Homosexuality

Sasa mbona UN wanataka kupitisha mswada wa *******? Mimi sielewi nabaki na taharuki. Hawa wazungu hawa!
 
USENGE, UBASHA NA USAGAJI ni dhambi na aya zilizotolewa ni kuthibitisha hilo. Kama wewe au mwengine alielekeza mwelekeo mwengine ni kosa na turudi katika dhambi ya Homosexuality.
Unaweza kuanzisha thread nyengine ya sababu au chanzo cha dhambi hiyo . unapoanza kutetea dhambi na mwengine ana haki ya kukuuliza sababu ya kufanya hivyo.
Au unapohisi thread iwe ikiogolea pande zote( radamly) kuwa tayari kuyajibu masuala ya aina zote uulizwapo.
(muungwana na mjuzi hajisifu bali hungojea hayo na hivyo unapotoka barazani elewa kuwa mko werevu na wajinga kama sisi lakini kauli mara nyingi hujisemea)

Siwezi kupoteza muda wangu adhimu na watu wenye vichwa vigumu kama wewe. Hebu tafuta kwenye hii thread, unioneshe ni wapi nimekubaliana na ushoga..Ukiweza hilo nitakupa test nyingine ndogo ya kukuza uelewa wako..
 
Wengi utetea...! Tabia na Matendo wanayo yapenda...!
 
USENGE, UBASHA NA USAGAJI ni dhambi na aya zilizotolewa ni kuthibitisha hilo. Kama wewe au mwengine alielekeza mwelekeo mwengine ni kosa na turudi katika dhambi ya Homosexuality.
Unaweza kuanzisha thread nyengine ya sababu au chanzo cha dhambi hiyo . unapoanza kutetea dhambi na mwengine ana haki ya kukuuliza sababu ya kufanya hivyo.
Au unapohisi thread iwe ikiogolea pande zote( radamly) kuwa tayari kuyajibu masuala ya aina zote uulizwapo.
(muungwana na mjuzi hajisifu bali hungojea hayo na hivyo unapotoka barazani elewa kuwa mko werevu na wajinga kama sisi lakini kauli mara nyingi hujisemea)

Homosexuality haiwezi kuwa dhambi kama isivyo heterosexuality. Ila homosexuals wanaweza kutenda dhambi kama wanavyoweza kutenda heterosexuals. Hii topic ni technical. Usituletee 'value judgement' yako katika hili kwa vile huja'define' tukaelewa what you're condemning.
 
Last edited:
Magobe, I condemn discrimination of any type, my point here is I have a serious problem with body parts being used for purposes other than those they were intended for. The anus was meant to be an outlet for human excreta which explains its tightened nature, using it as an inlet is not only morally wrong it is against the laws of physics, which explains the incontinence which results after a long misuse of such a manner. Homosexuality is a psychological condition, these people need treatment not support for pride parades and free condoms!

Sasa wewe unapinga Homosexuality au unapinga anal sex? Kwa mantiki hiyo hauna tatizo na Lesbians? Pia hautakua na tatizo na homosexuals ambao hawapractice anal sex?
Mimi view yangu ni watu wanachofanya wakiwa kitandani is NON OF MY BUSINESS!! Live and let Live!
 
huyo anaonekana ni shoga. umelaaniwa wewe unayemruhusu mwaname mwenzio akuingilia kwenye mavi. huna akili na siku zenu zimehesabiwa. either mtakufa kwa ukimwi, au mtaungua moto wa milele.
 
Nkamangi
(God in this case) was to create new human creature, he/she or it should revisit the use of anus to overcome the controversy of your logical view? Na kama binadamu amekuwa mbunifu kuliko huyo aliyemuumba, kwa nini aliyemuumba asifanye haraka kubadilisha matumizi ya viungo hivi (kama si kuboresha) ili asionekane kuzidiwa maarifa na kiumbe alichokiumba? Hapa namaanisha aumbe binadamu watakaokuwa hawatibui mfumo wa logic (kwa sasa), until further notice! Je muumbaji haoni kwamba binadamu ana haki ya kutumia ubunifu wake kwa kwa mwili wake kama anavyofanya kwa sayansi na teknolojia?
Mimi nimewaza tu kwa sauti kulingana na nadharia yako ya kupinga homosexuality, na nimetumia Mungu kama rejeo, labda uniambie unamzungumzia/ unakizungumzia kitu kingine kilichohusika na uumbaji

Kwa wale tunaoamini Mungu, na hivyo kuheshimu his sovereignty katika uumbaji na matumizi ya kile alichokiumba, nadhani kusema kuwa binadamu amekuwa mbunifu zaidi hivyo Mungu aharakishe kubadili matumizi.. ni chukizo la hali ya juu( abomination of the highest order!)....
swali- je katika kubadilisha huko ambako itabidi labda hivyo viungo vibadilishwe kimfumo, what will be the cut off point ya wale walio kwenye mfumo wa zamani na wale watakaokuwa kwenye mfumo mpya? Je binadamu atakuwa na utashi wa kuweza kutambua au ndo itatokea balaa la kushindwa kuelewa na kuhusisha maumbile mapya na congenital malformation?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom