwapenda.

Hiyo ni tathmini yangu. Nakaribisha mjadala.
Unasemaje kuhusu nafasi ya CCM hapo?
 
OSOKONI; Ni kweli kabisa mkuu, Kamanda Mwita Maranya; amemmaliza kabisa huyu Shemeji Shonza kwani kushindwa hesabu ya kujumlisha ni fedheha kwa binti aliyehitimu UDSM!
 
Last edited by a moderator:
Umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' CCM ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha CCM na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.

Nilitamani kumkumbusha hili ila kwa kuwa nawewe umeliona basi haina haja tena! Labda nikupingeze tu nawewe kuliona hili. Tatizo la Juliana huwa ana akili za kitoto sana, ni miongoni mwa watu ninaowapuuza katika kila tendo wanalofanya katika ulimwengu.
 
Radhia..Dawa ya moto ni moto....Mtu anaongea kama vile hana kichwa wala shingo wewe unamsifia tu...Acheni hizo la sivyo mtawabemenda watu kama Shonza

Magwanda yanachojua ni mitusi tu. Si ilizaliwa Kariakoo mijitu mingine humu.
 
Ndugu wanajamvi hili nimekuwa kimya kwa mda kidogo baada ya uchaguzi wa Arusha niliona niwaache wanachadema mtambe mtambike mara baada ya ushindi huo mlioupata.

N
Haya mwalimu, twende kazi...

Mosi kwakuzingatia dhana ya utawala bora na uongozi bora inayotakay chama chochote cha kisiasa kukubali matokeo hata kama yamekuwa kinyume na matarajio waliyokuwa wameyatarajia,ni wazi kwamba CCM ni chama pekee chenye ukomavu wa kisiasa wa hali ya juu ukilinganisha na vyama vingine vya kisiasa ambavyo hulazimisha matokeo ya chaguzi yawe kama vile wao watakavyo hata kufikia kufanya fujo na vurugu zinazohatarisha amani ya nchi yetu.
1. CCM ndiyo chama kilichoongoza kwa kupinga matokea ya ubunge katika majimbo waliyoshindwa kwenye uchaguzi uliopita. Walipinga katika majimbo yote isipokuwa machache kama Karatu, Maswa, Mbeya mjini
2. CCM ndiyo yenye historia ya kulazimisha matokeo kwa vurugu na polisi kwa mfano Segerea, Shinyanga, Kibaha nk

Pili napenda kutoa himizo kwa wanaccm na viongozi wote walioshiriki uchaguzi wa Arusha kuwa kuvunjika kwa mpini sio mwisho wa uhunzi,tumejaribu,tumeweza na sasa tusonge mbele katika kuwatumikia watanzania kwani ilani iliyoko madarakani ni ya CCM.

Hakuna sababu yakukata tamaa kwa matokeo haya ya Arusha kwakuzingatia kwamba hata mbuyu ulianza kama mchicha, tujikumbushe kwamba kata hizo zilikuwa zinamilikiwa na chadema tangu awali na isitoshe kura tulizopata ni nyingi kuliko zile tulipata 2010 hii ni ishara ya wazi sasa kwamba wapo watu wengi walioichagua chadema 2010 lakini sasa wamegeuka na kuichagua CCM ishara ya kwamba sasa wanakiunga mkono chama cha mapinduzi.

Jukumu tulilonalo ni kujisahihisha pale tulipokosea na kuzitumia kura hizo kama mtaji wetu katika kipindi hiki kifupi kabla yakufikia uchaguzi mkuu ujao.kwakufanya hivyo tutakuwa tumejiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kushinda.

1. Mmeraribu mmeshindwa na sasa mjipange upya
2. Mbuyu ulianza kama mchicha, huo mbuyu gani unabaki tu kama mchicha kwa miaka 50?!
3. Kura mlizopata sio nyingi, unless ulete data. Acha kutudanganya...
4. Hauna uthibitisho kama kura za CCM zimeongezeka, basi zimetoka kwa walioipigia CDM 2010...
5. Mmeshindwa kujiweka katika ushindi kwa kipindi chote kuanzia 2010, ni kipi kitawapa ushindi 2015?

Tatu napenda kuwapa hongera na pole chadema kwakujisahaulisha kuwa uchaguzi huu umefanyika katika mikoa mingi na sio Arusha pekeyake na matokeo ya awali CCM ilishinda kwa kishindo kwa kata 16 chadema kata 4 tu,iweje muwe wepesi wakusahau mapema hivyo?ukizingatia kwamba pamoja na ninyi kushinda kata 4 za Arusha na kuwafanya muwe na kata 8 bado CCM ni iyena iyena nambari wani.

Nadhani kuna swali la kujiuliza hapa sisi kama watanzania kwamba kuna nini kati ya chadema na Arusha?ukizingatia kuwa kuna mikoa mingine chadema ilifanya chaguzi na kushinda lakini matumizi ya helicopter yalifanyika Arusha tu. Niwakumbushe kwamba kunapotokea na chaguzi kinachoangaliwa ni matokeo ya jumla ya maeneo yote yaliyofanya uchaguzi na sio matokeo ya mkoa mmoja.

Chadema ingeonyesha kwamba ni chama makini endapo ingefurahia ushindi wa Arusha huku wakijitathimini sababu zilizopelekea CCM kupata kura nyingi kipindi hiki kuliko 2010 badala ya wao kuanza kubeza wanaccm,kubeza viongozi wa ccm walioshiriki uchaguzi huo pamoja na kubeza CCM bila kuzingatia kwamba mpaka sasa CCM wameibuka kidedea katika uchaguzi huu mdogo.

Waswahili walisema 'akipendacho chongo huita kengeza' ushindi wa chadema Arusha ni sawa na chongo ila wao wanang'ang'ania kuuita ni kengeza kutokana na CCM kushinda kata 16 chadema 8 halafu mnajiita mashujaa huku nikulazimisha chongo kuwa kengeza.

1. CDM mwanzoni hawakushinda kata 4, bali walishinda 6 mwalimu (Babati, Ifakara, Sengerema, Mbeya, Singida, Mbulu)
2. Mwigulu aliweka kambi Arusha kwa zaidi ya mwezi mzima, mawaziri kadhaa walikuwepo Arusha wakati wa kampeni nk, nguvu ambazo hazikutumika mikoa mingine
3. Kweli Ukipenda chongo huita kengeza, lakini kumbuka pia "la kuvunda halina ubani"... na Mkataa pema, pabaya panamwita...

By the way, kabla hujaingia CCM, walikuwa wanashinda zaidi ya hapa. Kwa kuporomoka huku, hujioni kuwa mojawapo ya chanzo cha tatizo? Kwa hiyo Juliana Shonza anawapa ushauri na kuwapa pole kina Mkapa, Kinana, Kikwete, Migiro, na wengine walioumia kwa kushindwa kwa CCM?!!!
 
kwanza wewe ni muongo kama ungetaka japo kuaminika kidogo ungeandika takwimu sasa za uchaguzi wa mwanzo CHADEMA ilipata viti sita na sio vinne kama unavyopotosha,CDM ilishinda SENGEREMA,ISEKE,DONGOBESH,BASHINETI,IFAKARA NA IYELA MBEYA kwa uongo huo tu hupaswi kuaminika lakini pia nikukumbushe kwamba kata kama zile mbili za muheza ambapo awali ilikua ni strong hold ya ccm chadema ilipata kura nyingi sana pia kata ya manchira serengeti ccm wametumia majambazi kuiba kura na kuteka watu, wewe gamba huu ndio mwisho wenu tafuta pia matokeo jumla ufanye majumisho na ndio utajua nani anapoteza kati ya ccm na chadema. kwa sisi wanamageuzi tunajua kwamba kitendo tu cha cdm kusimamisha wagombea kata zote kuzuia magamba kupita bila kupingwa ni mafanikio makubwa sana na siku za ccm madarakani zinahesabika umechagua fungu la kukosa.
 
Hivi wewe hiyo degree uliipataje? Hilo bandiko lako ni kama vile limetayarishwa na kijana aliyemaliza darasa la saba. Hebu tuwekee takwimu hapa zinazoonyesha kwamba katika uchaguzi wa 2010 CCM ilipata kura kidogo katika hizo kata nne lakini katika uchaguzi wa juzi imepata kura nyingi zaidi. Ukizungumzia uchaguzi kwa ujumla, nashangaa wewe unaishi dunia ya wapi ambaye hujui kwamba CCM ilipoteza viti katika baadhi ya kata kwa CDM? Acha kutujazia server kwa post zisizokuwa na vichwa wala miguu.

Kuna kitu ningesema, lakini naogopa ban.

Tiba

kilaza huyu ndio maana anaongea juujuu tu, inaelekea alifaulishwa kwa njia mbadala si unajua kauli imbiu yao kila kitu kinanunuliwa, alidhani kununa degree ndio kupata elimu ona sasa anavyojikoroga, CCM imejaribu eeh haikwenda kushindana hahah kwa arusha ccm ni mchicha acha utafunwe tu unapeleka mambo ya kijani arusha...kazi kuharibu tu pesa za walipa kodi kwa kunua shahada na kuwarubuni bodaboda yaone kwanza
 
Juliana, mimi ni mwana-ccm ila analysis uliyoifanya ina leta maswali mengi na hatustahiri kujipongeza abadani. Tungeweza kujipongeza kama tusingepoteza kata yoyote kwa wapinzani. Tungeweza kujipongeza kama angalau hata tungeongoza kwenye baadhi ya vituo huko Arusha. Juliana hujatoa takwimu ya mwaka 2010 na 2013, tumeongeza kura kwa kiasi gani? Kusema tumeongeza kura bila kuweka takwimu ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu, haikubariki katika analysis. Tuchukue kuw hii ni changamoto kwetu na si jambo la kujipongeza hata siku moja. Tujisafishe ili turudishe imani kwa wananchi.
 
Nadhani kuna swali la kujiuliza hapa sisi kama watanzania kwamba kuna nini kati ya chadema na Arusha?ukizingatia kuwa kuna mikoa mingine chadema ilifanya chaguzi na kushinda lakini matumizi ya helicopter yalifanyika Arusha tu. Niwakumbushe kwamba kunapotokea na chaguzi kinachoangaliwa ni matokeo ya jumla ya maeneo yote yaliyofanya uchaguzi na sio matokeo ya mkoa mmoja.

Wewe Shoza achana na AKILI ZA KUPAKATWA. Ulikuwa una fanywa nini kiasi kwamba unajiaminisha kwamba matumizi ya Helkopta yalikuwa Arusha peke yake? Muulize Mwigulu atakuambia Helkopta ilifika hadi Muheza kwenye kampeni za Udiwani wa Kata ya Genge. Makamanda walishoka kama Mwewe na kuitoa jasho CCM licha ya kutumia kila Taasisi ili kujipatia ushindi ambao ulikuwa kiduchu.

Tuna kushukuruni sana kwa jinsi kampeni zenu zinavyo endelea kutupatia ushindi kadri muda unavyo kwenda. Muendelee na moto huo huo na tumeamini kwamba CHADEMA ipo ndani ya CCM. Hongereni kwa kazi nzuri.
 
Umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' CCM ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha CCM na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.

Huyu ndio Radhia Sweety !!!!!! ngumi yake inapiga popote shauri zenu! kwi kwi kwi!
 
Last edited by a moderator:
Juliana acha uji.nga we unasema cdm ijitathimini why magamba mmepata kura nyingi hujui kwamba mliwatisha wananchi hasa wafuasi wa cdm wasipige kura kwa wingi,je hujui kwamba mliwalipua watu na bomu,je hujui kwamba wapiga kura wengi hawakujitokeza kama 2010,pia tambo zenu zote mlikuwa mnauhakika cdm wengi mngehakikisha hawapg kura bt pamoja na kwamba cdm wamejitokeza wachache na magamba mkaja wote na hila,rushwa,wizi bt bado makamanda waliwashughurikia vyema mpaka bwana ako michembe akatimua mbioooo boya ww.
 
Back
Top Bottom