Hongera CCM

Hongera CCM

Naona ameshindwa kuzungumzia hata kule kwao walikoenda na Mwigulu na ktamba et Mbeya ni yao na Mtela ndio aliyoijenga.Ile kata ilikuwa yao na bado wakanyang'anywa.Kama wewe ni kijike basi tuambie katika uchaguzi huu mmechukua kata ngapi za CDM?Mbona CDM imeweza kuchukua kata zenu ikiwamo na ile ya nyumbani kwenu.Mwite Mwigulu.Naona sasa huyu ananyemelea Banned kama mumewe Mwigulu.Ukiendelea na maneno yako ban ipo karibu na keyboard yako.
 
Ndugu wanajamvi hili nimekuwa kimya kwa mda kidogo baada ya uchaguzi wa Arusha niliona niwaache wanachadema mtambe mtambike mara baada ya ushindi huo mlioupata.

Nina kila sababu yakuwapongeza wananchi wa Arusha kwakufanya uchaguzi kwa amani kwani amani ndiyo tunu na kitambulisho pekee ya Taifa letu,bila kuvisahau vyombo vya usalama kwakuhakikisha zoezi linafanyika kwa amani.
Bora umekumbuka zoezi mliloua watu, ingawaje ulitaka kupindisha lugha.
 
Wewe ni mmoja wa watu waliokuwa arusha mkiipigia debe chadema kwa raslimali za ccm. Na kujishaua kote mkapigwa vituo vyote. Eti makapi ya cdm ndio keki za ccm. Dada wa watu nakuhakikishia, mwaka huu hautakwisha bila ya nyinyi kutolewa kwenye reli. Eti hata mbuyu ulianza kama mchicha. Ccm ilikuwa mbuyu wakati mwigulu anawasajili. Wewe na wenzako ndio mnaifanya iwe mchicha. Vipi lakini, sombetin mwigulu ataenda?

akisubutu ni kif....ro tu atapata hapa.
 
Umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' CCM ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha CCM na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.

naona mnaanza kutoana macho ninyi kwa ninyi

mke mwenzio kaondoa avatar, umeona?
 
Mpwa, kama huyu binti atakua na uelewa basi haya maneno yatakua yamemwingia vizuri mno, naunga hoja yako mkono ila niongeze tu kusema kuwa, kama ni LAZIMA AENDELEE NA SIASA basi apunguze speed, ajifunze kuweka na maneno ya akiba.

CC: Juliana Shonza
Binti Juliana, bado uko mdogo na mrembo kiasi fulani! Nakushauri ujipe likizo kidogo kwenye siasa ukafanye shughuli nyingine mpaka akili yao ipoe kwanza! Kama una nia kweli ya kufanya "siasa" kuwa "wito wako wa maisha", basi kina Nnape, Mwigulu & Co sio Model wazuri/sahihi kwako! Tafakari!
 
Last edited by a moderator:
Afadhali Shonza ana interest tunazozijua kutoka kwa Mwigulu mzee wa kuovertake,na kina radhia,simiyu yetu n.k,wao interest zao ni zipi ndani ya ccm,nijuzeni tafadhali.
 
Mbona uchaguzi ulifanyika kata 26.Umeandika kuwa CCM walishinda kata 16 na CHADEMA kata 8 vipi kata zilizobakia 2 zilichukuliwa na chama gani?.
 
Inaonekana bado una ndoto ya kurudi Chadema!naona umeisifia 'indirectly'!Speed ya Chadema haikamatiki,hv mlipoteza kata ngapi kati ya hizo 8 walizonazo Chadema?Hapo mnajifariji!
 
Nadhani kuna swali la kujiuliza hapa sisi kama watanzania kwamba kuna nini kati ya chadema na Arusha?

Loser!

kesho utauliza, kuna nini kati ya CUF na Pemba.

Ngoja nikupe clue kidogo:

Mapinduzi yote dunia nzima huanzia Kaskazini.

Reference Point kwenye vipimo vya dira huwa ni Kaskazini


My Take:
Ushaanza kuwa na akili za Tambwe Hiza
 
Umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' CCM ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha CCM na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.

Kwa mara ya kwanza tangu nimejiunga jamii forrum nakuunga mkono kwa kauli yako hii iliyojaa ukomavu na tathmini ya kisomi hongera ukiendelea kuwa analytical hivi utakuwa msaaa na sio mzigo hapa jukwaani once again kudos!
 
Hivi wewe uko chama gani?
umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' ccm ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha ccm na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.
 
Unaposema hata wenzako wanakuzodoa unamaanisha nini? Hembu jipange kabla ya kuongea wewe.

Yaan umeshasahau ulichomjibu mke mdogo? Ccm mna tabu nyie! We ndo wa kwanza kumpinga Shonza kwamba asiifananishe ccm na mchicha. Kuporwa kunauma. Sweety
 
tathimini yetu wana chadema nikwamba,kote walikoshinda ccm ulizi wa kulinda kura za chadema ulikuwa mdogo
 
Radhia mtamu! Kwelii???
Kamchicha kachungu, Mama Mwigulu anakwambia hata CCM ilikuwa kama Mbuyu ila sasa hivi ina-shrink kuelekea kuwa Mchicha.
 
Binti Juliana Shonza najua hii thread umeianzisha kwa maelekezo ya bosi wako. Pamoja na hayo na kwa faida ya vilaza wa hesabu wenzako hapo lumumba ngoja nikusaidie kufanya hesabu ya darasa la kwanza. Kwa akili yako ndogo unashindwa kujua kwamba kama ccm ilishinda kata 16 na Chadema imeshinda kata 8 basi jumla ya kata zilizofanya uchaguzi ni 24 (16+8=24!hesabu ya darasa la kwanza hii)sasa sijui kata 2 umezipeleka wapi!!??

Jumla ya kata zilizopaswa kufanya uchaguzi tarehe 16/06/2013 ni kata 26.
Kata zilizofanya uchaguzi tarehe hiyo 16/06 zilikuwa kata 22 (baada ya policcm kulipua bomu mkutano wa Chadema na hivyo NEC kuahirisha uchaguzi katika kata 4 za Arusha).
Katika kata 22 zilizofanya uchaguzi awali ccm ilishinda kata 16 na Chadema ikashinda kata 6 (Chadema ilirudisha mikononi kata zake 2 na kuchukua 4 kutoka kwenu ccm).
Katika uchaguzi uliofanyika Arusha juzi tarehe 14/07/2014 Chadema imewagaragaza vibaya ccm kwa kujinyakulia kata zote 4.

Kwa ujumla msimamo wa ushindi wa kata kwa ujumla ni kwamba Chadema 10 ccm 16. Lakini pia kwa uwiano wa wingi wa kura Chadema ina 46% huku ccm ikiwa na 49%. Sasa nataka uanzie hapo uniambie kama ccm imeongeza idadi ya wapiga kura toka 2010 au imeporomoka? sitarajii kwamba mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dsm unaweza kushindwa hata kuunga unga hesabu ndogo kama hizi, unless uniambie hiyo degree uliipata kwa mlango wa dharura.

Huwa ninasikia furaha na heshima kubwa nikisoma comments makini zilizojaa uchambuzi makini kama huu,, mkuu Maranya hongera sana kwa utafiti na comment ya kisomi!!
 
Mkuu huyu mtoto ametumwa si bure! Sisi tunapiga vita ubaguzi yeye anakolezea ubaguzi. Anahitaji mme wa kumtuliza moyo.
loser!

Kesho utauliza, kuna nini kati ya cuf na pemba.

ngoja nikupe clue kidogo:

Mapinduzi yote dunia nzima huanzia kaskazini.

Reference point kwenye vipimo vya dira huwa ni kaskazini


my take:
Ushaanza kuwa na akili za tambwe hiza
 
Huyu anaizalilisha CCM bila yeye mwenyewe kujielewa.
Kwa jinsi alivyoandika utadhani CCM ni chama kichanga "hata mbuyu ulianza ka amchicha"
Pengine haelewi kama sasa CCM inaanza kuporwa jimbo moja moja.
 
Back
Top Bottom