CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,929
CCM looks like this nowadays!
kwa hio hamkuwa na umoja arusha? Mbona unarusha rusha miguu?Naomba kuwasilisha,wenye hoja karibuni wanaotumia matusi kama kinga yao pia karibuni.
ccm umoja ni ushindi.
viva ccm
Hivi wewe uko chama gani?
Unasemaje kuhusu nafasi ya CCM hapo?Yafuatayo ni matokeo ya kata zote 26 katika chaguzi zilizofanyika 16/06/2013 na 14/07/2013
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD]WILAYA
[/TD]
[TD]KATA
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CUF
[/TD]
[TD]NCCR
[/TD]
[TD]DP
[/TD]
[TD]APPT
[/TD]
[TD]ADC
[/TD]
[TD]NRA
[/TD]
[TD]TOTAL
[/TD]
[TD]WINNER
[/TD]
[TD]former
[/TD]
[TD]Loser
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nachingwea
[/TD]
[TD]Stesheni
[/TD]
[TD]806
[/TD]
[TD]327
[/TD]
[TD]480
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1613
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sengerema
[/TD]
[TD]Nyampulukano
[/TD]
[TD]1073
[/TD]
[TD]1476
[/TD]
[TD]38
[/TD]
[TD]45
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]2632
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sengerema
[/TD]
[TD]Lugata
[/TD]
[TD]2214
[/TD]
[TD]1044
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3258
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muheza
[/TD]
[TD]Genge
[/TD]
[TD]347
[/TD]
[TD]326
[/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]679
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muheza
[/TD]
[TD]Tingeni
[/TD]
[TD]362
[/TD]
[TD]244
[/TD]
[TD]4
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]610
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bahi
[/TD]
[TD]Ibungule
[/TD]
[TD]863
[/TD]
[TD]248
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]9
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1120
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chemba
[/TD]
[TD]Dalai
[/TD]
[TD]1361
[/TD]
[TD]1027
[/TD]
[TD]377
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD][/TD]
[TD]2765
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbinga
[/TD]
[TD]Langiro
[/TD]
[TD]-
[/TD]
[TD]-NO
[/TD]
[TD]-
[/TD]
[TD]-C
[/TD]
[TD]-O
[/TD]
[TD]-N
[/TD]
[TD]-T
[/TD]
[TD]-E
[/TD]
[TD]-ST[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Serengeti
[/TD]
[TD]Manchilla
[/TD]
[TD]676
[/TD]
[TD]625
[/TD]
[TD]16
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1317
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya
[/TD]
[TD]Iyela
[/TD]
[TD]1163
[/TD]
[TD]1918
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]12
[/TD]
[TD]20
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3113
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mufindi
[/TD]
[TD]Mbalamaziwa
[/TD]
[TD]1420
[/TD]
[TD]184
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1604
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilolo
[/TD]
[TD]Ng'ang'awe
[/TD]
[TD]686
[/TD]
[TD]217
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]903
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bukombe
[/TD]
[TD]Runzewe west
[/TD]
[TD]612
[/TD]
[TD]529
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]153
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]1294
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Temeke
[/TD]
[TD]Mianzini
[/TD]
[TD]1283
[/TD]
[TD]315
[/TD]
[TD]494
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]25
[/TD]
[TD]9
[/TD]
[TD]2126
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ulanga
[/TD]
[TD]Minepa
[/TD]
[TD]1196
[/TD]
[TD]1029
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]2225
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]TLP
[/TD]
[TD]TLP lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilombero
[/TD]
[TD]Ifakara
[/TD]
[TD]3746
[/TD]
[TD]4106
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]7852
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kilosa
[/TD]
[TD]Masanze
[/TD]
[TD]948
[/TD]
[TD]638
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1586
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Monduli
[/TD]
[TD]Makuyuni
[/TD]
[TD]1547
[/TD]
[TD]360
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1907
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD]Themi
[/TD]
[TD]326
[/TD]
[TD]678
[/TD]
[TD]313
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1317
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD]Kimandolu
[/TD]
[TD]1169
[/TD]
[TD]2665
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3834
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD]Kaloleni
[/TD]
[TD]389
[/TD]
[TD]1019
[/TD]
[TD]169
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1577
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Arusha
[/TD]
[TD]Elerai
[/TD]
[TD]1239
[/TD]
[TD]1715
[/TD]
[TD]213
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3167
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Babati
[/TD]
[TD]Bashnet
[/TD]
[TD]1130
[/TD]
[TD]2008
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]3138
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbulu
[/TD]
[TD]Dangobesh
[/TD]
[TD]968
[/TD]
[TD]1558
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]2531
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CCM lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Singida
[/TD]
[TD]Iseke
[/TD]
[TD]791
[/TD]
[TD]831
[/TD]
[TD]96
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]1718
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]CHDM
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mtwara
[/TD]
[TD]Mnima
[/TD]
[TD]918
[/TD]
[TD]206
[/TD]
[TD]626
[/TD]
[TD]414
[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]-[/TD]
[TD]2164
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]CUF
[/TD]
[TD]CUF Lost
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Kura kata zote[/TD]
[TD]27233
[/TD]
[TD]25293
[/TD]
[TD]2837
[/TD]
[TD]471
[/TD]
[TD]20
[/TD]
[TD]9
[/TD]
[TD]178
[/TD]
[TD]9
[/TD]
[TD]56050
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]Asilimia[/TD]
[TD]49%
[/TD]
[TD]45%
[/TD]
[TD]5%
[/TD]
[TD]1%
[/TD]
[TD]0%
[/TD]
[TD]0%
[/TD]
[TD]0%
[/TD]
[TD]0%
[/TD]
[TD]100%
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Positions of the Parties before and After.
[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]CCM[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]CUF[/TD]
[TD]TLP[/TD]
[TD]TOTAL[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Wards Before[/TD]
[TD]19[/TD]
[TD]5[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]1[/TD]
[TD]26[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Wards After[/TD]
[TD]16[/TD]
[TD]10[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]0[/TD]
[TD]26[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Gainers and Losers
[TABLE="class: grid, width: 600"]
[TR]
[TD]Losers (Former Seats lost)
[/TD]
[TD]Gainers (New seats gained)
[/TD]
[TD]Net Final position
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TLP – Lost 1 to CCM
[/TD]
[TD]CHADEMA – Gained 5 from CCM
[/TD]
[TD]CHADEMA GAINED 5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CUF – Lost 1 to CCM
[/TD]
[TD]CCM - Gained 2 (From TLP and CUF)
[/TD]
[TD]CCM LOST 3
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CCM – Lost 5 to CHADEMA
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]TLP – LOST 1
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA - none
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]CUF – LOST 1
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Ni matumaini yangu kuwa namba zinajieleza vizuri.
1. Asilimia ya Kura:
CCM wamepata 49%, Chadema 45%, CUF 5% vyama vingine 1%
2. Ushindi wa Jumla wa Kata:
CCM wameshinda kata 16 (moja wameshinda bila kupiga kura kwa kuwa hakukuwa na wagombea wa upinzani) na Chadema wameshinda kata 10.
3. MLINGANISHO NA HALI ILIVYOKUWA BAADA YA UCHAGUZI 2010
4. MAMBO YA KIMKAKATI YA KUZINGATIA KWA VYAMA HUSIKA.
- Chadema wameongeza viti 6
- CCM wamepoteza viti 3
- TLP na CUF wamepoteza kiti kimoja kimoja.
a. Vyama vya Upinzani.
Ukiangalia majimbo ya Stesheni (Nachingwea) na Mnima (Mtwara) wapanzani wakijumlisha kura zao walipata kura nyingi zaidi kuliko CCM, lakini CCM ameibuka mshindi. Hali hii ilikuwepo Kenye pia katika chaguzi mbili za kwanza za vyama vingi ambapo KANU ilikuwa inashinda, lakini kura za upinzani ni nyingi. Hapa ndipo inabidi kufikiria mkakati wa ushindi.
Niwakumbushe tu, wakati wa vita ya pili ya dunia Uingereza iliunda ushirika na Urusi, kwa kuwa waliona nguvu za Ujerumani wasingeziweza wakiwa wametengana. Japo kwa kweli hakukuwa na urafiki mwingine wowote wa dhati kati ya nchi hizi, lengo la ushindi kwa wote liliwaunganisha. Maadui huungana na kuwa rafiki wanapokuwa na tishio la pamoja. Vyama vya upinzani visipoona hivyo, CCM itaendelea kudumu miaka mingi sana ijayo, japo kwa kura kidogo zaidi na zaidi.
Wapinzani Tanzania kama wanahitaji ushindi, wanahitaji kufikiria hili. Ukiangalia jumla ya kura zilizopigwa, CCM wana 49% lakini wana viti vingi zaidi ya 50% vilivyogombaniwa. Hakika CUF ingeungwa mkono na CHADEMA NA NCCR Mageuzi Mtwara na Nachingwea CCM wangepoteza. Kadhalika CUF ingeunga mkono Chadema Kata ya Dalai Dodoma wangewashinda.
Hata hivyo kila chama kinapaswa binafsi kuendelea na kampeni za kujijenga kule ambako bado hawafahamiki, huku wakijitahidi kuhudumia vema wale waliowapa uwakilishi.
b. Chama cha Mapinduzi.
Kwa kweli chama chetu kikongwe Tanzania kinahitaji kujitafiti. Uchaguzi mdogo wa madiwani wa Oktoba 2012, CCM ilipoteza viti kadhaa. Kwa haraka haraka nakumbuka walipoteza Kata 4 zikiwemo ya Daraja Mbili Arusha, Kata ya Ipole wilayani Sikonge - Tabora, na kata ya Lengali wilayani Ludewa. Katika uchaguzi huu CCM wamepoteza kata 5 zilizokuwa mikononi mwao, na kupata mpya mbili zilizokuwa TLP na CUF.
Kipropaganda ni rahisi kuhesabu viti kuwa kati ya kata 26 mmeshinda kata 16. Kimoyomoyo mnajua kuwa mnawakilisha kata chache zaidi sasa kuliko awali. Ni vizuri kujiuliza kama chama iwapo mambo yako sawa ndani ya Chama. Je ni sera? Je ni watendaji? Je ni kubweteka? Je ni mbinu ambazo badala ya kujenga mvuto kwa watu zinazidi kuwafanya watu wakichoke na kukichukia chama hiki tawala? Je ni timu ya kampeni?
Kwa vyovyote vile ni lazima mfanye tafakari. Mfahamu pia kuwa mbinu za kutisha watu kwa vyombo vya dola na kufungua kesi za kubambikiziana, na kujaribu ku criminalize the opposition zinafanya wananchi wawachukie zaidi kuliko kuwapenda.
Hiyo ni tathmini yangu. Nakaribisha mjadala.
Umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' CCM ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha CCM na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.
Kwa mara ya kwanza tangu nimejiunga jamii forrum nakuunga mkono kwa kauli yako hii iliyojaa ukomavu na tathmini ya kisomi hongera ukiendelea kuwa analytical hivi utakuwa msaaa na sio mzigo hapa jukwaani once again kudos!
Magwanda yanachojua ni mitusi tu. Si ilizaliwa Kariakoo mijitu mingine humu.
Haya mwalimu, twende kazi...Ndugu wanajamvi hili nimekuwa kimya kwa mda kidogo baada ya uchaguzi wa Arusha niliona niwaache wanachadema mtambe mtambike mara baada ya ushindi huo mlioupata.
N
1. CCM ndiyo chama kilichoongoza kwa kupinga matokea ya ubunge katika majimbo waliyoshindwa kwenye uchaguzi uliopita. Walipinga katika majimbo yote isipokuwa machache kama Karatu, Maswa, Mbeya mjiniMosi kwakuzingatia dhana ya utawala bora na uongozi bora inayotakay chama chochote cha kisiasa kukubali matokeo hata kama yamekuwa kinyume na matarajio waliyokuwa wameyatarajia,ni wazi kwamba CCM ni chama pekee chenye ukomavu wa kisiasa wa hali ya juu ukilinganisha na vyama vingine vya kisiasa ambavyo hulazimisha matokeo ya chaguzi yawe kama vile wao watakavyo hata kufikia kufanya fujo na vurugu zinazohatarisha amani ya nchi yetu.
Pili napenda kutoa himizo kwa wanaccm na viongozi wote walioshiriki uchaguzi wa Arusha kuwa kuvunjika kwa mpini sio mwisho wa uhunzi,tumejaribu,tumeweza na sasa tusonge mbele katika kuwatumikia watanzania kwani ilani iliyoko madarakani ni ya CCM.
Hakuna sababu yakukata tamaa kwa matokeo haya ya Arusha kwakuzingatia kwamba hata mbuyu ulianza kama mchicha, tujikumbushe kwamba kata hizo zilikuwa zinamilikiwa na chadema tangu awali na isitoshe kura tulizopata ni nyingi kuliko zile tulipata 2010 hii ni ishara ya wazi sasa kwamba wapo watu wengi walioichagua chadema 2010 lakini sasa wamegeuka na kuichagua CCM ishara ya kwamba sasa wanakiunga mkono chama cha mapinduzi.
Jukumu tulilonalo ni kujisahihisha pale tulipokosea na kuzitumia kura hizo kama mtaji wetu katika kipindi hiki kifupi kabla yakufikia uchaguzi mkuu ujao.kwakufanya hivyo tutakuwa tumejiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kushinda.
Tatu napenda kuwapa hongera na pole chadema kwakujisahaulisha kuwa uchaguzi huu umefanyika katika mikoa mingi na sio Arusha pekeyake na matokeo ya awali CCM ilishinda kwa kishindo kwa kata 16 chadema kata 4 tu,iweje muwe wepesi wakusahau mapema hivyo?ukizingatia kwamba pamoja na ninyi kushinda kata 4 za Arusha na kuwafanya muwe na kata 8 bado CCM ni iyena iyena nambari wani.
Nadhani kuna swali la kujiuliza hapa sisi kama watanzania kwamba kuna nini kati ya chadema na Arusha?ukizingatia kuwa kuna mikoa mingine chadema ilifanya chaguzi na kushinda lakini matumizi ya helicopter yalifanyika Arusha tu. Niwakumbushe kwamba kunapotokea na chaguzi kinachoangaliwa ni matokeo ya jumla ya maeneo yote yaliyofanya uchaguzi na sio matokeo ya mkoa mmoja.
Chadema ingeonyesha kwamba ni chama makini endapo ingefurahia ushindi wa Arusha huku wakijitathimini sababu zilizopelekea CCM kupata kura nyingi kipindi hiki kuliko 2010 badala ya wao kuanza kubeza wanaccm,kubeza viongozi wa ccm walioshiriki uchaguzi huo pamoja na kubeza CCM bila kuzingatia kwamba mpaka sasa CCM wameibuka kidedea katika uchaguzi huu mdogo.
Waswahili walisema 'akipendacho chongo huita kengeza' ushindi wa chadema Arusha ni sawa na chongo ila wao wanang'ang'ania kuuita ni kengeza kutokana na CCM kushinda kata 16 chadema 8 halafu mnajiita mashujaa huku nikulazimisha chongo kuwa kengeza.
Hivi wewe hiyo degree uliipataje? Hilo bandiko lako ni kama vile limetayarishwa na kijana aliyemaliza darasa la saba. Hebu tuwekee takwimu hapa zinazoonyesha kwamba katika uchaguzi wa 2010 CCM ilipata kura kidogo katika hizo kata nne lakini katika uchaguzi wa juzi imepata kura nyingi zaidi. Ukizungumzia uchaguzi kwa ujumla, nashangaa wewe unaishi dunia ya wapi ambaye hujui kwamba CCM ilipoteza viti katika baadhi ya kata kwa CDM? Acha kutujazia server kwa post zisizokuwa na vichwa wala miguu.
Kuna kitu ningesema, lakini naogopa ban.
Tiba
Nashukuru mkuu!
Nadhani kuna swali la kujiuliza hapa sisi kama watanzania kwamba kuna nini kati ya chadema na Arusha?ukizingatia kuwa kuna mikoa mingine chadema ilifanya chaguzi na kushinda lakini matumizi ya helicopter yalifanyika Arusha tu. Niwakumbushe kwamba kunapotokea na chaguzi kinachoangaliwa ni matokeo ya jumla ya maeneo yote yaliyofanya uchaguzi na sio matokeo ya mkoa mmoja.
Umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' CCM ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha CCM na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.