Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 876
Bora umekumbuka zoezi mliloua watu, ingawaje ulitaka kupindisha lugha.Ndugu wanajamvi hili nimekuwa kimya kwa mda kidogo baada ya uchaguzi wa Arusha niliona niwaache wanachadema mtambe mtambike mara baada ya ushindi huo mlioupata.
Nina kila sababu yakuwapongeza wananchi wa Arusha kwakufanya uchaguzi kwa amani kwani amani ndiyo tunu na kitambulisho pekee ya Taifa letu,bila kuvisahau vyombo vya usalama kwakuhakikisha zoezi linafanyika kwa amani.
Wewe ni mmoja wa watu waliokuwa arusha mkiipigia debe chadema kwa raslimali za ccm. Na kujishaua kote mkapigwa vituo vyote. Eti makapi ya cdm ndio keki za ccm. Dada wa watu nakuhakikishia, mwaka huu hautakwisha bila ya nyinyi kutolewa kwenye reli. Eti hata mbuyu ulianza kama mchicha. Ccm ilikuwa mbuyu wakati mwigulu anawasajili. Wewe na wenzako ndio mnaifanya iwe mchicha. Vipi lakini, sombetin mwigulu ataenda?
Umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' CCM ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha CCM na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.
Binti Juliana, bado uko mdogo na mrembo kiasi fulani! Nakushauri ujipe likizo kidogo kwenye siasa ukafanye shughuli nyingine mpaka akili yao ipoe kwanza! Kama una nia kweli ya kufanya "siasa" kuwa "wito wako wa maisha", basi kina Nnape, Mwigulu & Co sio Model wazuri/sahihi kwako! Tafakari!
Unaposema hata wenzako wanakuzodoa unamaanisha nini? Hembu jipange kabla ya kuongea wewe.
Kumbe maCCM ni mchicha? Kariakoo siyo eneo? born & live kko.Magwanda yanachojua ni mitusi tu. Si ilizaliwa Kariakoo mijitu mingine humu.
Nadhani kuna swali la kujiuliza hapa sisi kama watanzania kwamba kuna nini kati ya chadema na Arusha?
Umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' CCM ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha CCM na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.
umeandika vizuri isipokuwa hapo kwenye ''hata mbuyu ulianza kama mchicha.'' ccm ni chama kikongwe kuliko vyama vyote hapa nchini. Hiyo nahau sidhani kama inaendana na ukongwe wake. Ni dalili ya kuanza kukata tamaa kuilinganisha ccm na mchicha ambao baadaye utakuwa hadi kuwa kama mbuyu. Mlipaswa tayari kuwa mmekuwa hadi mmefikia ukubwa wa ubuyu. Hiyo kauli ilitakiwa kutolewa na vyama vinavyoanza kukua.
Unaposema hata wenzako wanakuzodoa unamaanisha nini? Hembu jipange kabla ya kuongea wewe.
Binti Juliana Shonza najua hii thread umeianzisha kwa maelekezo ya bosi wako. Pamoja na hayo na kwa faida ya vilaza wa hesabu wenzako hapo lumumba ngoja nikusaidie kufanya hesabu ya darasa la kwanza. Kwa akili yako ndogo unashindwa kujua kwamba kama ccm ilishinda kata 16 na Chadema imeshinda kata 8 basi jumla ya kata zilizofanya uchaguzi ni 24 (16+8=24!hesabu ya darasa la kwanza hii)sasa sijui kata 2 umezipeleka wapi!!??
Jumla ya kata zilizopaswa kufanya uchaguzi tarehe 16/06/2013 ni kata 26.
Kata zilizofanya uchaguzi tarehe hiyo 16/06 zilikuwa kata 22 (baada ya policcm kulipua bomu mkutano wa Chadema na hivyo NEC kuahirisha uchaguzi katika kata 4 za Arusha).
Katika kata 22 zilizofanya uchaguzi awali ccm ilishinda kata 16 na Chadema ikashinda kata 6 (Chadema ilirudisha mikononi kata zake 2 na kuchukua 4 kutoka kwenu ccm).
Katika uchaguzi uliofanyika Arusha juzi tarehe 14/07/2014 Chadema imewagaragaza vibaya ccm kwa kujinyakulia kata zote 4.
Kwa ujumla msimamo wa ushindi wa kata kwa ujumla ni kwamba Chadema 10 ccm 16. Lakini pia kwa uwiano wa wingi wa kura Chadema ina 46% huku ccm ikiwa na 49%. Sasa nataka uanzie hapo uniambie kama ccm imeongeza idadi ya wapiga kura toka 2010 au imeporomoka? sitarajii kwamba mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dsm unaweza kushindwa hata kuunga unga hesabu ndogo kama hizi, unless uniambie hiyo degree uliipata kwa mlango wa dharura.
loser!
Kesho utauliza, kuna nini kati ya cuf na pemba.
ngoja nikupe clue kidogo:
Mapinduzi yote dunia nzima huanzia kaskazini.
Reference point kwenye vipimo vya dira huwa ni kaskazini
my take:
Ushaanza kuwa na akili za tambwe hiza