Vinci JF-Expert Member Jul 6, 2009 2,638 668 Sep 3, 2012 #41 Preta amegoma kutoa tamko juu ya tuhuma/tetesi hizi, nadhan labda kaamua kuwasiliana moja kwa moja na Ndallo kupitia PM Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Preta amegoma kutoa tamko juu ya tuhuma/tetesi hizi, nadhan labda kaamua kuwasiliana moja kwa moja na Ndallo kupitia PM
kijembeee JF-Expert Member Jun 6, 2012 409 105 Sep 3, 2012 #42 LexAid said: Tumekusoma Mkuu, style nzuri ya kumtongoza Preta! Click to expand... mnaona mbali
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Sep 3, 2012 #43 Ndallo said: Kwa wale ambao walikua hawajui Honeymoon ya Preta ilifanyikia wapi baada ya kuolewa na yule mwanaume wa ukweli basi ndio hapa! View attachment 63452 Click to expand... he he he...yaani Ndallo kukutumia picha ndio imekuwa nongwa sio......lakini bora hukuweka ile ya Migingo..... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Ndallo said: Kwa wale ambao walikua hawajui Honeymoon ya Preta ilifanyikia wapi baada ya kuolewa na yule mwanaume wa ukweli basi ndio hapa! View attachment 63452 Click to expand... he he he...yaani Ndallo kukutumia picha ndio imekuwa nongwa sio......lakini bora hukuweka ile ya Migingo.....
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 4, 2012 #44 si kuna siku nilimuona preta anatoa kisu karibu na nanihino inamaana ameghairi na ameamua kutoa haya.
si kuna siku nilimuona preta anatoa kisu karibu na nanihino inamaana ameghairi na ameamua kutoa haya.